Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Itakuwa ajabu ya karne, na uzi wako nitauhifadhi kwenye kumbu kumbu, ila uwe na hakika na ulicho andika, uzushi huu usije kukusuta baadaye
 

Deep stick, lip stick, deep state
 
Nipo bussy but nitawaletea kilichopo nyuma ya pazia, usitamani yakukute yajayo.
 
Nipo bussy but nitawaletea kilichopo nyuma ya pazia, usitamani yakukute yajayo.
Syo ukae huko mpaka tuusahau huu uzi ,Kila unachokipata huko tuletee hapa tuunganishe nukta
 
Nipo bussy but nitawaletea kilichopo nyuma ya pazia, usitamani yakukute yajayo.
Yaana mema yeyote kweli kwa hii nchi yetu? Maana VP mwenyewe tumeanza kuona akitoa maagizo zikusanywe tril 2 kwa mwezi, vipi akipewa Rungu si tutachakaa kabisa wafanyabiashara
 
Ina maana marehemu na watu wake hawakuona huu uzi waongeze ulinzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…