Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Heri ya kitu kizito duniani kuliko kitu kizito kwenye 6×6Ujipoze kwa maumivu ya Dj kushushiwa kitu kizito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heri ya kitu kizito duniani kuliko kitu kizito kwenye 6×6Ujipoze kwa maumivu ya Dj kushushiwa kitu kizito
Unawashwa na nini wewe mjane?Una uhakika au ni mihemuko ya kukosa ajira endelea kucheza kamari kuna siku utapata
Eti kafilisika?[emoji23][emoji23][emoji23] magamba bwana yana tia huruma sana.Unajua kafilisika kabisa sasa anatumia kika njia ili arudi relini but kachelewa
Kwa sasa gaidi anayejulikana officially ni Hamza mwana ccm.Mkuu shukuru Jf unaongea tu uko free ila usizani uko free sana je una uhakika kuwa makonda kafanya hayo yote je GAIDI MBOWE KMA ALIFANYA JE UTAKUBALI NGOJA TUONE GAIDI ANAYEA LITA 20 NA UZEE WAKE ULE ATAIFA NDANI
Nasikia alikua kichaa sijui kweli?Mwendazake aliharibu nchi katika kiwango ambacho hakijawahi kutokea.
Ni uzushi tu. Makonda kijana mwanamapinduzi wa chama cha mapinduzi ana adui wengi waovu. Uongozi wake kuwabaini wauza madawa ya kulevya na kusababisha wengi kutupwa lupango au kuishiwa mtaji wao wa kuharibu vijana katika jamii umewaacha na hasira na kisasi.Kama ambavyo kichwa cha habari kinaeleza, ni mwendo wa kutafuta haki zilizocheleweshwa kwa muda mrefu. Sasa Bwanamdogo kumfuata jamaa yake Sabaya.
View attachment 2010908
Mkuu habari yakoJua linaanza kuchomoza!
Haikuwa sababu yao wao kutumia mwanya huo, mbona wakuu wa mikoa wengine walibaki na utu wao tu?Mwendazake aliharibu nchi katika kiwango ambacho hakijawahi kutokea.
Nami sijaamini vileHata wewe pia!
Haha ni akina Musiba sio?Ndio huyu mpaka leo hajalamba uteuzi.
Ni hatua nzuriKama ambavyo kichwa cha habari kinaeleza, ni mwendo wa kutafuta haki zilizocheleweshwa kwa muda mrefu. Sasa Bwanamdogo kumfuata jamaa yake Sabaya.
View attachment 2010908
====
AiseeeeBashite kanyimwa Akili kajaaliwa Makalio.
Sio hiyo tuu hata issue ya Risasi Dodoma alikuwepo.. NkAlimteka tajiri
Jamhuri wao kupitia kwa DPP hawaoni kwamba jamaa alitenda makosa tena ya waziwazi.ambapo inaelezwa kwamba, maombi ya kumfungulia kesi Paul Makonda, yamepelekwa na Mwanasheria wa kujitegemea ambaye jina lake halijawekwa wazi.
Huyo mwana sheria labda anataka mimba ya makonda,Huyu akipelekwa ubaoni hachomoki especially hilo kosa la matumizi mabaya ya madaraka watamdaka mapema mno maana alikuwa anasumbua watu then mwishoni hakuna kinachotokea zaidi ya kuwapakazia watu Mambo ambayo amekosa ushahidi.
Anaishi ka digidili msituni, dunia hii acha kabisa.Ahhahahaha naona sasa anakimbia media kusifia mama sijui nini naona imeisha....anakimbia sana bora afanye hivyo wote wakija ushahidi kupora pesa zao magari etc mbona balaaa
Sasa mwamba baada ya hicho kitu kizito 6x6 kunamsubiri. Mvua 30 si mchezoHeri ya kitu kizito duniani kuliko kitu kizito kwenye 6×6