Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Ujisahau Sana wakiwa madarakani udanganywa Sana na waganga kwa kupewa utabiri hewa Ili waliwe pesa zao,alifanya upumbavu bila kutazama kesho,akiamini boss wake atatawala milele au hadi 2045 then anapewa yeye hadi maisha, kutumainia ndumba mbaya sana upunguza Sana uwezo wa kufikiri thus watawala wengi ufanya mambo ya kipumbavu mengi Sana wakiwa madarakani kwa kudanganywa na waganga.Mganga ni mtu tu hana uwezo wa kuicomand au kuibadili au kuizua nature isifanye Kazi yake.
Aisee umesema jambo kubwa na la msingi sana ambalo ndiyo chimbuko na chanzo cha viongozi wengi kuwa wakatili sana.
 
Ujinga umekujaa ww, sbb hujui how Government Systems work. Makonda atafikishwa mahakamani, indirectly there must be a blessing from top most authority..!! Nakazia, behind the scene/Indirectly kuna all blessings from above to go ahead with the case.

Ww ndio hujui kitu unaona tu on front page and you don't think deep. Ukiendelea kutokuelewa nakujibu hovyo, shit, sbb hutaki kuelewa.
Hili mbona liko wazi, katafutwa tu mtu wa kumvalisha paka kengele lakini kila kitu kiko on set with all the blessings, support and backups from those who are running the system.
 
Huyo yupo live kwenye CCTV na askari/watu wenye silaha wakiingia kituo cha Televion/Radio kwa nguvu kulazimisha ujinga wao
Wamepanga kuanza na hii ambayo ushahidi uko dhahiri shahiri kama jinsi ulivyonaswa na CCTV cameras.
 
Huyu akipelekwa ubaoni hachomoki especially hilo kosa la matumizi mabaya ya madaraka watamdaka mapema mno maana alikuwa anasumbua watu then mwishoni hakuna kinachotokea zaidi ya kuwapakazia watu Mambo ambayo amekosa ushahidi.
Hicho kitu hakipo, ni magazeti na mitandao tu ndiyo inayojifurahisha kuandika taarifa za huyu mtu
 
Hilo lijambazi halikubaliki kubakia mitaani


8baacb863f5cd25f4bc81a26047c487f.png


Awamu hii kazi ipo 😂😂​
 
Hicho kitu hakipo, ni magazeti na mitandao tu ndiyo inayojifurahisha kuandika taarifa za huyu mtu
Naona amegundua hasikiki akaamua kujipa promo mpuuzi sana. Nimeuliza kwa majamaa zangu ofisi ya DPP wanasema hakuna hiyo kitu kwao labda io kwingine may be PCCB hukoambao nap walishatoa statement kwamba hawajamdaka na hawana ishu nae .
 
Duuu wanamisha magoli......tuhame nae tuache ya msingi.....basi sawa mleteni huyo....tuhangaike nae
lambowe Hilo nikubwa kwani lauonevu akati akina makonda watakua na makosa ya uhalali kwa makonda tutakua tunasubiria tarehe yahukumu tu
 
Back
Top Bottom