Raila Odinga KUMTUMIA rais Magufuli kwa kampeni zake za URAIS Kenya ni MAKOSA MAKUBWA!

Raila Odinga KUMTUMIA rais Magufuli kwa kampeni zake za URAIS Kenya ni MAKOSA MAKUBWA!

Mitanzania hasa hii inayojiita Chadema mingi ni mijitu ambayo imekosa mwelekeo wa maisha na kusingizia tawala km chanzo cha umasikini na upumbavu wao.Mna mnkari na uchaguzi wa Kenya wakati huku kqrnu hata kura hampigi.

Hawa Vijana as CHADEMA ukiwachunguza wengi wanashinda kwenye draft, karata, vijiweni na wafanya mijadala kwenye magari bila kuwa na muda hata wa kuwaza juu ya maisha yao binafsi.

Unashangilia Lisu ambaye yeye yupo kazini, ana mke na maisha mazuri ikiwa watoto wake wanasoma South Africa.Wewe unakaa kupiga domo km zuzu!!!!!
Ough, what does knowledge mean? I don't think that you're thinking correctly. Reflect your mentality please.
 
toa ujinga wako hapa! mafisadi wameanza kuondolea toka enzi na enzi. tunayo mifano ya wanaoitwa mafisadi papa ambao waliagusha kipindi cha kikwete. sasa Leo hii ni fisadi yupi Wa kutisha unayeweza kusema ameondolewa na serikali yako ya maigizo
Je na yule wa upande wa pili
 
Nakubaliana nawe. Raila ajitetee yeye mwenyewe pasipo kutugonganisha Afrika Mashariki.na Kwanza yeye HANA track RECORD yeyote ya maendeleo ya watu wake WAJALUO. Atuache sisi na rais wetu.Ajitetee yeye mwenyewe. HAJASOMESHAA hata mtu mmoja.Nini KIPYA?
Kweli kabisa japo ni marafiki wa muda mrefu sioni haja ya yeye kutumia urafiki huo kutafuta kura Kenya, hata hivyo inaonyesha Magufuli anakumbalika Kenya kwa mema anayofanya hapa kwetu, Raila yeye auze sera zake aache bla bla
 
This is a challenge kwa kweli hivi iweje mnashangilia miradi bila kuuliza impact ya miradi iliyopita kwenye maisha ya mtanzania!! Hta awamu zilizopita mlituaminisha gesi ingebadili maisha yetu na cjui utalii mkatuaminisha ungeongeza pato la taifa BUT NOW WHAT HAPPENED????

mkuu hama kwenye fikra ya maendeleo ya vitu tuanze kutafuta maendeleo ya WATU otherwise mtabakia kusema treni gesi migodi ndege etc miala nenda rudi
Mkuu hutaki miradi ya Maendeleo unataka nini sasa?
Kweli raisi wenu ana kazi ya Ziada.
Unataka gesi ibadili maisha yako kivipi?
Tafuta taarifa kamili kabla ya kuandika kitu mitandaoni..
50-60% ya Umeme gridi ya Taifa kwa sasa unaotokana na Gesi yetu, na wewe pia ni shahidi Ile kero ya Umeme kwa sasa haipo tena..
Kuna ujenzi unaoelekea kukamilika Wa miradi mikubwa ya Kinyerezi II na III ambayo itatuongezea karibu MW450,
Na tumeanza ujenzi Wa Viwanda viwili Vikubwa zaidi Kwatika ukanda huu. cha Kuchakata gesi hapo Lindi Uwekezaji Wa Trillion 60 Pamoja na Kiwanda cha Mbolea Kikubwa zaidi ..

utakuwa ni mtu Wa ajabu kama utapinga miradi mikubwa ya Maendeleo kama Treni na ya Kisasa na Miundombinu ya Barabara.
 
Kenyan news and politics!

Kilichoandikwa kwenye mada na mjadala unaofanyika ni vitu viwili tofauti!

