Na wewe mwambie baba yako awe shehe wa mkoaWakuu,
Rafiki yangu, ambaye baba yake ni Shekhe wa mkoa, ameajiriwa katika taasisi kubwa ya serikali bila kufanyiwa usaili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe mwambie baba yako awe shehe wa mkoaWakuu,
Rafiki yangu, ambaye baba yake ni Shekhe wa mkoa, ameajiriwa katika taasisi kubwa ya serikali bila kufanyiwa usaili.
Sasa kama mimi ni zwazwa atanifanyiaje huo mchongo?mwambie akufanyie nawewe mchongo
AjabuBadala na wewe uombe unakuja kulalama huku.
Ila ni tu wakati wa mihula yao wakiwa madarakani.Sheikh wa mkoa hadhi yake ni sawa na RC while DC hadhi yake ni sawa na sheikh wa wilaya
Sawa tutalifanyia kazi,tunaomba namba yako na majina yako.Wakuu,
Rafiki yangu, ambaye baba yake ni Shekhe wa mkoa, ameajiriwa katika taasisi kubwa ya serikali bila kufanyiwa usaili.
Sawa Bahati yake,pambana!Wakuu,
Rafiki yangu, ambaye baba yake ni Shekhe wa mkoa, ameajiriwa katika taasisi kubwa ya serikali bila kufanyiwa usaili.
Nionokane na mfumo ili waniwekee vipande vya chupa kwenye msosi?
Mkuu pambana kama kweli una uwezo nakuambia "utaonekana tu"
Ingawa kuna hao kina kamlete. Ila kama una uwezo mzuri mfumo upo unafanya kazi na utaonekana.
Hata mm nina rafiki yule ukerewe hakufanya usaili kwa sasa yupo kitengo chaaaaaaacha kubisha usicho fahamu, mbona wapo wengi wanapitia utumishi hata bila usahili
Hata majeshi yana interview ya aina yao mkuu.Amna kitu kama icho muulize vzr sio utumishi hao labda kwenye majeshi
Nchi gani hiyo mkuu, Kwa hiyo sheikh mkuu hadhi yake ni sawa na Rais wa nchi siyo?Sheikh wa mkoa hadhi yake ni sawa na RC while DC hadhi yake ni sawa na sheikh wa wilaya
Ndivyo mambo yalivyo mimi nawafahamu watu wawili enzi Jk wazazi wao walihudhuria ikulu wakati kaalika viongozi wa dini mwisho wakala shavu NSSF wote baadaya ya kupewa vinote. Interview walifanya kama ushahuda tu tena mmoja alikuwa anasema interview ilikuwa ngumu hadi alikosa cha kuandika.Wakuu,
Rafiki yangu, ambaye baba yake ni Shekhe wa mkoa, ameajiriwa katika taasisi kubwa ya serikali bila kufanyiwa usaili.
Au ni wale wasoma dua kwa ajili ya ulinzi wa majini?Wakuu,
Rafiki yangu, ambaye baba yake ni Shekhe wa mkoa, ameajiriwa katika taasisi kubwa ya serikali bila kufanyiwa usaili.
Hayo ya sheikh mkuu umeyaibua wewe na sidhani kama yana msingi.Nchi gani hiyo mkuu, Kwa hiyo sheikh mkuu hadhi yake ni sawa na Rais wa nchi siyo?