mbenda said
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 1,084
- 2,074
Nami niliukumbuka huo uziKamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia
Naandika wosia huu kwa vijana wenzangu baada ya kupona maumivu ya kuachana na mwanamke niliempenda sana miezi kadhaa iliyopitaa ila kitu nilichojifunza mwanamke akionekana ameonesha dalili hakuhitaji tena. Mwanamke akifikia hatua amekubadilikia na akaonesha dalili za kutaka kuachana na wewe ni...www.jamiiforums.com
Mpe hiyo link
Miaka 12 alikuwa anafanya nae nini muda wote huo hata kuchapa mimba..... Umri wa ndoa huo. Labda kaona hakuna jipya kila siku ahadi. Wanawake wa siku hizi hawana subira wanamaamuzi ya kukurupuka kama kondoo.Miaka 12 mahusiano yamedumu aisee Wanawake
Kimsingi hapo binti ataka kutest mitambo sehemu nyingine ili mambo yakifeli arudi kwa jamaa siku za baadae kwa kilio na msamaha wa maana.Bidada hajafuta namba ya mshikaji na mshikaji hajafuta namba ya mdada Mpaka sasa
Hahahahaha ko tujipe matumaini kakaKimsingi hapo binti ataka kutest mitambo sehemu nyingine ili mambo yakifeli arudi kwa jamaa siku za baadae kwa kilio na msamaha wa maana.
Matumaini tena.... Huyo akija ni analaumiwa anachezea makofi na matusi halafu anapotezewa tu. Unarejea vipi takataka. Wanawake walivyojaa hii dunia....?!Hahahahaha ko tujipe matumaini kaka
Ambacho hakielewi ni nini hapoHuyu ni rafiki yangu Nimeosoma nae chuo, hivi majuzi kaniambia ya kuwa Mchumba wake aliyepo masomoni Chuo fulani Alimwambia Anataka akajitambulishe Ili awe mke wake mtarajiwa Rasmi. Lakini Bidada ghafla na wakati huo huo akamtumia Rariki yangu Ujumbe huu ufuatao.....
"Am sorry Dear I know una nia njema kabisa na mimi lkn siku zote ukweli umuweka mtu huru nimekua mjinga nashindwa kukwambia ukwel kwamba nipo kwenye mahusiano lkn naona nnachokifany ndio naharibu zaid nakua mtumwa me nipo kwenye mahusiano aisee
Am sorry najua nimekupotezea muda lkn kiukwel hali halis ndio ipo ivo"[emoji2356]
Jamaa yangu anaomba Ushauri yakinifu. Mimi kama mdau wa JF nikasema nilete humu ndani na Ushauri wenu nitamuonyesha piaa...
Ndio mwaka huu jamaa alitaka Ku propose....Ni vile jamaa alikuwa masomoni na ndio kapata Kazi mwaka juzi alikuwa anajipangaSorry is 12years hata ku propose?
Kweli kabisaaaaMatumaini tena.... Huyo akija ni analaumiwa anachezea makofi na matusi halafu anapotezewa tu. Unarejea vipi takataka. Wanawake walivyojaa hii dunia....?!
Huyo Bidada ni mwalimu mwajiriwa Sasa anajiendeleza ndio anasoma Degree yupo mwaka wa kwanzaHizi kesi za wanafunzi wa chuo kuwaacha solemba ni nyingi sana. Huyo muache aende,tena usigeuke nyuma
There is a mistake. Alikuwa masomoni , which means distance.Ndio mwaka huu jamaa alitaka Ku propose....Ni vile jamaa alikuwa masomoni na ndio kapata Kazi mwaka juzi alikuwa anajipanga
🎼Kuachwa kuachwaHakuna ushauri mwingine zaidi ni amsikilize aliyempa ujumbe aende kwa anayehisi anampenda. Huwezi mlazimisha mtu awe na ww ili hali katamka wazi kuwa hamtaki.
Miaka 12 hayo ni mahusiano gani na yupo anasoma phd ama?au mlianza mahusiano mkiwa darasa la tano?Miaka 12 mahusiano yamedumu aisee Wanawake
Mwambie amjibu "poa"Huyu ni rafiki yangu Nimeosoma nae chuo, hivi majuzi kaniambia ya kuwa Mchumba wake aliyepo masomoni Chuo fulani Alimwambia Anataka akajitambulishe Ili awe mke wake mtarajiwa Rasmi. Lakini Bidada ghafla na wakati huo huo akamtumia Rariki yangu Ujumbe huu ufuatao.....
"Am sorry Dear I know una nia njema kabisa na mimi lkn siku zote ukweli umuweka mtu huru nimekua mjinga nashindwa kukwambia ukwel kwamba nipo kwenye mahusiano lkn naona nnachokifany ndio naharibu zaid nakua mtumwa me nipo kwenye mahusiano aisee
Am sorry najua nimekupotezea muda lkn kiukwel hali halis ndio ipo ivo"🤦♀️
Jamaa yangu anaomba Ushauri yakinifu. Mimi kama mdau wa JF nikasema nilete humu ndani na Ushauri wenu nitamuonyesha piaa...
Wewe unakonda,[emoji443]Kuachwa kuachwa
Kuachwa ni shughuli pevu
Ahhh mbaya zaidi
Kwa yule uliyempenda
Wewe unakonda, yeye ananenepa... [emoji443]
Huyu ni rafiki yangu Nimeosoma nae chuo, hivi majuzi kaniambia ya kuwa Mchumba wake aliyepo masomoni Chuo fulani Alimwambia Anataka akajitambulishe Ili awe mke wake mtarajiwa Rasmi. Lakini Bidada ghafla na wakati huo huo akamtumia Rariki yangu Ujumbe huu ufuatao.....
"Am sorry Dear I know una nia njema kabisa na mimi lkn siku zote ukweli umuweka mtu huru nimekua mjinga nashindwa kukwambia ukwel kwamba nipo kwenye mahusiano lkn naona nnachokifany ndio naharibu zaid nakua mtumwa me nipo kwenye mahusiano aisee
Am sorry najua nimekupotezea muda lkn kiukwel hali halis ndio ipo ivo"[emoji2356]
Jamaa yangu anaomba Ushauri yakinifu. Mimi kama mdau wa JF nikasema nilete humu ndani na Ushauri wenu nitamuonyesha piaa...