Rafiki yangu babake ni shekhe wa mkoa ameajiriwa taasisi kubwa serikalini bila interview

Rafiki yangu babake ni shekhe wa mkoa ameajiriwa taasisi kubwa serikalini bila interview

H
Habari wa ndugu.

Ni kijana wenu mpya. Sikuwa member lakini nilikuwa nahudhuria humu now imeshindikana hivyo imenipasa kujiunga rasmi. Mnipokee.

Ndugu, mimi ni muhitimu wa diploma ya uhasibu TIA 2022.

Nna rafiki yangu ambaye babake ni shekhe wa mkoa fulani TZ bara. Juzi amenipigia simu kuwa ameajirwa kwenye moja ya taasisi nyeti. Hakufanya interview wala kuomba nafasi.
Ameitwa utumishi kufata barua tu ya ajira.

Nnachojiuliza, inawezekanaje hadi viongozi wa dini kuwa na nguvu ya kupenyeza watu?? Nafikiria uwingi wa makanisa Kama kila mchungaji mkubwa akipeleka mtoto wake. Ajira zinazidi kuwa finyu kwa sie kajamba nani
Uwa nikiwaambia hapa kuwa kuna mfumo wa kihalifu unazidi kus7kwa serikalini watu wananiona mpumbavu hata hawa mitume feki ni pandikizi la serikali kuwapymbaza wananchi na wakristo ...wakati huo Raia feki wakizidi kutumia uislamu kufisidi nchi .....waislamu wanatumika kipumbavu sana kuliangamiza taifa
 
Usije kulalamika hapa wew mtumie huyo huyo kwa urafiki wako upate mchongo wa ajira bana
 
Habari wa ndugu.

Ni kijana wenu mpya. Sikuwa member lakini nilikuwa nahudhuria humu now imeshindikana hivyo imenipasa kujiunga rasmi. Mnipokee.

Ndugu, mimi ni muhitimu wa diploma ya uhasibu TIA 2022.

Nna rafiki yangu ambaye babake ni shekhe wa mkoa fulani TZ bara. Juzi amenipigia simu kuwa ameajirwa kwenye moja ya taasisi nyeti. Hakufanya interview wala kuomba nafasi.
Ameitwa utumishi kufata barua tu ya ajira.

Nnachojiuliza, inawezekanaje hadi viongozi wa dini kuwa na nguvu ya kupenyeza watu?? Nafikiria uwingi wa makanisa Kama kila mchungaji mkubwa akipeleka mtoto wake. Ajira zinazidi kuwa finyu kwa sie kajamba nani
Nilidhani utafurahi kwa ajili ya rafiki yako, ila nadhani haukua rafiki..kama ni rafik yako siuseme nae akuoneshe njia. Acha kulalamika lalamika talk to him and he will show you the way unless hamkua marafik mlikua mnazuga tu
 
Nilidhani utafurahi kwa ajili ya rafiki yako, ila nadhani haukua rafiki..kama ni rafik yako siuseme nae akuoneshe njia. Acha kulalamika lalamika talk to him and he will show you the way unless hamkua marafik mlikua mnazuga tu
Njia aliyonionesha ndio hiyo. Kwahiyo nimwambie baba akasome madrasa nae awe shekhe wa mkoa ili niajiriwe?
 
Karibu TZ kijana. Kwa taarifa yako BAKWATA sio taasisi ya kidini, ni mkono wa serikali uliojivisha koti la dini. Waulize waislam wa kweli watakwambia. Huyo shehe wa mkoa si ajabu ni afisa mwandamizi kwenye ile idara yao ya usalama wa CCM.

Hivyo ni jambo la kumwingiza mwanaye huko kwenye usalama wa CCM kwanza kisha anapelekwa kuwa afisa kificho kwenye hiyo taasisi 'nyeti'.
 
Amna kitu kama icho muulize vzr sio utumishi hao labda kwenye majeshi
Kila sehemu kuna upenyo huo. Hakuna taasisi nyeti isiyo na watoto w viongozi wa kisiasa, kidini au kijeshi. Lakini pia tusilaumu sana labda wanaangalia maswala ya genes.
 
Rafiki ako halafu unakuja kumsinitch.

Urafiki wa namna gani huu?
Broh wew umemjua?? Hii niliyoiandika ni fursa. Kuna watoto wa mashekhe na wachungaji humu ambao hawana ajira na hawajui kwa kuanzia. Kupitia uzi huu wanaweza kupata kwa kuanzia
 
Habari wa ndugu.

