Rafiki yangu Hezekiah Wenje Bunge la 11 yaani 2015-2020 Lissu ubunge wake ulifutwa na alikuwa hospitali angechangiaje?

Rafiki yangu Hezekiah Wenje Bunge la 11 yaani 2015-2020 Lissu ubunge wake ulifutwa na alikuwa hospitali angechangiaje?

Nani asiyejua kipindi Mh LISSU alipigwa risasi na baadae Ubunge wake kutenguliwa atawezaje kuchangia wakati hakuwa na Mishahara?
Kwani baada ya kuchaguliwa tu akapigwa risasi hapo hapo na kusimamishiwa mshahara?
 
View attachment 3189444
==
Leo Ezekiah Wenje mjumbe wa Kamati Kuu CC anakuja kutuambia eti Mh LISSU hajachangia chochote kile akiwa mbunge kwenye bunge la 11.

Tujiuluze, bunge la kumi na Moja (11) lilikuwa mwaka 2015-2020 Lissu alikuwa Bungeni?

Nani asiyejua kipindi Mh LISSU alipigwa risasi na baadae Ubunge wake kutenguliwa atawezaje kuchangia wakati hakuwa na Mishahara?

Huyu Wenje hayuko sawa kiakili kabisaa sijui kwanini na sijui kawezaje kuwa mkiti wa Kanda na mjumbe wa Kamati Kuu huyu mtu,

Mtu huyu ni hatari na hana huruma kabisaa baya zaidi ni Muongo na mfitini sana.

Pia soma Wenje: Lissu mpaka anamaliza bunge la 11 hajachangia hata tsh.100 CHADEMA

Wenje anaona aitumie kisiasa hii itampa unafuu? Aiseee Wenje hana hata aibu kudai mgonjwa achangie,tunathamini uhai wake na tunashukuru Mungu kuturejeshea uhai wa Mh LISSU kumbe Wenje anataka mgonjwa kama LISSU kipindi kile eti achangie michango aibu sana

Wenje hana huruma hafai kuwa kiongozi kabisaa,sijui yupo kamati kuu kwa uwezo gani alionao.
Lissu alidai kiinua mgongo na akalipwa kama hakutumikia ubunge asingelipwa.

Wenje aneeleza kuwa kila mwezi mbunge inabidi achangie sehemu ya mshahara wake.

Kwani Lissu alipigwa risasi kabla hajapokea mshahara? Hukusikia kuwa hata baada ya kupigwa risasi aliendekea kulipwa mishahara yake? Baadae kwa, maneno ya Lissu nwenyewe alisema kuwa anelipwa stahiki zake zote za ubunge
 
View attachment 3189444
==
Leo Ezekiah Wenje mjumbe wa Kamati Kuu CC anakuja kutuambia eti Mh LISSU hajachangia chochote kile akiwa mbunge kwenye bunge la 11.

Tujiuluze, bunge la kumi na Moja (11) lilikuwa mwaka 2015-2020 Lissu alikuwa Bungeni?

Nani asiyejua kipindi Mh LISSU alipigwa risasi na baadae Ubunge wake kutenguliwa atawezaje kuchangia wakati hakuwa na Mishahara?

Huyu Wenje hayuko sawa kiakili kabisaa sijui kwanini na sijui kawezaje kuwa mkiti wa Kanda na mjumbe wa Kamati Kuu huyu mtu,

Mtu huyu ni hatari na hana huruma kabisaa baya zaidi ni Muongo na mfitini sana.

Pia soma Wenje: Lissu mpaka anamaliza bunge la 11 hajachangia hata tsh.100 CHADEMA

Wenje anaona aitumie kisiasa hii itampa unafuu? Aiseee Wenje hana hata aibu kudai mgonjwa achangie,tunathamini uhai wake na tunashukuru Mungu kuturejeshea uhai wa Mh LISSU kumbe Wenje anataka mgonjwa kama LISSU kipindi kile eti achangie michango aibu sana

Wenje hana huruma hafai kuwa kiongozi kabisaa,sijui yupo kamati kuu kwa uwezo gani alionao.
Kwahiyo Lissu alipigwa risasi akitokea nyumbani kwako !.

Kwanini Lissu anadai stahiki zake za ubunge ? Ni ubunge wa chumbani kwako.
 
Ila UKUMBUKE PIA Lissu alipigwa risasi 2017. Je hiyo miaka miwili ya kwanza alichangia .....!!?
Hili swali unataka team Lissu wakuparure kwa mitusi na dharau.

Huko Club House wameshindwa hata kumchangia 500,000 !.
 
Kwahiyo we startergear unamwamini lissu Kila anasema ni kweli ila wengine ni waongo hiyo ni double standard ya Hali ya juu
 
Hili swali unataka team Lissu wakuparure kwa mitusi na dharau.

Huko Club House wameshindwa hata kumchangia 500,000 !.

I know. Mimi pia ni shabiki wa siasa za upinzani na specifically CDM. Ila kwa Lissu sioni progress zaidi ya short term impact ambayo haitaifikisha popote CHADEMA kwa hali ya siasa zetu.
 
