Jamaa bado anampenda bidada.Miaka 12 amemzoea Binti na jamaa alikuwa anajitoa na hadi hatua za Mwisho pia jamaa alikuwa anajitoa pia Kwa bidada
This is
ONE VERY BIG MISTAKE
Kati ya vitu anavyoumia sasa hivi ni hilo pia,,, Vijana usiwe kiherehere sana kujikuta unajitoa ukiamini ndio ulimbo,,, hao viumbe wenye papuchi wakiamua jambo hawajali hata kama uliwatolea FIGO wanakupiga tukio....
Kula maisha,, na yeye muweke tu kama sehemu ya maisha yako,, usijibane wala kumpa priorities eti ukiamini atakupenda zaidi,, hawana jema hao.... Kama ukitoa make sure umetoa bila kukumbuka...
Kuna wakati usiogope kudharaulika,,kuitwa mbinafsi, kuonekana una roho mbaya,, .......Don't give a fuuck...
Hakuna atakayeondoka Duniani akiwa Hai,, sasa yanini uje ujitie Stress ufe mapema.