Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 442
- 1,655
Kama mada inavyojieleza
Hii hali imenishangaza sana. Nina marafiki wengi wa kike na kiume wenye umri unaocheza miaka 35 mpaka 37 wengi wao ndoa zao zimevunjika na nyingine zipo ICU
Wengi wa marafiki hawa walioa baada ya kumaliza vyuo tena kwa mbwembwe nyingi leo hii ndo zimesambaratika na wengi wamegeuka maadui dhidi ya watalaka wao.
Wanawake nao wamegeuka masingle mother na wadangaji
Katika uchunguzi wangu mdogo nimegundua hawa marafiki zangu walikurupuka kuoa mara tu walipopata kazi na kuingiza hela za mishahara wakakimbilia kuoa tena harusi za gharama
Leo wengi wanajuta kuoa hasa wale waliooa wanawake zao wa chuo. Maana baadhi ya marafiki hawana kazi maalumu ya kuingiza kipato ila wake zao waliajiriwa mapema so ndoa zao zimeingia ICU maana mke anavimba ndani ya nyumba.
Kwa kweli ndoa ni gumu.
Hii hali imenishangaza sana. Nina marafiki wengi wa kike na kiume wenye umri unaocheza miaka 35 mpaka 37 wengi wao ndoa zao zimevunjika na nyingine zipo ICU
Wengi wa marafiki hawa walioa baada ya kumaliza vyuo tena kwa mbwembwe nyingi leo hii ndo zimesambaratika na wengi wamegeuka maadui dhidi ya watalaka wao.
Wanawake nao wamegeuka masingle mother na wadangaji
Katika uchunguzi wangu mdogo nimegundua hawa marafiki zangu walikurupuka kuoa mara tu walipopata kazi na kuingiza hela za mishahara wakakimbilia kuoa tena harusi za gharama
Leo wengi wanajuta kuoa hasa wale waliooa wanawake zao wa chuo. Maana baadhi ya marafiki hawana kazi maalumu ya kuingiza kipato ila wake zao waliajiriwa mapema so ndoa zao zimeingia ICU maana mke anavimba ndani ya nyumba.
Kwa kweli ndoa ni gumu.