Ni mpumbavu pekee anayemsikiliza na kumtilia maanan wenje! Mimi ameniacha hoi aliposema eti Mbowe ametoa million 250 kuchangia bajeti ya mkutano mkuu. Hivi anatuona sisi mazwazwa sijui!? Yaani pesa ya mfanya biashara itoke bila return nzuri! Kwamba yeye anaipenda sana CHADEMA kuliko ukoo wake? Kwamba ukoo wake wote matajiri so hana kwa kupeleka hela.
Mshamba
 
Lissu alichangia, na hata yeye majuzi alilitamka hilo kwamba wao kama wabunge wa CHADEMA walikuwa wakichangia na ndiyo itaratibu wa Chama

Aweke ushahidi maana kwenye kumbukumbu za chama hayumo.
 
Ni mpumbavu pekee anayemsikiliza na kumtilia maanan wenje! Mimi ameniacha hoi aliposema eti Mbowe ametoa million 250 kuchangia bajeti ya mkutano mkuu. Hivi anatuona sisi mazwazwa sijui!? Yaani pesa ya mfanya biashara itoke bila return nzuri! Kwamba yeye anaipenda sana CHADEMA kuliko ukoo wake? Kwamba ukoo wake wote matajiri so hana kwa kupeleka hela.
Mbowe aonyeshe risiti aliyopewa na CHADEMA ya kuchangia hizo 250m. Hela hupokelewa kwa njia ya risiti.
 
Kwani mtu akichangia sana ndio kwamba anakuwa chadema zaidi au nn...mbona Sabodo alichangia milioni 100 na hakuwa mwana chadema alikuwa ccm...wenje anasemeaje hili?!.
Cha muhimu ni Lissu awe mwenyekiti mpya chadema, hatutaki tena porojo!!.
 
View attachment 3189444
==
Leo Ezekiah Wenje mjumbe wa Kamati Kuu CC anakuja kutuambia eti Mh LISSU hajachangia chochote kile akiwa mbunge kwenye bunge la 11.

Tujiuluze, bunge la kumi na Moja (11) lilikuwa mwaka 2015-2020 Lissu alikuwa Bungeni?

Nani asiyejua kipindi Mh LISSU alipigwa risasi na baadae Ubunge wake kutenguliwa atawezaje kuchangia wakati hakuwa na Mishahara?

Huyu Wenje hayuko sawa kiakili kabisaa sijui kwanini na sijui kawezaje kuwa mkiti wa Kanda na mjumbe wa Kamati Kuu huyu mtu,

Mtu huyu ni hatari na hana huruma kabisaa baya zaidi ni Muongo na mfitini sana.

Pia soma Wenje: Lissu mpaka anamaliza bunge la 11 hajachangia hata tsh.100 CHADEMA

Wenje anaona aitumie kisiasa hii itampa unafuu? Aiseee Wenje hana hata aibu kudai mgonjwa achangie,tunathamini uhai wake na tunashukuru Mungu kuturejeshea uhai wa Mh LISSU kumbe Wenje anataka mgonjwa kama LISSU kipindi kile eti achangie michango aibu sana

Wenje hana huruma hafai kuwa kiongozi kabisaa,sijui yupo kamati kuu kwa uwezo gani alionao.
lisu alipigwa risasi mwaka gani?
kabla hajapigwa risasi alichanga?
 
View attachment 3189444
==
Leo Ezekiah Wenje mjumbe wa Kamati Kuu CC anakuja kutuambia eti Mh LISSU hajachangia chochote kile akiwa mbunge kwenye bunge la 11.

Tujiuluze, bunge la kumi na Moja (11) lilikuwa mwaka 2015-2020 Lissu alikuwa Bungeni?

Nani asiyejua kipindi Mh LISSU alipigwa risasi na baadae Ubunge wake kutenguliwa atawezaje kuchangia wakati hakuwa na Mishahara?

Huyu Wenje hayuko sawa kiakili kabisaa sijui kwanini na sijui kawezaje kuwa mkiti wa Kanda na mjumbe wa Kamati Kuu huyu mtu,

Mtu huyu ni hatari na hana huruma kabisaa baya zaidi ni Muongo na mfitini sana.

Pia soma Wenje: Lissu mpaka anamaliza bunge la 11 hajachangia hata tsh.100 CHADEMA

Wenje anaona aitumie kisiasa hii itampa unafuu? Aiseee Wenje hana hata aibu kudai mgonjwa achangie,tunathamini uhai wake na tunashukuru Mungu kuturejeshea uhai wa Mh LISSU kumbe Wenje anataka mgonjwa kama LISSU kipindi kile eti achangie michango aibu sana

Wenje hana huruma hafai kuwa kiongozi kabisaa,sijui yupo kamati kuu kwa uwezo gani alionao.
Ahahahahaha! Unataka kutwambia alivyoingia tu Bungeni 2015 akatwangwa risasi? Ahahahahaha!
 
Back
Top Bottom