MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kwanini Uraiani na asiwe tu Udongoni?Siku zake zinahesabiwa tu za kuwa uraiani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini Uraiani na asiwe tu Udongoni?Siku zake zinahesabiwa tu za kuwa uraiani
Hilo sina uwezo wa kuliongelea mkuu maana na mimi nitakuwa nimeingilia kazi ya Mungu.Kwanini Uraiani na asiwe tu Udongoni?
Kumbe hata Rwanda wapo vizuri kwa washenzi kama hawa?Huyu wa sasa Maisha mapya ya Udongoni yalitakiwa yawe yameshaanza Kwake tokea mwaka 2019 ila kuna Mtu Mmoja ( sasa hayupo ) akawa anamkingia Kifua japo alishaonywa zaidi ya mara 20 kuwa anamharibia, hafai na ni Hatari pia Kwake na kwa Chama Matokeo yake leo anaanza Kuwasumbua.
Ndiyo maana nazipenda mno Systems za Israel, China, Rwanda, Russia, Korea Kaskazini, Uganda na Zimbabwe huwa haziwacheleweshi Wapumbavu kama huyu na zinajua mno Kunusa Hatari na Madhara yajayo.
Ndugu kuna Watu nawajua walikuwa ni Waandamizi Kiushirikina na ni Tishio pia nchini na Serikalini ila kuna Watatu walitangulizwa Kimafia Udongoni na Leo wamekuwa ni Historia.Siyo rahisi ni mshirikina balaa
Kusaga hawezi kumshtaki Makonda hata siku moja!Mh ngoja tuone
Ova
Alinajisi nchi kwa ujambazi, uporaji, utekaji na mauaji.Mwendazake aliharibu nchi katika kiwango ambacho hakijawahi kutokea.
Anaishii wap?Hivi pale anapoishi makonda mfanyakazi wa serikali atachukua miaka mingapi kukusanya pesa ya kupanunua na kufanya ukarabati mkubwa kama ule?
Ni vipi kwa Mr Slim hakuna hii system.Uganda na Zimbabwe huwa haziwacheleweshi Wapumbavu kama huyu na zinajua mno Kunusa Hatari na Madhara
Hebu mnukuuNa kwa kauli ya Prezda jana wakati anazindua jengo la chuo cha Jeshi kunduchi sasa naweza amini DAB a.k.a Paul makonda huenda akashtakiwa
Mahala panapomfaa ni Udongoni tu Ok?Hilo sina uwezo wa kuliongelea mkuu maana na mimi nitakuwa nimeingilia kazi ya Mungu.
Bibi ushungi mwenyewe anamtegemea sn kwa nguvu za gizaNdugu kuna Watu nawajua walikuwa ni Waandamizi Kiushirikina na ni Tishio pia nchini na Serikalini ila kuna Watatu walitangulizwa Kimafia Udongoni na Leo wamekuwa ni Historia.
Aliyawadanganyeni kuwa Makonda ni Mshirikina, Tishio na Anaogopwa si tu Kawadharau bali kawaona pia ni Mazuzu kwani kama kweli yuko hivyo sasa ni kwanini anaishi kama Digidigi kwa kuhamahama Mikoa na sasa akipenda sana Kujificha?
Tena hakuna Mtu ambaye ni mwepesi Kuondolewa Kimedani ili akayaanze Maisha yake mapya Udongoni kama huyu Mpuuzi wenu sema tu kwa sasa Kumuondoa itakuwa ni Timing mbaya labda aondolewe kwa Mbinu za Warusi zinazohitaji Akili Kubwa na Mkakati ulio makini.
Nawalaumu tu SSIT kwa Kumlea huyu.
KIFUTU LAZIMA AOZE NYUMA YA NONDO MILELE!Hebu mnukuu
Tena mno tu mngewaomba msaada wangeshamalizana nae Kitambo sana na leo angekuwa ni Historia ila System yenu ya sasa Ina Ulokole + Uwoga mwingi ndiyo maana Washenzi kama huyu mpaka leo bado tunapishana nao tu Kigamboni Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma na Shinyanga.Kumbe hata Rwanda wapo vizuri kwa washenzi kama hawa?