Rafiki yangu ameingia kwenye mahusiano na mwanamke wangu. Moyo wangu unauma sijui nifanye nini?

Rafiki yangu ameingia kwenye mahusiano na mwanamke wangu. Moyo wangu unauma sijui nifanye nini?

Ukifikisha walau miaka 30+ utaanza kupuuzia hayo unayoyaita mapito...na kuona ni upuuzi!

Pesa ikusumbulie akili!, hata kiumbe wa kike nae akuendeshe...!? How?

Ifanye pesa ikutafutie unaemtaka...mambo ya kupenda-pendana mwisho ni kidato cha pili!.
 
Habari za muda huu,

Naitwa Jacob nina miaka 24, nipo chuo, naomba msaada wako kwa jambo nilopitia.

Kwa sasa nimeingia mwaka wa pili, mwishoni mwa mwaka jana nilipata mpenzi ambae ni first year, anasomea diploma ya pharmacy anaitwa Kyrie (18 years). Nilimtongoza akanikubalia basi tukawa tunadate, kila akiwa na mahitaji nilikuwa namsaidia, nikishindwa nilikuwa namwambia

Alikuwa anakuja mpaka ninapokaa, japo kwa muda huo hayakuwa makazi permanent palikiwa ni kwa kijana mmoja anayesoma diploma mwaka wa 2, nilimuomba nikae kwa muda huku nikisubiria nipate pesa nihamie kwangu maana nilikuwa nshalipia chumba ilibaki kununia vitu vya ndani

Sasa kuhusu mahusiano yangu na bibie Kyrie yalianza kuingia doa kama unavyojua nilikuwa sometimes naenda mtaani kufanya kazi nipate chochote kitu kiasi kwamba Kyrie akawa ananiona nipo busy sana, lakini sikuwa namwambia juu ya kazi ninazofanya, kumbe nisilolijua akaanza mahusiano ya chini na huyo jamaa ninayekaa nae mpaka kuna muda wakawa wanaonana usiku

Kwa jamaa niliondoka maana alinambia nimpishe, ikabidi niende kwa rafkia yangu mwingine, taarifa nikawa nazipata nikienda kumuuliza anajibu nina uhakika gani, dah nilifanya hivyo kama mara 3 lakini bado akawa anasisitiza yule rafiki yangu hivyo asingeweza fanya hivyo. Mapenzi kwangu yakapungua madai kwamba mimi nilimbadilisha mwishowe hata nilipohamia kwangu hakutaka kuja, akasema kwamba nikiwa na shida zangu ndo namtafuta

Sasa baada ya kipindi kupita ikabidi nimuulize rafiki yake wa karibu ambae alikuwa amepanga pale tulipokuwa tunakaa na jamaa wa diploma, ambayo ilikuwa usiku wa kuelekea leo yule dada akanambia walikuwa wanatoka na huyo jamaa ila kwa sasa hawapo karibu na alisema ashawahi lala kwake 😢. Imeniuma sana maana nilimuamini lakini hakunithamini ikabidi niende moja kwa moja hostel kuongea nae ili ajue kwamba nimetambua, huwezi amini alishindwa nijibu chochote, niliongea sana hadi nikalia, nikajua nilichoambiwa ni kweli mwishoni aliamua kukiri

Moyo wangu unauma sijui nfanye nini naa huyo jamaa alikuwa anadaiwa kauza vitu vyake na kaachia chumba jana akaomba kuja kulala kwangu tukapika na kula kisha tukalala asubuhi nikamuachia funguo, sasa leo baada ya kujua nilokuwa nasikia ni kweli nilivyotoka hostel kuongea na huyo dada nimeshindwa kwenda kwangu nimemuacha alale ikifika asubuhi nitajua cha kufanya lakini moyo unauma sijui nitavuka vipi na hili

Naomba nisaidie, nimekosa hata usingizi nimeshindwa kabis
Ukatoa na machozi hosteli 😂
 
Kwan Ako ka dadadaa ni mkeo wa ndoa? Au kunataratibu zozote ulipeleka kwao ? Kama hakuna mdogo wangu soma zingatia asomo yako huku mtaan wamejaaaa tele wazur mnoo soma acha upuuz upuuz
 
Wakati Mimi Niko na umri wako nilikua hata sijui kupenda ni nini, ingawa sikua naishi kama mdudu😅😅.

Anyway, ila Mimi kaka yako nakushauri ya kwamba kamwe usiamini hawa mabinti wa kuanzia 18-25, hawa wengi wanatamani maisha ya uhuru na kujaribu jaribu so ni watu ambao hawapendi kufungwa sehemu moja (commitment ) hasa kwenye mapenzi labda hadi yeye aanze kukupenda wewe.

