The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Ukisha zipata hizo akili za kitoto,Ngoja nitafute hizo akili za kitoto, kumbe naboa na sijui.
Nicheki PM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisha zipata hizo akili za kitoto,Ngoja nitafute hizo akili za kitoto, kumbe naboa na sijui.
Kuna demu tulikuwa tunalala tunabishana vita vya ukraine na rusia usiku kucha.Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto ndani pachangamke sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya. Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.
Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.
Kwako msomaji nini maoni yako?
Kumbe huyu ndo jamaa ako?. Bas s
Noted sir😂😂😂Ukisha zipata hizo akili za kitoto,
Nicheki PM.
Inatakiwa mke awe shabiki lialia wa popoma GENTAMYCINEMke anfuatilia nyuzi za Robert Heriel Mtibeli na Mshana Jr na kuzielewa kindakindaki?
Huyo siyo mke bali FBI
Hilo dume mwenzio ki akili sio mke wakujisikia kwamba una mtu wa kilea.Ni kweli
Unakuta anakupangia hadi lineup ya kikosi cha Simba kilichomtoa Zamalek mwaka 2003 pamoja na subs zake.
Na hali huwa mbaya zaidi kama akiwa ni mkosoaji.
If that is the case, naomba nitangazie Umma kuwa I'm officially a man!!!Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto ndani pachangamke sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya.
Unakuta mwanamke anafatilia Uchaguzi wa Marekani kwa umakini, Channel zake ni ITV na BBC Tu. Anajua taarifa za vita ya Ukraine A-Z.
Juu ya yote kiasi kwa kila jambo ni suala la msingi zaidi.
Kwako msomaji nini maoni yako?
UpunguzeNikuulize kwanza wew umejuaje nafahamu hizo habari za kusadikika
😅 kutoka moyoni napenda sana mwanamke mwenye akili. Ila asiwe serious sana. 😅 mara moja mNgoja nitafute hizo akili za kitoto, kumbe naboa na sijui.
😄 kweli aseehKila mtu ana chaguo lake
Oa la saba B, hawana mambo
😃La saba labda wale wa 1900's hiki kizazi cha 2000 utakidanganya kwenye nini😅
Kuna mwanamke nilipanga kumwoa ila nilimwacha kwa sababu alikuwa anamkosoa Kila aliyekosea kutamka majina ya vilabu vinavyoshiriki ligi kuu ya ujerumani kama Pascal Mayalla alivyokuwa anawakosoa watangazaji wa E A Radio miaka ile alipokuwa akifanya kazi pale kwa muda.Ni kweli
Unakuta anakupangia hadi lineup ya kikosi cha Simba kilichomtoa Zamalek mwaka 2003 pamoja na subs zake.
Na hali huwa mbaya zaidi kama akiwa ni mkosoaji.
Dogo kwa taarifa tu ni kwamba usipo m-control mwanamke basi ataku-control yeye na hakuna kitu kama kucontroliana.... Najua nyie vijana wa kisasa mko stupified na usawa wa kijinsia na wakati katika ulimwengu halisi hakuna usawa kwenye jambo lolote lile.shida yetu kubwa wanaume ni hii
tunataka mwanamke awe kama tunavyotaka sisi kwenye kila kitu
we are control freaks