Watanzania tubadilike la sivyo tutasubiri sana! Yako majukwaa mengi ya kujadili performance ya Rais wetu!


Rudini kwenye hoja ya msingi
 
toa ujinga wako hapa! mafisadi wameanza kuondolea toka enzi na enzi. tunayo mifano ya wanaoitwa mafisadi papa ambao waliagusha kipindi cha kikwete. sasa Leo hii ni fisadi yupi Wa kutisha unayeweza kusema ameondolewa na serikali yako ya maigizo
Sijawahi ona kilaza kama wew mzee
 
Mkuu hutaki miradi ya Maendeleo unataka nini sasa?
Kweli raisi wenu ana kazi ya Ziada.
Unataka gesi ibadili maisha yako kivipi?
Tafuta taarifa kamili kabla ya kuandika kitu mitandaoni..
50-60% ya Umeme gridi ya Taifa kwa sasa unaotokana na Gesi yetu, na wewe pia ni shahidi Ile kero ya Umeme kwa sasa haipo tena..
Kuna ujenzi unaoelekea kukamilika Wa miradi mikubwa ya Kinyerezi II na III ambayo itatuongezea karibu MW450,
Na tumeanza ujenzi Wa Viwanda viwili Vikubwa zaidi Kwatika ukanda huu. cha Kuchakata gesi hapo Lindi Uwekezaji Wa Trillion 60 Pamoja na Kiwanda cha Mbolea Kikubwa zaidi ..

utakuwa ni mtu Wa ajabu kama utapinga miradi mikubwa ya Maendeleo kama Treni na ya Kisasa na Miundombinu ya Barabara.
Umeelewa hoja yangu?? Nani kapinga miradi?? Nachomjibu huyo ni kwamba sio kila anyemkosoa rais basi ndo anampinga maendeleo maana kila tukimkosoa magufuli utaskia ANAJENGA RELI ANAJENGA BARABARA !!!! as if gadaffi hakufanya yote haya na bado wananchi wakawa hawamkubali!!!!

Anyway kwa unachosema wwe its ok miradi ila kumbuka bomba la gesi only mteja ni tanesco!!! Na hata CAG anasema tumekosa wateja then wwe unatetea tu sijui kwa faida ya nani?? Yaani grid ya umeme kutegemea gesi ndio imesaidua nini kma tanesco inaendeshwa kwa hasara ya mabilion kila mwaka?? REA imekwama hyo gesi imesaidia nini??? Unajua vijiji vingapi havina uneme hapa TZ??

Hoja yangu ni kwamba tusishabikie miradi ila tushabikie OUTCOME au IMPACT ya miradi.... sio tu magufuli katumbua bandari sijui kajenga treni je tujiulize hiyo miradi imefaidisha nini mwananchi wa kawaida hapo ndipo msifie sio kusifia mradi wa treni wakati 60% ya vijiji treni hii inapopita hayana maji safi na salama wala vituo vya afya then mnakuja mnashabikia ti treni treni kwani ni mara ya kwanza treni kuletwa?? Ila since then kuna impact gani kwenye maisha ya mwananchi wa kawaida??

TUSIFIE IMPACT YA MIRADI SIO KUSIFIA MIRADI
 
kumbuka pia anapingwa na watu wachache hususani wajinga wakubwa!
wenye upeo tunamsupport
Hahahhaahha wachache???? Mbona anatumia nguvu kubwa kuwazuia sasa?? Si aruhusu m4c zirudi tena aone atabaki na wangapi!!

Rais kukosolewa sio dhambi tujifunze demokrasia hta viongozi wenye title kubwa sana kma kina nkrumah na castro au mandela na wenyewe walipingwa sana wakati wao sembuse Rais wenu?? Lets be objective and allow political immaturity and harmony to take its course
 
Wana JF hebu tujadili UBAYA na UZURI wa kumtumia Magufuli katika kampeni za jirani zetu Kenya.

