Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

we umedeal nae kistaarab sana. anaihitaji tusi!
 
Hatari sana🤣
 
Ana aibisha taasisi sasa mlevi ndo usukume konde,badala TU ya kumpush TU kidogo.
Wako walevi wakorofi aweza toa kisu nk Mlinzi kampa huduma ya kwanza ya ngumi Hadi chini na kuzimia na kuhakikisha Hana Cha kufanya ili yeye aendelee na msafara

Huo Msiba mkubwa sio wa walevi wa mitaani huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…