Mjeda mkuu alisema wapo wengine serikalini wana nafasi ndefu tuVyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.
Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,
Sijawahi ona mtu anamwogopa mrwanda Kwa kipi na kwenye ajira ipi mTazanzia anaweza shinda mrwanda sema Mimi nilichoona ni watu kuupinga uhamiaji Haram wa wanyarwanda Sasa mhamiaje Haram anaweza shindania nafasi ipi ya ajira Tanzania?You must be slow.
Hizi topics za kuogopoa wakenya na warwanda zipo kibao humu, a quick search utapata majibu yako.
Kwenye uzi huu huu kuna watu wanasema wanaishi na warundi ila husikii kelele zozote kuhusu warundi.
Nenda Mbeya siku hizi nyumba zote house maids ni wamalawi ila husikii kelele zozote kuhusu wamalawi.
DSM kuna hadi mtaa wa Congo, kuna hadi wasanii wakubwa kabisa na mapastor toka Congo husikii habari za usalama wa nchi kuwa rehani au kuwa hao watu ni spies.
Mtu kuongea kirwanda, ambacho ni sawa na kiha labda lafudhi tu, hapo hapo mitanganyika inaloa eti usalama wa nchi. Mitanganyika hovyo sana.
Wabongo wengi hawawapendi sana raia wageni wa Kenya na Rwanda, nafikiri kuna hali fulani ya wivu mbaya dhidi ya hizi nchi. Kila wakati utakapozungumziwa uhamiaji haramu reference kubwa zaidi ni Wanyarwanda na Wakenya.You must be slow.
Hizi topics za kuogopoa wakenya na warwanda zipo kibao humu, a quick search utapata majibu yako.
Kwenye uzi huu huu kuna watu wanasema wanaishi na warundi ila husikii kelele zozote kuhusu warundi.
Nenda Mbeya siku hizi nyumba zote house maids ni wamalawi ila husikii kelele zozote kuhusu wamalawi.
DSM kuna hadi mtaa wa Congo, kuna hadi wasanii wakubwa kabisa na mapastor toka Congo husikii habari za usalama wa nchi kuwa rehani au kuwa hao watu ni spies.
Mtu kuongea kirwanda, ambacho ni sawa na kiha labda lafudhi tu, hapo hapo mitanganyika inaloa eti usalama wa nchi. Mitanganyika hovyo sana.
Kumbe wewe utakuwa kilaza unajua kwaiyo mtaa wa congo wanaishi wacongo?You must be slow.
Hizi topics za kuogopoa wakenya na warwanda zipo kibao humu, a quick search utapata majibu yako.
Kwenye uzi huu huu kuna watu wanasema wanaishi na warundi ila husikii kelele zozote kuhusu warundi.
Nenda Mbeya siku hizi nyumba zote house maids ni wamalawi ila husikii kelele zozote kuhusu wamalawi.
DSM kuna hadi mtaa wa Congo, kuna hadi wasanii wakubwa kabisa na mapastor toka Congo husikii habari za usalama wa nchi kuwa rehani au kuwa hao watu ni spies.
Mtu kuongea kirwanda, ambacho ni sawa na kiha labda lafudhi tu, hapo hapo mitanganyika inaloa eti usalama wa nchi. Mitanganyika hovyo sana.
Kumbe wewe utakuwa kilaza unajua kwaiyo mtaa wa congo wanaishi wacongo?
Wabongo wengi hawawapendi sana raia wageni wa Kenya na Rwanda, nafikiri kuna hali fulani ya wivu mbaya dhidi ya hizi nchi. Kila wakati utakapozungumziwa uhamiaji haramu reference kubwa zaidi ni Wanyarwanda na Wakenya.
Why Rwanda! Why so rwandophobia!?Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa
Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.
Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.
Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,
kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani
Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa
Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport
Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini
Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Kwa hiyo wahamiaji haramu wote wanafanya kazi bar?Mema gani ya nchi yanayoliwa na wahamiaji? Kazi ya Bar ni mema ya nchi??
Sijawahi ona mtu anamwogopa mrwanda Kwa kipi na kwenye ajira ipi mTazanzia anaweza shinda mrwanda sema Mimi nilichoona ni watu kuupinga uhamiaji Haram wa wanyarwanda Sasa mhamiaje Haram anaweza shindania nafasi ipi ya ajira Tanzania?
Kwaiyo mtaa wa congo wanaishi wacongo?Uliza historia yake tukupe maana hamjui kitu nyie mitanganyika.
Why Rwanda! Why so rwandophobia!?
WA Zambia wapo, watu wa msumbiji wapo kibao kule mtwara, maaana wanongea lugha moja na wenyeji, waganda wapo, wakongo wapo, wengine tunaishi nao kitaa,ni wana muziki, wasusi, wa Masai kutoka Kenya wapo kibao, hao wooote hawawatishi! Lakini kenge nyie mkisikia mtusi kaingia bongo, makalio yanawaanza kutetemeka, wanyarwanda, na binamu zao, wahaya na wanyankore waliwafanya nini!?
Kama tunavyoogopa wa Kenya wasije bongo kufanya kazi, maana watachukua kila ajira,ndio kenge nyie mnavyohofia wanyarwanda! Kwamba hawa ni maspy wa Kagame, wanakuja kupindua nchi!
Little do you know, maofisa wa, jeshi wa, Rwanda, baadhi ni waalimu wakufunzi, pale chuo cha kijeshi TMA Arusha,!
Muhaya/Mtusi ni akili kubwa ndio maaana, anaogopwa!
Hapana, nasikia wengine wanachunga ng'ombe maporini, wengine ni housegirls, shamba boys n.kKwa hiyo wahamiaji haramu wote wanafanya kazi bar?
Kwanini hao wakenya wasikae huko Kenya wanakuja kutuchafulia tu mazingira na kunya kunya hovyo!Wabongo wengi hawawapendi sana raia wageni wa Kenya na Rwanda, nafikiri kuna hali fulani ya wivu mbaya dhidi ya hizi nchi. Kila wakati utakapozungumziwa uhamiaji haramu reference kubwa zaidi ni Wanyarwanda na Wakenya.
Unatia mashaka, logic hapa ni kwamba Kuna wahamiaji haramu wanakula mema ya nchi yetu ilihali Kuna watz wanasota, Inaonekana na wewe ndo wale maintluders via Namanga and Mtukula.
We mwehu sana.Unapiga kwenye mshono, mkuu😂 😂 😂
Kwasasa ni ngumu Jeshi la uhamiaji na police ni wadhaifu katika pesa hawawezi Hilo suala Wenda JWTZ na NA ASKARI WA WANYAMA POLI WAINGILIE KATI.Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa
Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.
Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.
Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,
kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani
Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa
Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport
Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini
Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Kama wapi wamefanya hivyo??Watusi wakiwa wengi miaka akasonga,huwa wanatabia ya kung'ang'ania kumegewa kipande cha ardhi waunde nchi yao.
Serikali ikikataa wanashika bunduki.
Sio wabongo wote bali wachache wasiojiamini. Mtu yupp nchini kwake anaogopa mrwanda na mkenya, huyo mtu ataweza kufanya nini kwenye taifa kama marekani ambalo Kuna mamilioni ya raia kutoka karibu kila nchiThe inferiority complex of the highest order. Wabongo ni watu wanyonge wanyonge sana wao in their minds are already defeated the moment wakisikia mgeni hasa mkenya au mrwanda.