Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Huyu akipelekwa ubaoni hachomoki especially hilo kosa la matumizi mabaya ya madaraka watamdaka mapema mno maana alikuwa anasumbua watu then mwishoni hakuna kinachotokea zaidi ya kuwapakazia watu Mambo ambayo amekosa ushahidi.
Makonda ana ukaribu wa kipekee na huyo Mzanzibari, hawezi kushtakiwa
 
Kwa mtazamo wangu, hii kesi kama kweli itafunguliwa kipindi hiki,, inaweza kutumika kama justification ya kumfunga Mbowe na mwisho wa siku unaweza sikia Makonda hajakutwa na hatia yoyote wakati huo Mbowe tayari yuko jela.

Hivyo, taarifa hii sio ya kufurahia sana, bali tuichukue kwa tahadhari kubwa. Hoja hapa ki kuwa, mkilalamika Mbowe kufungwa, watawajibu mbona hata Makonda kashitakiwa?

Tuwe makini.
Kwani Mbowe hayo makosa amefanya mkuu,?? Ila huyu si amefanya na wote tumeona???
Huyu ashitakiwe tu mahakama iamue,
Na Mbowe pia haki atapata na atatoka am praying for.
 
Hii kolabo ndo itakuwa kali sana...anaenda kukutana na Mbowe huko. Sijui atamsalimia au kauzukauzu tu......
 
Huyu akipelekwa ubaoni hachomoki especially hilo kosa la matumizi mabaya ya madaraka watamdaka mapema mno maana alikuwa anasumbua watu then mwishoni hakuna kinachotokea zaidi ya kuwapakazia watu Mambo ambayo amekosa ushahidi.
Sasa huo ndio ushahidi ,ndio maana kesi ya ugaidi haitamuacha mbowe salama

USSR
 
Kama ambavyo kichwa cha habari kinaeleza, ni mwendo wa kutafuta haki zilizocheleweshwa kwa muda mrefu. Sasa Bwanamdogo kumfuata jamaa yake Sabaya.

View attachment 2010908

696C67B7-0C3B-4162-B3A9-41E446FF4467.jpeg
 
Kwa mtazamo wangu, hii kesi kama kweli itafunguliwa kipindi hiki,, inaweza kutumika kama justification ya kumfunga Mbowe na mwisho wa siku unaweza sikia Makonda hajakutwa na hatia yoyote wakati huo Mbowe tayari yuko jela.

Hivyo, taarifa hii sio ya kufurahia sana, bali tuichukue kwa tahadhari kubwa. Hoja hapa ki kuwa, mkilalamika Mbowe kufungwa, watawajibu mbona hata Makonda kashitakiwa?

Tuwe makini.
Huenda watamfunga Mbowe kwa hila na najua Mbowe pia anajua hilo lakini ipo siku haki itatamalaki hutwezi kujuatify kifungo cha kuonewa na uwalifu wa Makonda
 
Natamani hizi moves ziende kwa viongozi wote wanaotumia madaraka vibaya.

Taarifa za mkaguzi Mkuu wa Serikali huwa zinaonyesha jinsi ofisi za umma zinavyofuja fedha sana. Ila hakuna Kiongozi ameshawahi kushtakiwa.
 
Duuu wanamisha magoli......tuhame nae tuache ya msingi.....basi sawa mleteni huyo....tuhangaike nae
Ccm ndio chama pekeee kina viongozi wajinga na walio na hekima inch inazama wao wanafukua makaburi haha ngoja tuone
 
Ingependeza zaidi tungepata habari kamili kabla ya kuchangia.

Haya magazeti ya Bongo mara nyingi kichwa cha habari na habari yenyewe ni vitu viwili tofauti.
Wewe endelea kusubiria hadi ziandikwe na uhuru
 
Kwa vyovyoye iwavyo, hakuna namna Paul Makonda akaishi bila kushtakiwa, iwe kwenye utawala huu au mwingine.

Huyu ana uovu wa kupindukia, kuwanyima watu haki ya kuishi, haiwezekani ipite tu hivihivi. Atambue kama siyo leo au kesho, lakini ipo siku ambapo makazi yake lazima yawe jela.
 
Back
Top Bottom