Kwani baada ya kuchaguliwa tu akapigwa risasi hapo hapo na kusimamishiwa mshahara?Nani asiyejua kipindi Mh LISSU alipigwa risasi na baadae Ubunge wake kutenguliwa atawezaje kuchangia wakati hakuwa na Mishahara?
Lissu alidai kiinua mgongo na akalipwa kama hakutumikia ubunge asingelipwa.View attachment 3189444
==
Leo Ezekiah Wenje mjumbe wa Kamati Kuu CC anakuja kutuambia eti Mh LISSU hajachangia chochote kile akiwa mbunge kwenye bunge la 11.
Tujiuluze, bunge la kumi na Moja (11) lilikuwa mwaka 2015-2020 Lissu alikuwa Bungeni?
Nani asiyejua kipindi Mh LISSU alipigwa risasi na baadae Ubunge wake kutenguliwa atawezaje kuchangia wakati hakuwa na Mishahara?
Huyu Wenje hayuko sawa kiakili kabisaa sijui kwanini na sijui kawezaje kuwa mkiti wa Kanda na mjumbe wa Kamati Kuu huyu mtu,
Mtu huyu ni hatari na hana huruma kabisaa baya zaidi ni Muongo na mfitini sana.
Pia soma Wenje: Lissu mpaka anamaliza bunge la 11 hajachangia hata tsh.100 CHADEMA
Wenje anaona aitumie kisiasa hii itampa unafuu? Aiseee Wenje hana hata aibu kudai mgonjwa achangie,tunathamini uhai wake na tunashukuru Mungu kuturejeshea uhai wa Mh LISSU kumbe Wenje anataka mgonjwa kama LISSU kipindi kile eti achangie michango aibu sana
Wenje hana huruma hafai kuwa kiongozi kabisaa,sijui yupo kamati kuu kwa uwezo gani alionao.
Kwahiyo Lissu alipigwa risasi akitokea nyumbani kwako !.View attachment 3189444
==
Leo Ezekiah Wenje mjumbe wa Kamati Kuu CC anakuja kutuambia eti Mh LISSU hajachangia chochote kile akiwa mbunge kwenye bunge la 11.
Tujiuluze, bunge la kumi na Moja (11) lilikuwa mwaka 2015-2020 Lissu alikuwa Bungeni?
Nani asiyejua kipindi Mh LISSU alipigwa risasi na baadae Ubunge wake kutenguliwa atawezaje kuchangia wakati hakuwa na Mishahara?
Huyu Wenje hayuko sawa kiakili kabisaa sijui kwanini na sijui kawezaje kuwa mkiti wa Kanda na mjumbe wa Kamati Kuu huyu mtu,
Mtu huyu ni hatari na hana huruma kabisaa baya zaidi ni Muongo na mfitini sana.
Pia soma Wenje: Lissu mpaka anamaliza bunge la 11 hajachangia hata tsh.100 CHADEMA
Wenje anaona aitumie kisiasa hii itampa unafuu? Aiseee Wenje hana hata aibu kudai mgonjwa achangie,tunathamini uhai wake na tunashukuru Mungu kuturejeshea uhai wa Mh LISSU kumbe Wenje anataka mgonjwa kama LISSU kipindi kile eti achangie michango aibu sana
Wenje hana huruma hafai kuwa kiongozi kabisaa,sijui yupo kamati kuu kwa uwezo gani alionao.
Watakufa wao Chadema Ipo mioyoniNia ya wanaotaka TAL awe mwenyekiti,Wana Nia ya kuia chadema!
Hili swali unataka team Lissu wakuparure kwa mitusi na dharau.Ila UKUMBUKE PIA Lissu alipigwa risasi 2017. Je hiyo miaka miwili ya kwanza alichangia .....!!?
Amekuwa dhaifu sanaHuyu wenje hela za Abdul zimempofusha kabisa
kupitia sera ya nusu mkateSijui hata huo uenyekiti wa Kanda kaupataje?!
Hilo li mwigulu lipaliwe mpaka koo ipasukeNchi hii imeshndikana upinzania hakuna shika jembe ukalime acha wakina mwigulu walembe asali mpaka wapaliwe.
Hili swali unataka team Lissu wakuparure kwa mitusi na dharau.
Huko Club House wameshindwa hata kumchangia 500,000 !.
