Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Systems za CCM ni kwa CHADEMA tu, Bashite ni CCM. Ameua na Kutesa watu amewaita wapingaji wa utawala wa babake.Kwa Systems za Mataifa yanayojielewa na yasiyotaka Upuuzi Mtu kama huyu hivi sasa angekuwa Anaoza tu Udongoni, ila ya Tanzania ilimlea, ilimdekeza na akaharibu mambo mengi mpaka Kugharimu Utendaji wa Hayati na iliyokuwa Serikali yake.
Bashite amechinja watu sana.