Rafiki yangu Hezekiah Wenje Bunge la 11 yaani 2015-2020 Lissu ubunge wake ulifutwa na alikuwa hospitali angechangiaje?

Nimekua kwenye AJIRA kwa zaidi ya miaka 25, nimefanya kazi na makabila almost yote Tanzania hi, nimefanya kazi na baadhi ya makabila kutoka Uganda, Kenya, Rwanda, Zambia na Malawi kidogo. Kwa hapa Africa mashariki, hakuna watu nawaogopa, hakuna watu siwaamini kama Wajaluo. Yaani Mjaluo, hapana. Hawa kukusariti akitokea mjaluo mwenzao, dakika 1 kubwa sana. I never trust Jaluo, never
 
We
Wenje anapambania ugombea wake makamu wa mwenyekiti, pia wenje sio wa kuaminika, aliwahi mzushia lissu kwamba anamdai kumbe SI kweli
 
Mishahara ilikuwa inakatwa na bunge Kisha kupelekwa kwenye chama, wenje ni mwongo.
 
Lissu hana mpinzani mpaka sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…