Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Kama ambavyo kichwa cha habari kinaeleza, ni mwendo wa kutafuta haki zilizocheleweshwa kwa muda mrefu. Sasa Bwanamdogo kumfuata jamaa yake Saabaya.

View attachment 2010778
Na kwa kauli ya Prezda jana wakati anazindua jengo la chuo cha Jeshi kunduchi sasa naweza amini DAB a.k.a Paul makonda huenda akashtakiwa
 
Ok, ngoja tuone.

Makonda awe makini, hilo kosa linaweza "kutengenezwa" lifanane na lile la Sabaya limpeleke jela na yeye, nikiangalia kwa jicho la tatu naliona litamkalia vibaya sana, kwenye utetezi sioni kama atakuwa na pakutokea.
 
Kama ambavyo kichwa cha habari kinaeleza, ni mwendo wa kutafuta haki zilizocheleweshwa kwa muda mrefu. Sasa Bwanamdogo kumfuata jamaa yake Saabaya.

View attachment 2010778
Huyo ilikuwa ni suala la muda tu ili aionje radha na uzuri wa jela.

Aliwasingizia watu wasiyo na hatia na kuwaweka ndani kisa babake yupo ikulu.

Akushitakiwa nitakuwa wa kwanza kushehekea tena bila kificho.
 
Gazeti lisiloaminika!! Wanataka alimradi kumpanikisha bashit. Wamshtaki kwa kuchafua majina ya watu kuhusu madawa alipe mabilioni afilisikie mbali
Gazeti haliaminiki vipi wakati ndilo lilituletea uovu wa Sabaya ule uliokuwa haujulikani..

Tena bora hilo litakuwa kosa jepesi kwake, yako makosa alitenda amuombe Mungu amuepushie mbali asishtakiwe nayo.
 
Huyu akipelekwa ubaoni hachomoki especially hilo kosa la matumizi mabaya ya madaraka watamdaka mapema mno maana alikuwa anasumbua watu then mwishoni hakuna kinachotokea zaidi ya kuwapakazia watu Mambo ambayo amekosa ushahidi.
Nakumbuka sana jinsi alivyo wapakazia kina Mbowe na kina Majizo na Manji kesi za madawa ya kulevya.

Jamaa alikuwa anajioni ni Mungu mtu wakati Mungu hana tabia za kiuwaji kama huyu .
 
Ok, ngoja tuone.

Ila Makonda awe makini, hilo kosa linaweza "kutengenezwa" lifanane na lile la Sabaya limpeleke jela na yeye, nikiangalia kwa jicho la tatu naliona litamkalia vibaya sana, na awe makini zaidi kwenye utetezi.
Huyu jamaa nikichekigi zile video zake enzi za unaibu rais hua nacheka sana.
 
Hivi pale anapoishi makonda mfanyakazi wa serikali atachukua miaka mingapi kukusanya pesa ya kupanunua na kufanya ukarabati mkubwa kama ule?
 
Nakumbuka sana jinsi alivyo wapakazia kina Mbowe na kina Majizo na Manji kesi za madawa ya kulevya.

Jamaa alikuwa anajioni ni Mungu mtu wakati Mungu hana tabia za kiuwaji kama huyu .
Alimteka tajiri
 
Back
Top Bottom