ukisoma vizuri mwanzoni alidokeza haya yatatokea bongoland, kuna vitu vya kuogofya sana nyuma za kapetiHakika yametokea japo c USA Bali ni hapa bongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukisoma vizuri mwanzoni alidokeza haya yatatokea bongoland, kuna vitu vya kuogofya sana nyuma za kapetiHakika yametokea japo c USA Bali ni hapa bongo.
Ni taasisi ambayo huwa ipo ndani ya serikali kwa Siri yaani hiyo taasisi inakuwa haijulikani kuwa ipo
Hata raisi wanchi anaweza asijue kuwa ipo !? Au akawa anajua lakini Taasisi hiyo inakuwa na mfumo imara ambao hauruhusu taasisi hiyo kuingiliwa na kiongozi yeyote yule wa Nchi kwaajili ya kulinda maslahi yake .Taasisi hiyo kazi yake Dhumuni la uwepo wake ni kulilinda taifa husika at any cost
[emoji3][emoji3]Deep stick, lip stick, deep state
Syo ukae huko mpaka tuusahau huu uzi ,Kila unachokipata huko tuletee hapa tuunganishe nuktaNipo bussy but nitawaletea kilichopo nyuma ya pazia, usitamani yakukute yajayo.
Yaana mema yeyote kweli kwa hii nchi yetu? Maana VP mwenyewe tumeanza kuona akitoa maagizo zikusanywe tril 2 kwa mwezi, vipi akipewa Rungu si tutachakaa kabisa wafanyabiasharaNipo bussy but nitawaletea kilichopo nyuma ya pazia, usitamani yakukute yajayo.
IF this is true then my country is strong and no one individual can take advantage of our precious land.you have been warned.Mkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Watu mna maono!Una maana haya madharau dhidi ya covid19 yata backfire na kumpiga kulekule alikojificha?😎
Au unakusudia kusema nini?
Napita tu jameni....
Wewe ni kiboko!Trump tena? Hii ni huku mkuu.
Huyu jamaa kaanzisha uzi na kudai maamuzi yamebadilishwa.VP will take the white house within 1 year from right now.
Deep state is working day and night
WWWEEEEEEEEEE!!!!!!!!Mama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.