andromena
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 587
- 668
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haa haa just haa haaa..
ndio umejitetea hapo, Bashite?!
Samia anakufunga Bashite.
Unakumbuka kesi yako na U.S.A ,
Umedhulumu watu haki za kuishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haa haa just haa haaa..
ndio umejitetea hapo, Bashite?!
Samia anakufunga Bashite.
Unakumbuka kesi yako na U.S.A ,
Umedhulumu watu haki za kuishi.
Makonda ana ukaribu wa kipekee na huyo Mzanzibari, hawezi kushtakiwaHuyu akipelekwa ubaoni hachomoki especially hilo kosa la matumizi mabaya ya madaraka watamdaka mapema mno maana alikuwa anasumbua watu then mwishoni hakuna kinachotokea zaidi ya kuwapakazia watu Mambo ambayo amekosa ushahidi.
Kwani Mbowe hayo makosa amefanya mkuu,?? Ila huyu si amefanya na wote tumeona???Kwa mtazamo wangu, hii kesi kama kweli itafunguliwa kipindi hiki,, inaweza kutumika kama justification ya kumfunga Mbowe na mwisho wa siku unaweza sikia Makonda hajakutwa na hatia yoyote wakati huo Mbowe tayari yuko jela.
Hivyo, taarifa hii sio ya kufurahia sana, bali tuichukue kwa tahadhari kubwa. Hoja hapa ki kuwa, mkilalamika Mbowe kufungwa, watawajibu mbona hata Makonda kashitakiwa?
Tuwe makini.
Na Gwajima naye ni msanii tuHatimae. Kwanza lile la kuvamia clouds media hachomoki. Ninawaonea huruma wale aliongozana nao. Gwajima alisema kweli. Hatimae amemfuta kwenye ulimwengu wa siasa.
Hawana dogo hao majamaaMaharamia ya kijani hayashindwi
Hapo nipo upande wakoHakuna lolote. Yule mama anajua Makonda alikuwa anachongea watu kwa Magufuli. Halafu mzenj awe na kipenzi mbara ?Labda kama kuna maslahi tu.
Not only you sir!Kwani Mbowe hayo makosa amefanya mkuu,?? Ila huyu si amefanya na wote tumeona???
Huyu ashitakiwe tu mahakama iamue,
Na Mbowe pia haki atapata na atatoka am praying for.
Kosa la Uvamizi wa Clouds linatosha kumtia hatiani.Jenerali Ulimwengu ameamua rasmi hili gazeti liwe tabloid sasa kama ya Shigongo. Hakuna tena zile makala za kiuchambuzi mtu unasoma unaridhika. Sad!
Una badilika na beatNgoja nisubiri kidogo kabla sijatoa neno, isije kuwa habari ya kuzusha tukaanza kutafuta uvungu wa kujificha.
Sasa huo ndio ushahidi ,ndio maana kesi ya ugaidi haitamuacha mbowe salamaHuyu akipelekwa ubaoni hachomoki especially hilo kosa la matumizi mabaya ya madaraka watamdaka mapema mno maana alikuwa anasumbua watu then mwishoni hakuna kinachotokea zaidi ya kuwapakazia watu Mambo ambayo amekosa ushahidi.
Kama ambavyo kichwa cha habari kinaeleza, ni mwendo wa kutafuta haki zilizocheleweshwa kwa muda mrefu. Sasa Bwanamdogo kumfuata jamaa yake Sabaya.
View attachment 2010908
Huenda watamfunga Mbowe kwa hila na najua Mbowe pia anajua hilo lakini ipo siku haki itatamalaki hutwezi kujuatify kifungo cha kuonewa na uwalifu wa MakondaKwa mtazamo wangu, hii kesi kama kweli itafunguliwa kipindi hiki,, inaweza kutumika kama justification ya kumfunga Mbowe na mwisho wa siku unaweza sikia Makonda hajakutwa na hatia yoyote wakati huo Mbowe tayari yuko jela.
Hivyo, taarifa hii sio ya kufurahia sana, bali tuichukue kwa tahadhari kubwa. Hoja hapa ki kuwa, mkilalamika Mbowe kufungwa, watawajibu mbona hata Makonda kashitakiwa?
Tuwe makini.
Naunga mkono hojaJenerali Ulimwengu ameamua rasmi hili gazeti liwe tabloid sasa kama ya Shigongo. Hakuna tena zile makala za kiuchambuzi mtu unasoma unaridhika. Sad!
Ccm ndio chama pekeee kina viongozi wajinga na walio na hekima inch inazama wao wanafukua makaburi haha ngoja tuoneDuuu wanamisha magoli......tuhame nae tuache ya msingi.....basi sawa mleteni huyo....tuhangaike nae
Wewe endelea kusubiria hadi ziandikwe na uhuruIngependeza zaidi tungepata habari kamili kabla ya kuchangia.
Haya magazeti ya Bongo mara nyingi kichwa cha habari na habari yenyewe ni vitu viwili tofauti.