Ni kijana wenu mpya. Sikuwa member lakini nilikuwa nahudhuria humu now imeshindikana hivyo imenipasa kujiunga rasmi. Mnipokee.

Ndugu, mimi ni muhitimu wa diploma ya uhasibu TIA 2022.

Nna rafiki yangu ambaye babake ni shekhe wa mkoa fulani TZ bara. Juzi amenipigia simu kuwa ameajirwa kwenye moja ya taasisi nyeti. Hakufanya interview wala kuomba nafasi.
Ameitwa utumishi kufata barua tu ya ajira.

Nnachojiuliza, inawezekanaje hadi viongozi wa dini kuwa na nguvu ya kupenyeza watu?? Nafikiria uwingi wa makanisa Kama kila mchungaji mkubwa akipeleka mtoto wake. Ajira zinazidi kuwa finyu kwa sie kajamba nani
Usichokijua ni kuwa Masheikh wengi kama sio wote ni MA TISS.

WAPO KWENYE PAYROLL YA TISS.

achana na rafiki yako sio level yako, huo ndio mfumo wa nchi hizi za kiafrika .

WATOTO WA WASIO NA CONNECTION KAZI ZAO NI ZA UALIMU NA UKOPLO.
 
Habari wa ndugu.

Ni kijana wenu mpya. Sikuwa member lakini nilikuwa nahudhuria humu now imeshindikana hivyo imenipasa kujiunga rasmi. Mnipokee.

Ndugu, mimi ni muhitimu wa diploma ya uhasibu TIA 2022.

Nna rafiki yangu ambaye babake ni shekhe wa mkoa fulani TZ bara. Juzi amenipigia simu kuwa ameajirwa kwenye moja ya taasisi nyeti. Hakufanya interview wala kuomba nafasi.
Ameitwa utumishi kufata barua tu ya ajira.

Nnachojiuliza, inawezekanaje hadi viongozi wa dini kuwa na nguvu ya kupenyeza watu?? Nafikiria uwingi wa makanisa Kama kila mchungaji mkubwa akipeleka mtoto wake. Ajira zinazidi kuwa finyu kwa sie kajamba nani
Ndiyo maana nchi hii haina watu wanaoelewa wanafanya nini makazini, yaani vilaza tu ndiyo wanaoajiliwa kwa sababu ni mtoto wa fulani.
 
Habari wa ndugu.

Ni kijana wenu mpya. Sikuwa member lakini nilikuwa nahudhuria humu now imeshindikana hivyo imenipasa kujiunga rasmi. Mnipokee.

Ndugu, mimi ni muhitimu wa diploma ya uhasibu TIA 2022.

Nna rafiki yangu ambaye babake ni shekhe wa mkoa fulani TZ bara. Juzi amenipigia simu kuwa ameajirwa kwenye moja ya taasisi nyeti. Hakufanya interview wala kuomba nafasi.
Ameitwa utumishi kufata barua tu ya ajira.

Nnachojiuliza, inawezekanaje hadi viongozi wa dini kuwa na nguvu ya kupenyeza watu?? Nafikiria uwingi wa makanisa Kama kila mchungaji mkubwa akipeleka mtoto wake. Ajira zinazidi kuwa finyu kwa sie kajamba nani.
Kwani akina Nape, Makamba, dogo wa Chalinze, Pinda dogo, Kibajaji, Wanu, Abduli na kopi zingine nyingi zilizojazana CCM walifanya intavyuu nchi gani?
 
Habari wa ndugu.

Ni kijana wenu mpya. Sikuwa member lakini nilikuwa nahudhuria humu now imeshindikana hivyo imenipasa kujiunga rasmi. Mnipokee.

Ndugu, mimi ni muhitimu wa diploma ya uhasibu TIA 2022.

Nna rafiki yangu ambaye babake ni shekhe wa mkoa fulani TZ bara. Juzi amenipigia simu kuwa ameajirwa kwenye moja ya taasisi nyeti. Hakufanya interview wala kuomba nafasi.
Ameitwa utumishi kufata barua tu ya ajira.

Nnachojiuliza, inawezekanaje hadi viongozi wa dini kuwa na nguvu ya kupenyeza watu?? Nafikiria uwingi wa makanisa Kama kila mchungaji mkubwa akipeleka mtoto wake. Ajira zinazidi kuwa finyu kwa sie kajamba nani
UKiendelea ivo utakuja kuwa Mchawi
 
Back
Top Bottom