Rafiki yangu Hezekiah Wenje Bunge la 11 yaani 2015-2020 Lissu ubunge wake ulifutwa na alikuwa hospitali angechangiaje?

Rula ya Mafisadi

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
404
Reaction score
852
Your browser is not able to display this video.

==
Leo Ezekiah Wenje mjumbe wa Kamati Kuu CC anakuja kutuambia eti Mh LISSU hajachangia chochote kile akiwa mbunge kwenye bunge la 11.

Tujiuluze, bunge la kumi na Moja (11) lilikuwa mwaka 2015-2020 Lissu alikuwa Bungeni?

Nani asiyejua kipindi Mh LISSU alipigwa risasi na baadae Ubunge wake kutenguliwa atawezaje kuchangia wakati hakuwa na Mishahara?

Huyu Wenje hayuko sawa kiakili kabisaa sijui kwanini na sijui kawezaje kuwa mkiti wa Kanda na mjumbe wa Kamati Kuu huyu mtu,

Mtu huyu ni hatari na hana huruma kabisaa baya zaidi ni Muongo na mfitini sana.

Pia soma Wenje: Lissu mpaka anamaliza bunge la 11 hajachangia hata tsh.100 CHADEMA

Wenje anaona aitumie kisiasa hii itampa unafuu? Aiseee Wenje hana hata aibu kudai mgonjwa achangie,tunathamini uhai wake na tunashukuru Mungu kuturejeshea uhai wa Mh LISSU kumbe Wenje anataka mgonjwa kama LISSU kipindi kile eti achangie michango aibu sana

Wenje hana huruma hafai kuwa kiongozi kabisaa,sijui yupo kamati kuu kwa uwezo gani alionao.
 
Tetatory ya chama
 
Usaliti ni mbaya sana
 

Usilojua niniwamba hata kabla ya kushambuliwa hakuchangia.
Pili kwani alipopigwa risasi matibabu alijigharimia mwenyewe? Je! Mshahara na marupurupu yake vili-cease hapohapo???
 
Ni mpumbavu pekee anayemsikiliza na kumtilia maanan wenje! Mimi ameniacha hoi aliposema eti Mbowe ametoa million 250 kuchangia bajeti ya mkutano mkuu. Hivi anatuona sisi mazwazwa sijui!? Yaani pesa ya mfanya biashara itoke bila return nzuri! Kwamba yeye anaipenda sana CHADEMA kuliko ukoo wake? Kwamba ukoo wake wote matajiri so hana kwa kupeleka hela.
 
Usilojua niniwamba hata kabla ya kushambuliwa hakuchangia.
Pili kwani alipopigwa risasi matibabu alijigharimia mwenyewe? Je! Mshahara na marupurupu yake vili-cease hapohapo???
Lissu alichangia, na hata yeye majuzi alilitamka hilo kwamba wao kama wabunge wa CHADEMA walikuwa wakichangia na ndiyo itaratibu wa Chama
 
Kweli nimeamini ukitaka ufukuzwe CDM gombea uenyekiti
 
Huyu jamaa ukimsikiliza anaongea makamasi tupu
 
Hivi nikikonektiwa kwa Abdu si naweza kujiambualia hata ka jiwe kamoja cha kufungia mwaka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…