Jela na hospital sizo za kumcheka mtu ni mtakuja paleKizimbani pale pamejengwa kwa ajili ya watu wala siyo nyani.
Na kila mtu ni mteja wa hapo katika muda tofauti wala hutakiwi kumcheka mtu ambaye yupo kwenye hilo eneo.
Kabis ndugu sasa nashangaa kuna watu wanafanya mizaha utadhani wao ni malaika.Jela na hospital sizo za kumcheka mtu ni mtakuja pale
Wasiojulikana wanawekwa hadharani.Jua linaanza kuchomoza!
Ben Muulizeni chairman!Wasiojulikana wanawekwa hadharani.
Wakimfinya kidogo atasema na Ben Saanane you wapi achilia mbali zile maiti za viroba.
Jamaa ana mengi kifuani Tena ya kutisha.
Mwalimu wetu ni Mbowe!Nawewe ndiye msaidizi wa Hamza na kama ulikuwa unajificha basi ujue watu wanakujua kuwa wewe ndiye msaidizi wa Hamza gaidi
Asante sana kwa kukubali kuwa wewe ni msaidizi wa Hamza wa ccmMwalimu wetu ni Mbowe!
Usimsahau aliyempagia jina ya DAB. Naye ni Shahidi aliweka wazi pale madhabahuni!.Mimi nitakuwa mmoja wa mashahidi wa upande wa mashtaka.
Hii busara inapatikana kwa watu wachache saanaKizimbani pale pamejengwa kwa ajili ya watu wala siyo nyani.
Na kila mtu ni mteja wa hapo katika muda tofauti wala hutakiwi kumcheka mtu ambaye yupo kwenye hilo eneo.
Pamoja sana kiongoziHii busara inapatikana kwa watu wachache saana
Hongera saana
Laana ya Gwajima hiyo!!!! yule jamaa alimsema Bashite ata shuka vuuuu!!! ''si mtaona!!!'' daaa!! imekuwa kweli! hivi kile kimdomo cha gwajima inawezekana kikawa na mungu wa kweli!!! gwajima muondolee mwenio hiyo mzigo wa laana!Gazeti lisiloaminika!! Wanataka alimradi kumpanikisha bashit. Wamshtaki kwa kuchafua majina ya watu kuhusu madawa alipe mabilioni afilisikie mbali
mpaka na wamiliki vizimba wa leo!! siku ya siku ni wateja pale eee !!loool!!Kizimbani pale pamejengwa kwa ajili ya watu wala siyo nyani.
Na kila mtu ni mteja wa hapo katika muda tofauti wala hutakiwi kumcheka mtu ambaye yupo kwenye hilo eneo.
Yes upo sahihi kabisa kiongozimpaka na wamiliki vizimba wa leo!! siku ya siku ni wateja pale eee !!loool!!
Ni balaaaMwendazake aliharibu nchi katika kiwango ambacho hakijawahi kutokea.
Dogo alijisahau saana..kuwadhalilisha police wa Tanzania maskini.Unapigiwa saluti na bado umepanda juu ya ngazi.View attachment 2013226
Du yame kuwa hayoKama ambavyo kichwa cha habari kinaeleza, ni mwendo wa kutafuta haki zilizocheleweshwa kwa muda mrefu. Sasa Bwanamdogo kumfuata jamaa yake Sabaya.
View attachment 2010908
====
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anatarajiwa kufikishwa mahakamani muda wowote kujibu tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka.
Taarifa hiyo imeandikwa kwenye gazeti la Raia Mwema toleo la leo (Novemba 15,2021), ambapo inaelezwa kwamba, maombi ya kumfungulia kesi Paul Makonda, yamepelekwa na Mwanasheria wa kujitegemea ambaye jina lake halijawekwa wazi.
Raia Mwema limeeleza kwamba katika Mwanasheria huyo ameomba kibali cha Mahakama kumshitaki Makonda kutokana na makosa anayodaiwa kuyatenda wakati akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kinyume cha Sheria namba 96.
Mwanasheria huyo ameomba Makonda afikishwe kortini pia kujibu tuhuma za kuingilia maudhui ya matangazo ya kituo cha televisheni cha Clouds, alipoenda katika ofisi zao, usiku wa Machi 17,2017.
Paul Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam tangu mwaka 2016 alipoteuliwa na aliyekuwa Rais wakati huo, Hayati Dkt John Pombe Magufuli. Mwaka 2020 Paul Makonda aliondolewa katika nafasi hiyo ikiwa ni baada ya kutangaza nia ya kugombea Ubunge katika jimbo la Kigamboni.
Iwapo Paul Makonda atafikishwa Mahakamani, atakuwa kiongozi wa pili kukabiliwa na mashtaka ya matumizi mabaya ya madaraka katika kipindi cha hivi karibuni, kwani aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya alishafikishwa Mahakamani kwa makosa hayo na kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.
Mlikuwa mnasema hivyo kwa sabaya, sasa hivi yupo nyuma ya nondo na amebakiza miaka 29 na miezi 10Ni uzushi tu. Makonda kijana mwanamapinduzi wa chama cha mapinduzi ana adui wengi waovu. Uongozi wake kuwabaini wauza madawa ya kulevya na kusababisha wengi kutupwa lupango au kuishiwa mtaji wao wa kuharibu vijana katika jamii umewaacha na hasira na kisasi.
Jamii haitegemei ccm hii inayodai bado ni chama cha mapinduzi itawaacha vijana wake kama Makonda kunyanyaswa na wauza madawa ya kulevya na maajenti wao. Vinginevyo umma watatia sahihi kukiondoa ccm kama cha cha mapinduzi.