Raia wa Iran afukuzwa Tanzania baada ya kuwa tishio kwa usalama wa taifa

kama kungekuwa na uhalifu mbona hamjamshitaki na je uhalifu gani kaufanya,? je yeye anasemaje labda hamkuelewana

aibu kuna mengine tunge hoji .unakumbuka ya kibiti na watu gani waliokuwa wanafadhili haya.
inabidi kuweka kapuni ili kupunguza taharuki ili waendelee kuwasaka .sio kila jambo lifunguke mbele ya kadamnasi
 
aibu kuna mengine tunge hoji .unakumbuka ya kibiti na watu gani waliokuwa wanafadhili haya.
inabidi kuweka kapuni ili kupunguza taharuki ili waendelee kuwasaka .sio kila jambo lifunguke mbele ya kadamnasi
Kibiti wale walikua wavaa vipedo na kobazi..ndio waliosumbua sana..baada ya kupata kipigo heavy na wengi kuawa masalia walikimbilia huko msumbiji.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hapa mumeambiwa mtukate vichwa sisi tusioabudu huyo 'mungu' wenu, kwa kifupi mnaishi na sisi kwa amani hamfuati maagizo na hamtaiona pepo, ndio maana wanaoifuata wanatulipukia mabomu.

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 

Hapa mumeambiwa mtukate vichwa sisi tusioabudu huyo 'mungu' wenu, kwa kifupi mnaishi na sisi kwa amani hamfuati maagizo na hamtaiona pepo, ndio maana wanaoifuata wanatulipukia mabomu.

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 

Wenyewe mumeagizwa mkate vichwa wasio wa dini yenu, sasa hapo nani mwenye roho mbaya

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Mtaendelea kukana na kukanusha kinafiki lakini vituko vyenu ndio kero dunia hii, mbona msivae makanzu yenu na muishi na watu kwa amani.
Mzungu ni mzungu tu akipanga mipango yake kwa wajinga lazima afanikiwe

Kwanza wametengeneza dini ya ukristo wakakuleteeni

Pili wakakujazeni ujinga kuwa uislam ni dini ya ugaidi
 

Malengo Yako ni yepi? Mimi ni Mkristo na bado unaskuma ti kasumba zako.
 
Wangemuua kimya kimya kama huyu mmja walichomfanya mkoa x
 
suratul ANFAR [the spoil of war} inawachanganya!!!
 
Mzungu ni mzungu tu akipanga mipango yake kwa wajinga lazima afanikiwe

Kwanza wametengeneza dini ya ukristo wakakuleteeni

Pili wakakujazeni ujinga kuwa uislam ni dini ya ugaidi

Kwa hivyo hivyo mzungu ndiye aliyeandika hizo aya kwenye quran zinazoelekeza muue watu wasio wa dini, ambazo zinasababishe mfanye ugaidi.
 
Na ili ujue kuwa umejazwa ujinga Hilo andiko ulilotoa anzia 2:190

Yani ukiona waislam wanapigana na mtu ujue wanajibu sio kama wameanza

Quran 2:190.
Na piganeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanao kupigeni, wala msianze uadui. Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi waanzao uadui.
 

Nianzie wapi nimalizie wapi, andiko liko wazi mnapaswa kuchinja wasio wa dini yenu leo unapindisha na kutafuta pakuanzia kusoma.
 
Tulisema awali waarabu ni washenzi na hawana tofauti na shetani

Inawezekana walikuwa wanafadhili magaidi ya kibiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…