LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
What if mwenye hiyo namba amekufa/amepoteza line namba kapewa mtu mwingine?Peace of mind sometimes can't be bought with vipande thelathini vya fedha .. ikiwezekana aende huduma center ya mtandao husika Ili ku sort out hili swala kama Huku asipopatikana
Ungeandika mwaka sasaHivi unadhani hilo swala limetokea mwaka huu au mwaka jana? Hiyo ilikuwa 2008 mkuu, kipindi hiko ukikosea wee ongea vizuri tu uliyemtumia akurudishie fedha zako. Mambo ya kurudisha muamala uliokosewa imeaanza miaka ya karibu ru
Nini kilichoendelea na binti? Kwa bongo movie tayari hii stori yako inatengeneza movie.
Ukifanya kosa haongei anakuangalia tu sasa mimi siwezagi kuvumilia ile haliMzee wako inaonekana ni mkali[emoji1787][emoji1787][emoji1787],
Jamani😃😃😃😃Mie nimetapeliwaa Jana naomba msaada
Mimi kiukweli kwenye suala la hela sina huruma kabisa kwasababu sijakutuma ukosee huo ni uzembe wako wakutokuwa makiniHatimaye nimekutana na hii comment,,
Nilitaka nishangae[emoji57]
Wafe tuMtaua watu kwa presha.
Hapana huyo dada yuko sahihi sana uzembe ni wa huyo wakala kila siku tunakumbushana somo la umakiniWanadamu tunatofautiana pakubwa sana
Wengine sijui tunaishi maisha gani
Watu wamekua watu wa hovyo hovyo tu
Imani 0
Utu 0
Upendo 0
Yaani tunaishi kama wanyama
Juzi tupo ofsin secretary wetu (mdada) anajisifia alivyo kimbia na laki ya watu kweli?
Ilikua hivi alikua na shida na hela kiasi cha laki moja hivi
Akaenda kwa wakala kuitoa wakala alidai hakuna mtandao hivyo aje wakati mwingine
Kwakua alikua na shida ya haraka basi akaomba apewe laki moja ili aitumie
Yule dada ki uungwana akampa kwakua anafahamika
After siku chache akaenda kutoa 200000 ili arudishe deni na abaki na 100,000
Yule dada akampa yote 200000 dada akageuka akaondoka
Hadi leo Yule sister hajakumbuka kitu
Na yapata muda mrefu sana
Watu hawana maana
Hovyo kabisa
Unakuwa unaumia[emoji23]Ukifanya kosa haongei anakuangalia tu sasa mimi siwezagi kuvumilia ile hali
Aisee[emoji3061]Mimi kiukweli kwenye suala la hela sina huruma kabisa kwasababu sijakutuma ukosee huo ni uzembe wako wakutokuwa makini
Hata Mimi hua narudisha sikai na pesà ya mtu tena siitoi kabisa aitoe mwenyeweHii dhambi 2015 niliikataa baada ya ndugu mmoja kutuma kimakosa kwenye line yangu ya airtel laki nane na hamsini elfu (850,000/=) kwa kumrudishia yote, japo nilikuwa juu ya mawe.
Mlete wete huku apate matibabuKama kichwa cha habari kinavyojieleza. Rafiki yangu alitumiwa pesa kimakosa kwenye no. yake ya mpesa inayoishia na 8650. Baada ya kutumiwa hiyo hela huyo rafiki yangu aliitoa yote.
Alipigiwa na aliyekosea mwamala akamrudishia elf 50 Kwa ahadi ya kulipa kilichobaki ila aliposhindwa aliacha kutumia hiyo no yake inayoishia na 8650.
Kama unaijua story hii jamaa anakutafuta aombe msamaha na kukulipa ukikubaliana maana anasema jambo hili linamtesa sana.
NB: Jamaa alikua anamtumia pesa wife wake. Ataje kiasi na mkoa aliotoka maana ni vitu anavikumbuka. Asanteni.
Mwehuu huyooKuna mtu alikoseaga kutuma pesa kwangu,ilikuwa kama 25,000 nikampigia nikamwambia arudishe pesa yake kakosea kutuma, nikamwambia mie lain yangu imefungiwa upande wa mihamala
Aisee alinitukana yule mbaba,akaniambia nirudishe pesa yake,mimi ni mwizi,nikamuuliza ningekuwa mwizi nisingekujulisha kama umekosea kutuma pesa? nikamwambia sina shida ya pesa na naomba ufanye uirejeshe kwako,
Akairejesha, siku ya pili akanitafuta na kuniomba msamaha,
ILAA KUNA WATU MNA ROHOO ZA WANYAMAA..HAMSTAHILI KUISHI!Mungu anisamehe sana inawezakana ndo mana ridhiki zangu haziji
Watu walishawahi kosea kwangu =
150,000
95,000
80,000
Hizi 50,000 na zaidi ya mara 4
Sikuwahi kurudisha hata mia nliishia kuwablock
daah kuna mtu nakumbuka nilkosea kutuma hela kwakwe sh 52,000 ilikuwa namtumia mchepuko, nikapiga huduma kwa wateja kwasababu ile no ilikuwa Mtandao tofaut na mm.
niliambiwa nisubili masaa 72, ilikuwa jmos basi nikampigia yule jamaa nikamwambia nikosea kutuma hela kwakwe aniludishie walau 30,000 tuh, jamaa kweli akarudisha 30,000 nikamshukuru.
Nimekaa j3 sina mpango wowote naona messag ya muhamala unaiangia kwenye simu yangu hela imerudishwa, walah sikulemba nikaihamisha ile hela jamaa alipiga mara 3 sikupokea ila hakupiga tena
Waalimu jamani shida snaaaa...yani kakodi boda kwendaa kutoa helaa isiyokuwa yakeeeTeacherrr