Katika mkutano wao LEO wa KUMUIDHINISHA rasmi mgombeaji wa upinzani wa ODM dhidi ya rais Kenyatta. Mh. Raila odinga alitumia video ya kushangaza sana iliyomwonyesha Rais wetu John Pombe Magufuli kama vile ANASAPOTI kampeni ya RAILAOdinga.

Mimi binafsi naona ni kama strategists wa NASA wamefanya MAKSUDI ili KUTUGOGANISHAU kati yetu na jirani zetu wazuri Kenya.
Urafiki wao wawili walupokuwa MAWAZIRI hauhusiani HATA KIDOGO na maswala ya USALAMA wa nchi yetu.

Nina maana Magufuli sasa is AN INTERNATIONAL FIGURE/Mtu wa KIMATAIFA. Hivyo kumweka kwenye VIDEO ya KUOMBA URAIS Kenya HAIMHUSU hata kidogo na NIKUTUCHONGANISHA!

Kwanza yeye ni Mwenyekiti wa EAC na haitajiki kuwa na upendeleo wowote. Kampuni za Kenya hapa Tanzania zimeajiri watu 50 elfu na zaidi.

Ni vizuri IKULU ama MSEMAJI wa serikali atoe KAULI kuwa Tanzania haipendelei MGOMBEAJI yeyote yule nchini Kenya na maamuzi ya Wakenya ndo yatakubalika katika Jumuia ya Africa Mashariki.

Hii itatusaidia Raila Odinga ASIITUIINGIZE katika mizozano isiyo na tija kati yetu na Kenya maana HATUJUI nani atakuwa RAIS wa KENYA baada ya UCHAGUZI..
Wacha kulalama wewe mkikuyu, mwanche Raila aoneshe kuwa ana network na watu wadilifu!
 
Wana JF hebu tujadili UBAYA na UZURI wa kumtumia Magufuli katika kampeni za jirani zetu Kenya.

Katika mkutano wao LEO wa KUMUIDHINISHA rasmi mgombeaji wa upinzani wa ODM dhidi ya rais Kenyatta. Mh. Raila odinga alitumia video ya kushangaza sana iliyomwonyesha Rais wetu John Pombe Magufuli kama vile ANASAPOTI kampeni ya RAILAOdinga.

Mimi binafsi naona ni kama strategists wa NASA wamefanya MAKSUDI ili KUTUGOGANISHAU kati yetu na jirani zetu wazuri Kenya.
Urafiki wao wawili walupokuwa MAWAZIRI hauhusiani HATA KIDOGO na maswala ya USALAMA wa nchi yetu.

Nina maana Magufuli sasa is AN INTERNATIONAL FIGURE/Mtu wa KIMATAIFA. Hivyo kumweka kwenye VIDEO ya KUOMBA URAIS Kenya HAIMHUSU hata kidogo na NIKUTUCHONGANISHA!

Kwanza yeye ni Mwenyekiti wa EAC na haitajiki kuwa na upendeleo wowote. Kampuni za Kenya hapa Tanzania zimeajiri watu 50 elfu na zaidi.

Ni vizuri IKULU ama MSEMAJI wa serikali atoe KAULI kuwa Tanzania haipendelei MGOMBEAJI yeyote yule nchini Kenya na maamuzi ya Wakenya ndo yatakubalika katika Jumuia ya Africa Mashariki.

Hii itatusaidia Raila Odinga ASIITUIINGIZE katika mizozano isiyo na tija kati yetu na Kenya maana HATUJUI nani atakuwa RAIS wa KENYA baada ya UCHAGUZI..
Tujadili huku wewe tayari umeshamaliza mchezo na kutuonesha msimamo wako ulipo.. Umeshaandika ni makosa makubwa..
 
Wacha kulalama wewe mkikuyu, mwanche Raila aoneshe kuwa ana network na watu wadilifu!
Not at the expense ya UHUSIANO wetu mzuri na jirani zetu wa Kenya.
Elewa implications zake kabla ya kujibu tu kiholela!
 
