Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Alitumia madaraka vibaya kuwataja hadharani wauza madawa ya kulevya na kuzuia ushoga dar es salaam
 
Kizimbani pale pamejengwa kwa ajili ya watu wala siyo nyani.

Na kila mtu ni mteja wa hapo katika muda tofauti wala hutakiwi kumcheka mtu ambaye yupo kwenye hilo eneo.
Hii busara inapatikana kwa watu wachache saana
Hongera saana
 
Gazeti lisiloaminika!! Wanataka alimradi kumpanikisha bashit. Wamshtaki kwa kuchafua majina ya watu kuhusu madawa alipe mabilioni afilisikie mbali
Laana ya Gwajima hiyo!!!! yule jamaa alimsema Bashite ata shuka vuuuu!!! ''si mtaona!!!'' daaa!! imekuwa kweli! hivi kile kimdomo cha gwajima inawezekana kikawa na mungu wa kweli!!! gwajima muondolee mwenio hiyo mzigo wa laana!
 
Kizimbani pale pamejengwa kwa ajili ya watu wala siyo nyani.

Na kila mtu ni mteja wa hapo katika muda tofauti wala hutakiwi kumcheka mtu ambaye yupo kwenye hilo eneo.
mpaka na wamiliki vizimba wa leo!! siku ya siku ni wateja pale eee !!loool!!
 
Bashite acha uzuzu kimbilia Rwanda kwa Kagame huyo no mjomba wako hawezi kukutupa..ni kaka ya mwendazake.
ou paup...
Hawa jamaa wanataka kukupa miaka si chini ya 7 hadi 15 ukizubaa..una tuhuma nyingi sana...kalagabaho.
 
Du yame kuwa hayo
 
Mlikuwa mnasema hivyo kwa sabaya, sasa hivi yupo nyuma ya nondo na amebakiza miaka 29 na miezi 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…