Na wengi wakiwa chuo huwa wanapenda sana ushindani so bad boys ndio huwa wanawin hizi game kuliko nice boy kama wewe, kwahiyo wewe piga zako shule umalize ila usiishi kama mdudu coz nawe ni binadamu but don't be serious kiasi hiko.
 
Habari za muda huu,

Naitwa Jacob nina miaka 24, nipo chuo, naomba msaada wako kwa jambo nilopitia.

Kwa sasa nimeingia mwaka wa pili, mwishoni mwa mwaka jana nilipata mpenzi ambae ni first year, anasomea diploma ya pharmacy anaitwa Kyrie (18 years). Nilimtongoza akanikubalia basi tukawa tunadate, kila akiwa na mahitaji nilikuwa namsaidia, nikishindwa nilikuwa namwambia

Alikuwa anakuja mpaka ninapokaa, japo kwa muda huo hayakuwa makazi permanent palikiwa ni kwa kijana mmoja anayesoma diploma mwaka wa 2, nilimuomba nikae kwa muda huku nikisubiria nipate pesa nihamie kwangu maana nilikuwa nshalipia chumba ilibaki kununia vitu vya ndani

Sasa kuhusu mahusiano yangu na bibie Kyrie yalianza kuingia doa kama unavyojua nilikuwa sometimes naenda mtaani kufanya kazi nipate chochote kitu kiasi kwamba Kyrie akawa ananiona nipo busy sana, lakini sikuwa namwambia juu ya kazi ninazofanya, kumbe nisilolijua akaanza mahusiano ya chini na huyo jamaa ninayekaa nae mpaka kuna muda wakawa wanaonana usiku

Kwa jamaa niliondoka maana alinambia nimpishe, ikabidi niende kwa rafkia yangu mwingine, taarifa nikawa nazipata nikienda kumuuliza anajibu nina uhakika gani, dah nilifanya hivyo kama mara 3 lakini bado akawa anasisitiza yule rafiki yangu hivyo asingeweza fanya hivyo. Mapenzi kwangu yakapungua madai kwamba mimi nilimbadilisha mwishowe hata nilipohamia kwangu hakutaka kuja, akasema kwamba nikiwa na shida zangu ndo namtafuta

Sasa baada ya kipindi kupita ikabidi nimuulize rafiki yake wa karibu ambae alikuwa amepanga pale tulipokuwa tunakaa na jamaa wa diploma, ambayo ilikuwa usiku wa kuelekea leo yule dada akanambia walikuwa wanatoka na huyo jamaa ila kwa sasa hawapo karibu na alisema ashawahi lala kwake 😢. Imeniuma sana maana nilimuamini lakini hakunithamini ikabidi niende moja kwa moja hostel kuongea nae ili ajue kwamba nimetambua, huwezi amini alishindwa nijibu chochote, niliongea sana hadi nikalia, nikajua nilichoambiwa ni kweli mwishoni aliamua kukiri

Moyo wangu unauma sijui nfanye nini naa huyo jamaa alikuwa anadaiwa kauza vitu vyake na kaachia chumba jana akaomba kuja kulala kwangu tukapika na kula kisha tukalala asubuhi nikamuachia funguo, sasa leo baada ya kujua nilokuwa nasikia ni kweli nilivyotoka hostel kuongea na huyo dada nimeshindwa kwenda kwangu nimemuacha alale ikifika asubuhi nitajua cha kufanya lakini moyo unauma sijui nitavuka vipi na hili

Naomba nisaidie, nimekosa hata usingizi nimeshindwa kabisa
Kumbe Mwanafunzi, hata kuoga vizuri na kunyoa hamjajua unaanza kulia mitandaoni?
Huyo mwanamke wako kwakuwa ameingia kwenye mapenzi akiwa mwanafunzi tegemea:-
1. kuchapiwa na lecturer.
2. Kuchapiwa akiwa field.
3. Kuchapiwa na Supervisor.
4. Kuchapiwa na Boda boda wake anayemtumaga chips.
 
Habari za muda huu,

Naitwa Jacob nina miaka 24, nipo chuo, naomba msaada wako kwa jambo nilopitia.

