Wewe dogo papai nini???
Bora wamekugongea unauboya na unaonyesha umewajulia wanawake chuoni😄😄😄.Huyo unayemuita demu wako ukute hujawahi hata kumla😁😁😁ujinga ujinga tu!!!
Mshukuru huyo rafiki yako kwa kukugongea huyo malaya wako, amekusaidia utambue DUNIA UWANJA WA FUJO, HAKUNA WAKUKUONEA HURUMA HUMU DUNIANI pambana!!!
Kazana na masomo ukimaliza jitafute ujipate. Ukishajipata anza KUWACHAPA unavyoweza kama mmakonde ni humu tu!!!
Yaani jamaa kakugongea na bado ulivyomnyonge umemkaribisha geto. dogo angalia asije kukugonga na wewe.
Tafuta rafiki ya demu wako huyo umgonge ukimaliza tafuta demu wa rafiki yako naye mgonge, haibadilishi maana ila inaleta HESHIMA🤝
Usijerudia ujinga wa kuwa na demu mmoja,kama mapenzi huyawezi achana nayo mapenzi ni mzaha kama mizaha mingine.Acha kuyapa umuhimu.Chezeaneni weee ila usisahau kilichokupelea.
Dogo hata geto la maana huna, sasa hata huyo malaya wako unamshawishije abaki na wewe.Bwanamdogo uwe unahudhuria VIKAO VYA WANAUME,acha uvulana.
Tafuta hela!!!Tafuta hela!!! utaendelea kuchapiwa kijana,pambana na masomo kama mapenzi huyawezi usije kukosa vyote.
Na usomi wako hujui maana ya RAFIKI.Haya ingia google au Chat GPT wakusaidie wewe kiazi.
Bora wamekugongea unauboya na unaonyesha umewajulia wanawake chuoni😄😄😄.Huyo unayemuita demu wako ukute hujawahi hata kumla😁😁😁ujinga ujinga tu!!!
Mshukuru huyo rafiki yako kwa kukugongea huyo malaya wako, amekusaidia utambue DUNIA UWANJA WA FUJO, HAKUNA WAKUKUONEA HURUMA HUMU DUNIANI pambana!!!
Kazana na masomo ukimaliza jitafute ujipate. Ukishajipata anza KUWACHAPA unavyoweza kama mmakonde ni humu tu!!!
Yaani jamaa kakugongea na bado ulivyomnyonge umemkaribisha geto. dogo angalia asije kukugonga na wewe.
Tafuta rafiki ya demu wako huyo umgonge ukimaliza tafuta demu wa rafiki yako naye mgonge, haibadilishi maana ila inaleta HESHIMA🤝
Usijerudia ujinga wa kuwa na demu mmoja,kama mapenzi huyawezi achana nayo mapenzi ni mzaha kama mizaha mingine.Acha kuyapa umuhimu.Chezeaneni weee ila usisahau kilichokupelea.
Dogo hata geto la maana huna, sasa hata huyo malaya wako unamshawishije abaki na wewe.Bwanamdogo uwe unahudhuria VIKAO VYA WANAUME,acha uvulana.
Tafuta hela!!!Tafuta hela!!! utaendelea kuchapiwa kijana,pambana na masomo kama mapenzi huyawezi usije kukosa vyote.
Na usomi wako hujui maana ya RAFIKI.Haya ingia google au Chat GPT wakusaidie wewe kiazi.