Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Unajua kafilisika kabisa sasa anatumia kika njia ili arudi relini but kachelewa
Eti kafilisika?[emoji23][emoji23][emoji23] magamba bwana yana tia huruma sana.

Yaani wewe unajilinganisha na mzee Ulimwengu kwa kipato?
 
Mkuu shukuru Jf unaongea tu uko free ila usizani uko free sana je una uhakika kuwa makonda kafanya hayo yote je GAIDI MBOWE KMA ALIFANYA JE UTAKUBALI NGOJA TUONE GAIDI ANAYEA LITA 20 NA UZEE WAKE ULE ATAIFA NDANI
Kwa sasa gaidi anayejulikana officially ni Hamza mwana ccm.
 
Atueleze alipata wapi pesa ya kununua Range Rover sport ilhali mshahara wake unajulikana.
 
Kama ambavyo kichwa cha habari kinaeleza, ni mwendo wa kutafuta haki zilizocheleweshwa kwa muda mrefu. Sasa Bwanamdogo kumfuata jamaa yake Sabaya.

View attachment 2010908
Ni uzushi tu. Makonda kijana mwanamapinduzi wa chama cha mapinduzi ana adui wengi waovu. Uongozi wake kuwabaini wauza madawa ya kulevya na kusababisha wengi kutupwa lupango au kuishiwa mtaji wao wa kuharibu vijana katika jamii umewaacha na hasira na kisasi.

Jamii haitegemei ccm hii inayodai bado ni chama cha mapinduzi itawaacha vijana wake kama Makonda kunyanyaswa na wauza madawa ya kulevya na maajenti wao. Vinginevyo umma watatia sahihi kukiondoa ccm kama cha cha mapinduzi.
 
Mwendazake aliharibu nchi katika kiwango ambacho hakijawahi kutokea.
Haikuwa sababu yao wao kutumia mwanya huo, mbona wakuu wa mikoa wengine walibaki na utu wao tu?
 
Wapo wengi tu wanaostahili kupandishwa makahamani!

Kama wafanyakazi wa serikali yetu wangekuwa makini basi serikali ilipaswa kushtakiwa na kudaiwa fidia kwa kitendo cha kuhamisha fedha zao za mishahara na madaraja mapya na kuzipeleka kwenye miradi mingine kinyume na utaratibu huku wao wakiachwa bila kupewa stahiki zao kwa miaka kadhaa!
 
ambapo inaelezwa kwamba, maombi ya kumfungulia kesi Paul Makonda, yamepelekwa na Mwanasheria wa kujitegemea ambaye jina lake halijawekwa wazi.
Jamhuri wao kupitia kwa DPP hawaoni kwamba jamaa alitenda makosa tena ya waziwazi.
 
Huyu akipelekwa ubaoni hachomoki especially hilo kosa la matumizi mabaya ya madaraka watamdaka mapema mno maana alikuwa anasumbua watu then mwishoni hakuna kinachotokea zaidi ya kuwapakazia watu Mambo ambayo amekosa ushahidi.
Huyo mwana sheria labda anataka mimba ya makonda,
Kama hao clouds hawatakibkesi yeye anatakia nini kwa makonda?

Au ni wale watoto sio riziki na wauza unga, kuna moja linamgusa huyo mwanasheria.
 
Ahhahahaha naona sasa anakimbia media kusifia mama sijui nini naona imeisha....anakimbia sana bora afanye hivyo wote wakija ushahidi kupora pesa zao magari etc mbona balaaa
Anaishi ka digidili msituni, dunia hii acha kabisa.
 
Back
Top Bottom