MshambaNi mpumbavu pekee anayemsikiliza na kumtilia maanan wenje! Mimi ameniacha hoi aliposema eti Mbowe ametoa million 250 kuchangia bajeti ya mkutano mkuu. Hivi anatuona sisi mazwazwa sijui!? Yaani pesa ya mfanya biashara itoke bila return nzuri! Kwamba yeye anaipenda sana CHADEMA kuliko ukoo wake? Kwamba ukoo wake wote matajiri so hana kwa kupeleka hela.
Lissu alichangia, na hata yeye majuzi alilitamka hilo kwamba wao kama wabunge wa CHADEMA walikuwa wakichangia na ndiyo itaratibu wa Chama
Kweli nimeamini ukitaka ufukuzwe CDM gombea uenyekiti
TAL amesema mara kadhaa,anadai pesa zake Kwa Mama Abdul aweze kutimiza majukumu yake. Siku akilipwa atalipa madeni yake.
Mbowe aonyeshe risiti aliyopewa na CHADEMA ya kuchangia hizo 250m. Hela hupokelewa kwa njia ya risiti.Ni mpumbavu pekee anayemsikiliza na kumtilia maanan wenje! Mimi ameniacha hoi aliposema eti Mbowe ametoa million 250 kuchangia bajeti ya mkutano mkuu. Hivi anatuona sisi mazwazwa sijui!? Yaani pesa ya mfanya biashara itoke bila return nzuri! Kwamba yeye anaipenda sana CHADEMA kuliko ukoo wake? Kwamba ukoo wake wote matajiri so hana kwa kupeleka hela.
lisu alipigwa risasi mwaka gani?View attachment 3189444
==
Leo Ezekiah Wenje mjumbe wa Kamati Kuu CC anakuja kutuambia eti Mh LISSU hajachangia chochote kile akiwa mbunge kwenye bunge la 11.
Tujiuluze, bunge la kumi na Moja (11) lilikuwa mwaka 2015-2020 Lissu alikuwa Bungeni?
Nani asiyejua kipindi Mh LISSU alipigwa risasi na baadae Ubunge wake kutenguliwa atawezaje kuchangia wakati hakuwa na Mishahara?
Huyu Wenje hayuko sawa kiakili kabisaa sijui kwanini na sijui kawezaje kuwa mkiti wa Kanda na mjumbe wa Kamati Kuu huyu mtu,
Mtu huyu ni hatari na hana huruma kabisaa baya zaidi ni Muongo na mfitini sana.
Pia soma Wenje: Lissu mpaka anamaliza bunge la 11 hajachangia hata tsh.100 CHADEMA
Wenje anaona aitumie kisiasa hii itampa unafuu? Aiseee Wenje hana hata aibu kudai mgonjwa achangie,tunathamini uhai wake na tunashukuru Mungu kuturejeshea uhai wa Mh LISSU kumbe Wenje anataka mgonjwa kama LISSU kipindi kile eti achangie michango aibu sana
Wenje hana huruma hafai kuwa kiongozi kabisaa,sijui yupo kamati kuu kwa uwezo gani alionao.
yohani na wewe ndumilakuwiliSijui hata huo uenyekiti wa Kanda kaupataje?!
Ahahahahaha! Unataka kutwambia alivyoingia tu Bungeni 2015 akatwangwa risasi? Ahahahahaha!View attachment 3189444
==
Leo Ezekiah Wenje mjumbe wa Kamati Kuu CC anakuja kutuambia eti Mh LISSU hajachangia chochote kile akiwa mbunge kwenye bunge la 11.
Tujiuluze, bunge la kumi na Moja (11) lilikuwa mwaka 2015-2020 Lissu alikuwa Bungeni?
Nani asiyejua kipindi Mh LISSU alipigwa risasi na baadae Ubunge wake kutenguliwa atawezaje kuchangia wakati hakuwa na Mishahara?
Huyu Wenje hayuko sawa kiakili kabisaa sijui kwanini na sijui kawezaje kuwa mkiti wa Kanda na mjumbe wa Kamati Kuu huyu mtu,
Mtu huyu ni hatari na hana huruma kabisaa baya zaidi ni Muongo na mfitini sana.
Pia soma Wenje: Lissu mpaka anamaliza bunge la 11 hajachangia hata tsh.100 CHADEMA
Wenje anaona aitumie kisiasa hii itampa unafuu? Aiseee Wenje hana hata aibu kudai mgonjwa achangie,tunathamini uhai wake na tunashukuru Mungu kuturejeshea uhai wa Mh LISSU kumbe Wenje anataka mgonjwa kama LISSU kipindi kile eti achangie michango aibu sana
Wenje hana huruma hafai kuwa kiongozi kabisaa,sijui yupo kamati kuu kwa uwezo gani alionao.