Kwa sasa nimeingia mwaka wa pili, mwishoni mwa mwaka jana nilipata mpenzi ambae ni first year, anasomea diploma ya pharmacy anaitwa Kyrie (18 years). Nilimtongoza akanikubalia basi tukawa tunadate, kila akiwa na mahitaji nilikuwa namsaidia, nikishindwa nilikuwa namwambia

Alikuwa anakuja mpaka ninapokaa, japo kwa muda huo hayakuwa makazi permanent palikiwa ni kwa kijana mmoja anayesoma diploma mwaka wa 2, nilimuomba nikae kwa muda huku nikisubiria nipate pesa nihamie kwangu maana nilikuwa nshalipia chumba ilibaki kununia vitu vya ndani

Sasa kuhusu mahusiano yangu na bibie Kyrie yalianza kuingia doa kama unavyojua nilikuwa sometimes naenda mtaani kufanya kazi nipate chochote kitu kiasi kwamba Kyrie akawa ananiona nipo busy sana, lakini sikuwa namwambia juu ya kazi ninazofanya, kumbe nisilolijua akaanza mahusiano ya chini na huyo jamaa ninayekaa nae mpaka kuna muda wakawa wanaonana usiku

Kwa jamaa niliondoka maana alinambia nimpishe, ikabidi niende kwa rafkia yangu mwingine, taarifa nikawa nazipata nikienda kumuuliza anajibu nina uhakika gani, dah nilifanya hivyo kama mara 3 lakini bado akawa anasisitiza yule rafiki yangu hivyo asingeweza fanya hivyo. Mapenzi kwangu yakapungua madai kwamba mimi nilimbadilisha mwishowe hata nilipohamia kwangu hakutaka kuja, akasema kwamba nikiwa na shida zangu ndo namtafuta

Sasa baada ya kipindi kupita ikabidi nimuulize rafiki yake wa karibu ambae alikuwa amepanga pale tulipokuwa tunakaa na jamaa wa diploma, ambayo ilikuwa usiku wa kuelekea leo yule dada akanambia walikuwa wanatoka na huyo jamaa ila kwa sasa hawapo karibu na alisema ashawahi lala kwake 😢. Imeniuma sana maana nilimuamini lakini hakunithamini ikabidi niende moja kwa moja hostel kuongea nae ili ajue kwamba nimetambua, huwezi amini alishindwa nijibu chochote, niliongea sana hadi nikalia, nikajua nilichoambiwa ni kweli mwishoni aliamua kukiri

Moyo wangu unauma sijui nfanye nini naa huyo jamaa alikuwa anadaiwa kauza vitu vyake na kaachia chumba jana akaomba kuja kulala kwangu tukapika na kula kisha tukalala asubuhi nikamuachia funguo, sasa leo baada ya kujua nilokuwa nasikia ni kweli nilivyotoka hostel kuongea na huyo dada nimeshindwa kwenda kwangu nimemuacha alale ikifika asubuhi nitajua cha kufanya lakini moyo unauma sijui nitavuka vipi na hili

Naomba nisaidie, nimekosa hata usingizi nimeshindwa kabisa
Vijana tukiwaambia hawa viumbe ni wakugegeda na kusepa mnaona tunawadanganga....lolote liwakute kwa ubishi wenu.
 
Pole Sana .

Ila sifikirii kama ni sahihi Kijana wa miaka 24 na aliyepo chuo kupambania mahusiano ya kimapenzi .


Sikia Kijana time flies

Ukimaliza chuo utakutana na mambo mawili.

Kurudi nyumbani
Kukaa mjini

So jaribu kutengeneza network ya watu kwanza .

Sex is overrated
Love is illusion
Money is everything
 
Soma
Soma
Soma ......

Tafuta mwanamke mwingine wamejaa tele na wakila aina kwani huyo ulizaliwa nae .....?

Next season , hakikisha kuwa na "back up" mapenzi ya kweli waachie akina sharkan ....hutokuja tena kuandika Uzi hapa ....

Soma.
 
Mtu kama ww una weza kuta wazazi wako wamesha uza mashamba na mbuzi wote hapo nyumbani wakidhani wanasomesha mtu wa maana kumbe wanasomesha ng'ombe.
Yaani huoni hata aibu kuja mbele ya wanaume wenzio na kusema eti ulienda kulia mbele ya demu?
Ww unacho takiwa kudili nacho kwa sasa ni kutafuta konekisheni ili ujue ni namna gani ya kukabiliana na maisha baada kuhitimu chuo na si huo upuuzi unao uendekeza.

Sisi kaka zako tulisha wahi kuendekeza upumbavu wa aina hiyo ila tukaja kushutuka muda ukiwa umesha enda na mpaka sasa tunajutia ,so hutakiwi kurudia hayo makosa.
Ngono ni sehemu ndogo sana ya maisha na sio maisha menyewe,ukisha litambua hili huwezi kuwa mtumwa wa ngono kiasi cha kwenda kujiuliza mbele ya wanawake kisa uchi.
 
