Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Waiandalie makao yao makuuWatawala mkiwa madarakani jaribuni kuboresha magereza Ili kesho mkiingia msiishi kwa tabu kama wafungwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waiandalie makao yao makuuWatawala mkiwa madarakani jaribuni kuboresha magereza Ili kesho mkiingia msiishi kwa tabu kama wafungwa
Shwari babaSalama mkuu,shwari!
makonda akifungwa naacha kutumia JF, ni rafiki mkubwa na BibiJua linaanza kuchomoza!
Huyo Makonda is untouchable, hata source of income hazikuulizwa na Raisi Magufuli wala TAKUKURU.Atueleze alipata wapi pesa ya kununua Range Rover sport ilhali mshahara wake unajulikana.
Kosa linaloitwa matumizi mabaya ya madaraka ni gumu kulitolea ushahidi mbele mahakama ya haki bila kuonyesha kuwa alitumia madaraka hayo kujinufaisha yeye binafsi na familia yake.
Akitumia madaraka hayo kukutisha linaweza liswe kosa la jinai bila viongezi vingine.
Watu mbumbumbu ni wepesi sana kujikweza kuwa ni wajuzi na kuwanyoonyesha wenzao vidole kuwa hao hajaui kitu. Kwa taarifa yako, hata kama mimi siyo attorney, usiombe tukutane mahakamani kama sitakusukuma jela. Mimi ni Injinia, lakini pia nimeshasoma sheria sana hasa Tort Law, Law of Contracts, Law of Evidence, Intellectual Property Law, na Constitutional Law (USA). Mwezi May Mwakani nitakamilisha J.D yangu kutoka New Hampshire. Ukitaka sema nikualike kwenye sherehe hiyo, au tutengenezeane kesi ili tukutane mahakamani nikutupe jela.Hujui sheria wewe
Watu mbumbumbu ni wepesi sana kujikweza kuwa ni wajuzi na kuwanyoonyesha wenzao vidole kuwa hao hajaui kitu. Kwa taarifa yako, hata kama mimi siyo attorney, usiombe tukutane mahakamani kama sitakusukuma jela. Mimi ni Injinia, lakini pia nimeshasoma sheria sana hasa Tort Law, Law of Contracts, Law of Evidence, Intellectual Property Law, na Constitutional Law (USA). Mwezi May Mwakani nitakamilisha J.D yangu kutoka New Hampshire. Ukitaka sema nikualike kwenye sherehe hiyo, au tutengenezeane kesi ili tukutane mahakamani nikutupe jela.
Kama ni kweli hizo tuhuma sheria ni msumeno nae utamkata tu!makonda akifungwa naacha kutumia JF, ni rafiki mkubwa na Bibi
Haiko mukinga[emoji109]Shwari baba
Nani alikuroga na mambo ya ukabila!Sasa hivi ni zamu yenu kuteseka nyinyi sukuma gang.
Wacha tuone nyuma ya nondo kuna nini kupitia dirisha la chuma!Debe tupu lipo chini ya futi lukuki
Nafikiri post hii umeituma ukiwa kituo cha afya kwenye foleni ya kuchukua doze ndio mwezi wenyewe umeandama!Looo leo hii aliyekupatia jero ya kununulia bundle ametutafutia balaa
Kweli nchi itazizima huku gaidi huku jambazi!Jiji litazizima baada ya jambazi kupelekwa segerea
Kwani mjomba si ana miezi miwili anapambana na mapingamizi kabla ya hukumu!Mjomba wako makonda ataning'inizwa kwa pilato
Nafikiri upo vizuri location unazikamata sana!Sema upo lindoni rubondo
Kazi yako inajulikana tuNafikiri upo vizuri location unazikamata sana!
Kama jiwe alihukumiwa itakuwaje leo mtu kuhukumiwa?Kwani mjomba si ana miezi miwili anapambana na mapingamizi kabla ya hukumu!
Gaidi Hamza mwana ccmKweli nchi itazizima huku gaidi huku jambazi!
Aliyekubali kutapeliwa asubuhi hii ndiyo katuletea balaha hii maana si kwa mate hayaNafikiri post hii umeituma ukiwa kituo cha afya kwenye foleni ya kuchukua doze ndio mwezi wenyewe umeandama!