Nachowasifu wakenya ni kwamba wana msimamo kama waarabu... Huweza kuwachezea kama tunavyoshikwa shikwa sharubu Tanzania...
 
Kweli kabisa japo ni marafiki wa muda mrefu sioni haja ya yeye kutumia urafiki huo kutafuta kura Kenya, hata hivyo inaonyesha Magufuli anakumbalika Kenya kwa mema anayofanya hapa kwetu, Raila yeye auze sera zake aache bla bla
Hapo ni kweli kabisa mkuu. Maana UTAWALA ni tofauti sana na URAFIKI. Magufuli sasa ni MALI ya Watanzania na si vinginevyo.
 
Upuuzi wa kuwabana mafisadi na kuondoa wenye vyeti feki serikalini?????

Upuuzi kufufua shirika la ATCL?

Upuuzi kuleta treni ya umeme?
Atcl inamsaidiaje anaekufa kwa malaria au tb na vifaa tiba hakuna
 
Umeelewa hoja yangu?? Nani kapinga miradi?? Nachomjibu huyo ni kwamba sio kila anyemkosoa rais basi ndo anampinga maendeleo maana kila tukimkosoa magufuli utaskia ANAJENGA RELI ANAJENGA BARABARA !!!! as if gadaffi hakufanya yote haya na bado wananchi wakawa hawamkubali!!!!

Anyway kwa unachosema wwe its ok miradi ila kumbuka bomba la gesi only mteja ni tanesco!!! Na hata CAG anasema tumekosa wateja then wwe unatetea tu sijui kwa faida ya nani?? Yaani grid ya umeme kutegemea gesi ndio imesaidua nini kma tanesco inaendeshwa kwa hasara ya mabilion kila mwaka?? REA imekwama hyo gesi imesaidia nini??? Unajua vijiji vingapi havina uneme hapa TZ??

Hoja yangu ni kwamba tusishabikie miradi ila tushabikie OUTCOME au IMPACT ya miradi.... sio tu magufuli katumbua bandari sijui kajenga treni je tujiulize hiyo miradi imefaidisha nini mwananchi wa kawaida hapo ndipo msifie sio kusifia mradi wa treni wakati 60% ya vijiji treni hii inapopita hayana maji safi na salama wala vituo vya afya then mnakuja mnashabikia ti treni treni kwani ni mara ya kwanza treni kuletwa?? Ila since then kuna impact gani kwenye maisha ya mwananchi wa kawaida??

TUSIFIE IMPACT YA MIRADI SIO KUSIFIA MIRADI
Uko na mlengo Wa kisiasa zaidi,
Unaweza kuwa sahihi kwa huo mtazamo wako.
But to me,
I don't give a https://jamii.app/JFUserGuide on your Chadema or CCM, ama sijui chama gani Kingine,
Nataka Kuona Maendeleo, that's it. Sihitaji porojo na stori za usisiem au Ukawa people will not eat words .
Tena napenda hata hivi vyama vinnyimwe kabisa ruzuku ambazo ni Kodi zetu, vijitegemee..

Nataka kuona ni Kitu gani (Visible) serikali imekifanya?
Kuhusu hoja yako kuwa Tanesco ndio mteja Wa gesi inadhihirisha kuwa upo hapa kupinga kila kitu.
Miradi kama REA inakwama kwa Sababu wafadhili kuna wakati hawatoi pesa kwa Wakati.
Ndio maana nataka kuona Miundombinu kama hii ya Reli itakayoiongezea serikali PATO la kufanya tujitegemee tujenge Miundombinu ya Maji safi kwa watanzania.

Magufuli isn't an ANGEL, ana mapungufu kama ilivyo Mimi na wewe , But he is the best statesman especially kwa Wakati tulipokuwa tumefika.
Pamoja na kuwa sikumpigia kura nataraji kumpigia kura 2020. Kama SGR, ATCL, JNIA, MW2000 kwenye gridi ya Taifa na Miundombinu ya Barabara za flyovers hapa dsm itakuwa imekamilika.
 
Back
Top Bottom