Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Huna akili wewe yaani unajifanya unazijua sheria za nchi kuliko wenzako?Huu ndio uhuru na Demokrasia tuitakayo, yaani gazeti linajiandikia tu habari zisizoeleweka...sasa hapo ukisoma habari yenyewe kichekesho...
Kwa mujibu wa mtonyaji wetu....halafu front page kabisa...