Mkuu
Kwani uyo dem ulimlipia mahari? Ni mke wako? Achaa apigwee, ni wakati wake.

Ushauri; soma kwanza, usiyachukulie mapenzi serious ivo kijana mdogo
 
Mapenzi yanauma Sio Poa.

Piga chini Demu. Hafai hata Kidogo.

Piga chini mwamba, Huo ndio tunaita usela mavi, kama kashindwa kuzuia nyege zake kwa kitu Kidogo kama demu, ( tena wa jamaa yake) ambao wako wengi kinoma.
Huyo jamaa Je dili la pesa ndefu si atakusaliti na kukuua Kabisa?

Mwisho usirudie kosa la kupenda sana Demu.

Assume hakuna mwanamke mwaminifu Duniani hapa.
 
Habari za muda huu,

Naitwa Jacob nina miaka 24, nipo chuo, naomba msaada wako kwa jambo nilopitia.

Kwa sasa nimeingia mwaka wa pili, mwishoni mwa mwaka jana nilipata mpenzi ambae ni first year, anasomea diploma ya pharmacy anaitwa Kyrie (18 years). Nilimtongoza akanikubalia basi tukawa tunadate, kila akiwa na mahitaji nilikuwa namsaidia, nikishindwa nilikuwa namwambia

Alikuwa anakuja mpaka ninapokaa, japo kwa muda huo hayakuwa makazi permanent palikiwa ni kwa kijana mmoja anayesoma diploma mwaka wa 2, nilimuomba nikae kwa muda huku nikisubiria nipate pesa nihamie kwangu maana nilikuwa nshalipia chumba ilibaki kununia vitu vya ndani

Sasa kuhusu mahusiano yangu na bibie Kyrie yalianza kuingia doa kama unavyojua nilikuwa sometimes naenda mtaani kufanya kazi nipate chochote kitu kiasi kwamba Kyrie akawa ananiona nipo busy sana, lakini sikuwa namwambia juu ya kazi ninazofanya, kumbe nisilolijua akaanza mahusiano ya chini na huyo jamaa ninayekaa nae mpaka kuna muda wakawa wanaonana usiku

Kwa jamaa niliondoka maana alinambia nimpishe, ikabidi niende kwa rafkia yangu mwingine, taarifa nikawa nazipata nikienda kumuuliza anajibu nina uhakika gani, dah nilifanya hivyo kama mara 3 lakini bado akawa anasisitiza yule rafiki yangu hivyo asingeweza fanya hivyo. Mapenzi kwangu yakapungua madai kwamba mimi nilimbadilisha mwishowe hata nilipohamia kwangu hakutaka kuja, akasema kwamba nikiwa na shida zangu ndo namtafuta

Sasa baada ya kipindi kupita ikabidi nimuulize rafiki yake wa karibu ambae alikuwa amepanga pale tulipokuwa tunakaa na jamaa wa diploma, ambayo ilikuwa usiku wa kuelekea leo yule dada akanambia walikuwa wanatoka na huyo jamaa ila kwa sasa hawapo karibu na alisema ashawahi lala kwake 😢. Imeniuma sana maana nilimuamini lakini hakunithamini ikabidi niende moja kwa moja hostel kuongea nae ili ajue kwamba nimetambua, huwezi amini alishindwa nijibu chochote, niliongea sana hadi nikalia, nikajua nilichoambiwa ni kweli mwishoni aliamua kukiri

Moyo wangu unauma sijui nfanye nini naa huyo jamaa alikuwa anadaiwa kauza vitu vyake na kaachia chumba jana akaomba kuja kulala kwangu tukapika na kula kisha tukalala asubuhi nikamuachia funguo, sasa leo baada ya kujua nilokuwa nasikia ni kweli nilivyotoka hostel kuongea na huyo dada nimeshindwa kwenda kwangu nimemuacha alale ikifika asubuhi nitajua cha kufanya lakini moyo unauma sijui nitavuka vipi na hili

Naomba nisaidie, nimekosa hata usingizi nimeshindwa kabisa
Sasa bidada hujamlipia mahari unalia...watu wanalipa mahari, wanafunga ndoa na wanachapiwa wewe sogeza ukae machozi yanini....tafuta chombo kingine.. upgrade ila mshakaji sio mwana tema nae na demu ivo ivo temana nae.
 
Kwanz uyo sio mwanamke wako futa io kauli, kama mwanamke ujamuoa ukigongewa utakiwi kulalamika.
 
