secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Demu aneyetumia maneno haya hapa chini katika chatting huwa ananifanya nitapike hata kama sijala chochote.Mwanangu upo kama mimi jembe langu Yan sipend demu wa "ndio " au yule wa ", niambie" afu unakuta amekuchek yeye
Kuna mwanamke kilaza na Mjuaji. Hawa wote hawafai. Nazungumzia mwanamke ambaye ni kama mtoto kwa mama yake. Akili ya mama ndio akili yake ila sio yeye kuwa mjuzi wa mambo kuliko mamaye.Mwanamke kilaza anaboa sana mkuu, labda ukiwa kilaza ndo unaweza pata ugum kudeal na mwanamke smart.
Sawa tajiri unayemiliki ufukaraNyie mafukara wambea ndio mnaolia na kuwaonea wivu hao wake wa matajiri, kina Jeff Bezos, Bill Gates na wengine wala hawajawahi kulia au kulalamika wake zao kuchukua kidogo katika ukwasi wao.
Challenge ya nini katika ndoa? Ndoa sio siasa kwamba unahitaji mpizani ili ujipange vizuri. Na mke usimfanye kua business partner au consultant wa biashara zako, mke sio kitega uchumi kwa familia .Hiyo kuogopa kuwa hamtaelewana ndiyo kuogopa maisha kwenyewe huko.
Kwa nini huoni kuwa mke mwenye akiki nyingi ndiye atakupa challenge ya wewe hata kujiendeleza zaidi?
Yani ukizubaa kidogo mara mke kakupa mipango ya kuweka vitegauchumi kwenye stock market, mara kwenye crypto currency.
Unaogopa maisha tu.
Demu aneyetumia maneno haya hapa chini katika chatting huwa ananifanya nitapike hata kama sijala chochote.
Eti, niaje,
nigani,
uhakika,
ni gudi,
kama kawa?
Umenichekesha sana, jana nimeulizwa kwenye uchaguzi huu raisi anaegombea ni nani!! Kuna namna inafurahisha na kukera!Mi wangu aliposema Hanang ni china ule wakati wa mafuriko ya matope nikajua kazi ipo
Ila yuko poa sana
π ππ Oya mkuu acha uwongo bhana.Umenichekesha sana, jana nimeulizwa kwenye uchaguzi huu raisi anaegombea ni nani!! Kuna namna inafurahisha na kukera!
Unaishi sayari ya Mars? Huoni kina Jeff Bezos na matajiri wengine wanavyolia baada ya talaka. Kamwe mwanamke hawezi kuwa sawa na mwanaume. Mwanamke ni dhaifu kwa asili. Kulikuwa na wanawake wangapi waliokuwa wanaokoa watu Kkoo? Suala la mwanamke kuwa chini ya mwanaume ni la asili na sio kwamba kuna uonevu. Sisi watu wa riadha tuna ushahidi usiotia shaka. Kwenye marathon mwanamke hata afanye mazoezi kiasi gani na hata awe na kipaji kiasi gani hawezi ingia top ten kama matokeo yakichanganywa pamoja na ya wanaume.
Kuna mmoja aliniambia "my unaweza kunisaidia liten limoja"Juz nimeopoa demu ananiambia "ety niforcie elfu 60π€£"
Mkuu vuta picha mume wa Samia kisaikolojia ya mfumo dume anakua na wakati gani?Mkuu,
Unajua mpaka nchi inaongozwa na mwanamke?
wakwangu anajua madude hayo ya umeme kunizid hadi na mkwepa akiniambia namwambia mambo madogo hayo maliza tu wewe bac anayamaliza kweliHahaha!
Huyo unayemtaka wewe bulb ikiungua usipokuwepo wanalala giza.
Inatakiwa aweze kufix fix vitu vidogo vidogo kama TV, radio na umemeππ.
Ajue hata kidogo basic algebra, photosynthesis, nutrition, colonial rule, PGO na income statementKumbe wew upo upande upi???
Yessss..... Mke anatakiwa kuwa hivi SasaπππππUmenichekesha sana, jana nimeulizwa kwenye uchaguzi huu raisi anaegombea ni nani!! Kuna namna inafurahisha na kukera!
Mkuu mke akupangie mipango wewe, akupe challenge wewe. Wa kwangu nitampangia mimi na maswala ya uchumi sio kazi yake. Kazi yake ni kuitunza ndoa, kufanya ibada kulea watoto kwenye maadili, ndani pawe sawa basi. Yaani akili yake na passion yale yote iwe kwa Mungu, Mume, watoto na ndoa kiujumla maswala ya Crypto currency na fore wafanye wengine.Hiyo kuogopa kuwa hamtaelewana ndiyo kuogopa maisha kwenyewe huko.
Kwa nini huoni kuwa mke mwenye akiki nyingi ndiye atakupa challenge ya wewe hata kujiendeleza zaidi?
Yani ukizubaa kidogo mara mke kakupa mipango ya kuweka vitegauchumi kwenye stock market, mara kwenye crypto currency.
Unaogopa maisha tu.