Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
Asilimia kubwa ninyi wanawake ndo mnahizo tabia... Wanaume hapana....Ifikie hatua singlemom na singlefather tuthamini watoto wetu kuliko hizo ndoa.....Wanadamu ni kama wanyama,ni ngumu kupenda mtoto wa mwingine.
Nimwambie yeye ni mpumbavu 🤣🤣🤣Pole, jamaa atakuwa anajua mtoto anateseka sema ndio ukute kajazwa sumu na mkewe.
Kila siku akirudu jioni anapewa orodha ya maovu ya dogo, kwahiyo akilini mwake anajenga picha ya mtoto jeuri, mtundu na asiye na thamani kwa familia.
Wengi walioishi na mama wa kambo wanayajua vema haya.
Hiyo siku ya kikao mchane ukweli wote waziwazi bila kuyumbisha maneno. Mwambie yeye ni MPUMBAVU MKUBWA!
Nilimaanisha ametokea Congo mkuu.Mwanamke mwenye asili ya Kongo mkuu!Tafsiri Yako sio.
Asante mkuu. Haya ndio malipo ya mtu unaejaribu kui save damu yake isiteseke.Pole sana mkuu
Asante mkuu kwa ushauri, lakini huku tulipo ni mbali mno na familia. Mshikaji tulijuana nae miezi kadhaa tu iliyopita. Ila tukatokea kuwa kama ndugu.Ooh inasikitisha sana Mungu atuepushe na hii mitihani aisee Ila fanya tu kumsaidia huyo mtoto kama nirafiki yako toka nitoke nina imani utakuwa unajuana na ndugu zake mtafute yule anaemuheshimu mwaambie waamfikishie huo ujumbe km utakuwa una ushahidi itakuwa poa sana than achana nae.
I mean.. fikiria baba anashindwa kufuatilia malezi ya mtoto wake pale nyumbani. Mambo ya mama wa kambo yanafahamika toka miaka mingi, lakini jamaa ameshindwa kujiongeza kujua mwanae anaishi vipi.Mungu atakusimamia kwa sababu umesimama kwenye haki na mungu ana daraja maalum kwa wale wanaowatendea wema yatima, usichoke kumpigania huyo dogo, wazazi kama huyo home boy wako ndio wanaoongeza watoto wa mitaani inakera sana
Asante mkuu kwa ushauri mzuri. Nitaufanyia kazi 🙏Mpeleke kwenye mamlaka husika. Huyo jamaa anajua kila kinachoendelea na anakiunga mkono. Wiki mbili ni nyingi mno na lolote linaweza kumpata mtoto. Jitahidi kuokoa maisha ya hako ka malaika. Achana na huyo mshamba.
Amandla...
Wabongomnapenda kujipendekeza na kuminf others business,kila mtu atulie kwakePasingekuwa na mikingamo, wema wako ungelithaminiwa.
Sasa pata kujifunza kuwa desturi za kiAfrika, mawasiliano yote huwa ni kwa baba.
Mzigo ulopeleka kwa wema, baada ya kumkosa baba mwenye nyumba usingeliukabidhi kwa mkewe.
Wazo la jamaa wa kati kuwaweka kikao cha upatanisho ni wazo zuri na litaleta mafanikio.
Tatizo litabakia kwa jamaa yako muda pamoja na namna atakavyopona majeraha ya wivu.
Ukiisha maliza kuyaweka sawa maridhiano, jitahidi kuwa muwazi kwa rafiki yako kila hatua ili kuzuia ujinga wa namna hii usijirudie.
Shukran sana mkuu. Mungu akubariki 🙏Pasingekuwa na mikingamo, wema wako ungelithaminiwa.
Sasa pata kujifunza kuwa desturi za kiAfrika, mawasiliano yote huwa ni kwa baba.
Mzigo ulopeleka kwa wema, baada ya kumkosa baba mwenye nyumba usingeliukabidhi kwa mkewe.
Wazo la jamaa wa kati kuwaweka kikao cha upatanisho ni wazo zuri na litaleta mafanikio.
Tatizo litabakia kwa jamaa yako muda pamoja na namna atakavyopona majeraha ya wivu.
Ukiisha maliza kuyaweka sawa maridhiano, jitahidi kuwa muwazi kwa rafiki yako kila hatua ili kuzuia ujinga wa namna hii usijirudie.
Asante kwa kuwafahamisha mkuu. Na mimi nimejitahidi kueleza kwa baadhi ya comment hapo chini, i hope waliosoma wameshaelewa.Mtoa mada anaishi SA south Africa na amekaa huko muda Ila mnamwambia aende kwa Gwajima!
Shukrani mkuu. Mungu akubariki kwa comment yako.Jamaa uko na moyo wa kipekee, Mungu akulipe thawabu za kutosha. Wote tungekuwa kama wewe watoto wasingekuwa wanapata mateso
Na hapa kuna sheria zinazofanana na nyumban mkuu. Lakini hapa tulipo mtu kukutumia watu waje kuchukua roho yako ni sekunde tu.Imebidi nirudie kusoma, nimeelewa sasa kumbe jamaa wawili ni watz wasioishi Tanzania OK OK, amrekodi atupie kwa mitandao
Siungi mkono unyanyasaji ila alikosea sana kutokumwambia huyo jamaa yake.mahali ulikosea kabla ya kufanya maamuzi ya kununua nguo. Ulipaswa umweleze baba wa mtoto hizo changamoto tena mbele ya huyo mama mlezi.