Nyinyi nyote ni Vijana wa kiume , na huyo ni Demu tu wa chuo, vinakuaga na Tamaa.

Kama jamaa alikufanyia Figisu ukahama, Nawewe muhamishe kwako.

Endelea kuchapa demu...

Wakati tupo chuo mwaka wa pili, tulipanga Nyumba Moja watu wanne, Kila MTU na Chumba chake.

Sasa Jamaa yangu alikua na demu wake ,akajaga kupata demu mpya, wa zaman akampiga chini.

Kwenye mastori akawa anampooonda sana yule demu wa zaman, anamponda kweli kweli.

Yule Dem wa zaman, akawa anakuja Kwa jamaa, jamaa anamfukuza .

Siku Moja kwenye. Mastori Tena Jamaa akasema, Yule demu kama Kuna Mmoja wenu anataka kumtia amtie tuu .


Siku Moja demu wa zaman akaja ,akanikuta nafua zangu, na jamaa wote hawapo, Demu akawa analia Lia hapo, nikamwambia Ingia ndan upikepike tule .

Kukatisha Stori, alipika, Akala, nikamshindilia Mashine 4 za nguvu non stop.

Oaaa demu K ilikua Lojolojo, utelezi utadhan kamwagia chuzi la mrendaaaa.


Demu alifurahia sanaaa, alitaka kulala ,nikamwambia jamaa wanarudi ,basi akasepa zake .

Nikawa najichapia demu kimya kimya.

Sasa kwenye mastori Tena na Sanaa, Nilijikuta nmekua Muwazi kama LISSU, Oaaa Ex wako mie namtumia siku hizi.

Kukatisha Stori, Jamaa mpaka Leo hatuna naye ukaribu wa.mawasiliano.kama ilivyokua kabla ya tukio.
Kusema ...'yeyote achape'... yalikuwani maruwe ruwe yake tu huku bado akimpenda?
Kwa nini akununie sasa?
 
Nyinyi nyote ni Vijana wa kiume , na huyo ni Demu tu wa chuo, vinakuaga na Tamaa.

Kama jamaa alikufanyia Figisu ukahama, Nawewe muhamishe kwako.

Endelea kuchapa demu...

Wakati tupo chuo mwaka wa pili, tulipanga Nyumba Moja watu wanne, Kila MTU na Chumba chake.

Sasa Jamaa yangu alikua na demu wake ,akajaga kupata demu mpya, wa zaman akampiga chini.

Kwenye mastori akawa anampooonda sana yule demu wa zaman, anamponda kweli kweli.

Yule Dem wa zaman, akawa anakuja Kwa jamaa, jamaa anamfukuza .

Siku Moja kwenye. Mastori Tena Jamaa akasema, Yule demu kama Kuna Mmoja wenu anataka kumtia amtie tuu .


Siku Moja demu wa zaman akaja ,akanikuta nafua zangu, na jamaa wote hawapo, Demu akawa analia Lia hapo, nikamwambia Ingia ndan upikepike tule .

Kukatisha Stori, alipika, Akala, nikamshindilia Mashine 4 za nguvu non stop.

Oaaa demu K ilikua Lojolojo, utelezi utadhan kamwagia chuzi la mrendaaaa.


Demu alifurahia sanaaa, alitaka kulala ,nikamwambia jamaa wanarudi ,basi akasepa zake .

Nikawa najichapia demu kimya kimya.

Sasa kwenye mastori Tena na Sanaa, Nilijikuta nmekua Muwazi kama LISSU, Oaaa Ex wako mie namtumia siku hizi.

Kukatisha Stori, Jamaa mpaka Leo hatuna naye ukaribu wa.mawasiliano.kama ilivyokua kabla ya tukio.
Mapenzi huwa hayajaribiwi
 
Ila wazazi tuombee watoto wetu sana,. Imagine bint yako chuo ndio anapigwa pasi namna hiyo kama mpira
Hasara sana aisee eti ndio kwanza vina miaka 18 na vyenyewe vinaanza kuleta skendo za mapenzi.
Hawa ndio wale wakifika mwaka wa mwisho wa masomo wanajirekodi video na kusambazwa mitandaoni.
 
Bila shaka sio UDOM,
Tulikuwa na tabia moja, ukiwa na demu ukaachana nae unajitahd kwa vyovyote vile awe dem wa msela ili kila ukijiskia kupiga unaichapa na msela anaichapa siku nyingine.
Chuo mapenzi yanaishia hukohuko hom unarudi na chetu tu
 
Back
Top Bottom