Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

Unakuta mwanamke anajua hadi kupekenyua hadi hidden filles kwenye simu ya mume wakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚anajua hadi kwenda kutafuta picha zilizofutwa huko kwenye bin anazirudisha.πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa huu ni uchokozi, wivu wa kijinga, kutafuta ugomvi.

Hii haihusiani na kuwa na upeo.
Nilikuwa na mpenzi IQ sifuri lakini ukisinzia tu lazima akomae kusachi simu.

Mimi simu ya mke au mpenzi siwezi kukaa naichunguza labda niwe nina sababu maalumu.
 
Nina wangu aliniuliza hizo bomu zinazo pigwa Hamas kuna siku hazitafika Dar es salaam?.....nika mjibu usijali mke wangu ziko mbali sana, kauliza ubali kutoka hapa mpaka kupita Morogoro nika muambia ndiyo, akaendelea na kazi zake za ku pika simple like that. [emoji1787][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
 
Kwa level ya maisha yako, ni sawa, ka mishahara, au, ka ajira, kanyumba ka moja, kashamba, ka ist, basi, nothing more nothing less, Ila kina sie, tunataka mke awe na akili za Eron musk, au Bill Gates, maana maisha yetu hayaishii kujenga majumba, kuwa na mavogue,na kusomesha watoto English medium kwa 4+M, tunawaza kizazi, chetu cha tano kutoka sasa hv, kitaishije!
Sasa kama wewe ni kama Baba levo, mke mwenye akili kubwa Sana wa nini? We pata yule anayetafuta story za Balthazar endonga kuanzia asubuh mpaka jioni
 
Mke ni mke siku zote hawezi kufanya kazi ya kua rafiki kila mtu ana role yake hapo ndo mnajidanganya bure.
 
Lakini wanawake wengi, mitandao yao Facebook, instagram, tiktok na mitandao za umbea umbea, radio watasikiliza vipindi vya umbea umbea, ukimkuta anayefuatilia dini basi channel utakaso kuta kwenye ni TV ni Upendo tv, Arise ya mwamposa
Ni kweli hata huku JF wanawake wengi wanasoma titles za threads pekee wakifika kwenye comments wanamwaga tu likes kama min -me na raraa reree. Ukitaka kuamini hilo mfuatilie leo dada pamoja na Be calm.

Hawasomi comments kabisa.
 
Balthazar Endonga?
 
Mwanamke anatakiwa kama Taifa Stars wanacheza na Misri aulize kuwa Sasa YANGA ndo wako wapi?
 
Kweli kabisa hata Hesabu ajue kwa mbalii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…