Raia milioni moja wa Iran wabadili dini na kuwa wakristo

Raia milioni moja wa Iran wabadili dini na kuwa wakristo

Mashoga ya kizungu yakishafi..ana na kuchoka, yanaanza kutafuta wapi tupake mavi
Naona wameamua kushoboka na Iran, halafu ukiingia kusikilaza video wanaongelea taliban 🤣 🤣
 
Wakuu
Serikali ya kiislam ya mapinduzi ya iran haina muda mrefu kwa kua wengi wao hawaamini tena katika dini ya kiislam.

Wairan kama mnavyojua ni watu wenye Akili sana.Kwao kuendeshwa kwa kulazimishwa kuvaa hijabu,kufuata sheria za kidini ambazo wengi hawaziamini ni kiu kigumu.
Kifupi wairan ni kama wazungu hawatak kuamini katika nadharia za kidini .

Na pili wengi wao saizi hawaswali na mamilioni wanabadili dini kwenda kwene ukristu.

Kongole kwenu wairan

View: https://youtu.be/0gYVbK4kP2A?si=A4a5n2G-7pHIXk4e

1.Chanzo cha habari? 2. Iran, Human population yake ni ngapi ili tukokotoe kama hao wanaobadili dini ni "a significant figure"
 
Mashoga ya kizungu yakishafi..ana na kuchoka, yanaanza kutafuta wapi tupake mavi
Naona wameamua kushoboka na Iran, halafu ukiingia kusikilaza video wanaongelea taliban 🤣 🤣
Kuna mashoga mengi sana tena Maimamu huko USA, CANADA, Ulaya na S.Africa. nikutajie wachache ambao bado wana misikiti yenye waumini kibao?

Mashoga yamejaa hata Uarabuni
 
Kuna mashoga mengi sana tena Maimamu huko USA, CANADA, Ulaya na S.Africa. nikutajie wachache ambao bado wana misikiti yenye waumini kibao?

Mashoga yamejaa hata Uarabuni
kweli kabisa ushoga n tabia ya mtu haijalishi dini.
 
Wakuu
Serikali ya kiislam ya mapinduzi ya iran haina muda mrefu kwa kua wengi wao hawaamini tena katika dini ya kiislam.

Wairan kama mnavyojua ni watu wenye Akili sana.Kwao kuendeshwa kwa kulazimishwa kuvaa hijabu,kufuata sheria za kidini ambazo wengi hawaziamini ni kiu kigumu.
Kifupi wairan ni kama wazungu hawatak kuamini katika nadharia za kidini .

Na pili wengi wao saizi hawaswali na mamilioni wanabadili dini kwenda kwene ukristu.

Kongole kwenu wairan

View: https://youtu.be/0gYVbK4kP2A?si=A4a5n2G-7pHIXk4e

Haleluya
 
sawa mdogo wake yesu, mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na la kulia,

siku akikutoa bandama ndo utajua hujui.
Kwaiyo ukilipiza ndo unakua sehemu ya Mungu au Shetan.
Mungu anasema usilipize kisasi maana hiyo ni juu ya mwenyezi Mungu
 
  • Thanks
Reactions: 511
siku nikisikia kichwa cha ayatoula kimeliwa itakuwa poa sana, badala ya kuwaza maendeleo ya nchi anawaza kujenga misikiti na kufadhili ugaid, bure kabisa.
ndiyo mana Tanzania tumewapita sana kimaendeleo....
 
Wakuu
Serikali ya kiislam ya mapinduzi ya iran haina muda mrefu kwa kua wengi wao hawaamini tena katika dini ya kiislam.

Wairan kama mnavyojua ni watu wenye Akili sana.Kwao kuendeshwa kwa kulazimishwa kuvaa hijabu,kufuata sheria za kidini ambazo wengi hawaziamini ni kiu kigumu.
Kifupi wairan ni kama wazungu hawatak kuamini katika nadharia za kidini .

Na pili wengi wao saizi hawaswali na mamilioni wanabadili dini kwenda kwene ukristu.

Kongole kwenu wairan

View: https://youtu.be/0gYVbK4kP2A?si=A4a5n2G-7pHIXk4e

Safi Sana,
 
Back
Top Bottom