Hii kuficha ficha mambo sio nzuri watu wanakuwa na wasiwasi mwingi hata picha za Jana tutaaminije ni currentMimi sijaziona na wala sijali, I don't even listen to the speeches tangu Magufuli.
Ila for the sake of Tanzanians, she better show up.
Experience waliyoipata ya Rais kupotea, halafu kuambiwa kwamba anachapa kazi, halafu kujua kumbe alikuwa anajifia zake ni mbaya sana.
Si unajua tena Waswahili wanasema aliyeumwa na nyoka akiona unyasi anasituka?
Bora kusema hata ukweli tuwakumbuke kwenye salaNi kweli mkuu ata kipindi kile ilipoanza minong'ono wakawa wanarusha picha na video za jiwe hawaminiki Hawa.
Atakuwa kabla ya 2030 ikitokea wakashinda 2025Kwa hiyo Mpango atakuwa Rais kabla ya 2025.
Alikuwa mwoga kupita kiasiHaka kajamaa Tumia akili kangese sana kalivyoona Jiwe amezikwa kweli kakaja na uzi humu kuwa operation ya kumuondoa aliyepo imesitishwa. Ila hayati jiwe alikufa kifara sana sijui alikuwa kapigwa upofu gani au zile helicopter & mibunduki kwenye ziara zake za kuzindua vyoo vya stand za mabus ndizo zilimfanya akawa anahisi yuko salama
Jana kaonekana Ikulu akiendesha kikao cha HazinaNasikia Mama hajaonekana siku ya kumi, kweli?
Hata yule fisi mlisema hivyo hivyoUlitaka aonekane wapi? Jf Kuna watu wapumbavu wengi sana. Sijui hii kusema humu Kuna great thinkers alianzisha Nani
Mbona Rais ni kweli mgonjwaNipashe la leo hilo!!!!!!!!!!!!!!! Mr Born Town!!!!!!!!!!!!!!
View attachment 2587600View attachment 2587600
Ataondoka tu ila uzuri nasikia 2025 hata chukua kiti ataachia wengineDah Mungu amlinde huyu mama
KabisaBora kusema hata ukweli tuwakumbuke kwenye sala
HII ILIKUA MAY 10 2020 SIJUI NILITAKA KUSEMA NINI ILA HUYU JAMAA ANAJUAMama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Yes kikubwa uzima na uhai 2025 astaafu zake Kwa amani nchi ngumu hii na maji yanazidi unga maskini Hadi urembo wote umekwishaAtaondoka tu ila uzuri nasikia 2025 hata chukua kiti ataachia wengine
Maana atakuwa 63/64 anapaswa apumzike tu vinginevyo watamtoa yeye na JKYes kikubwa uzima na uhai 2025 astaafu zake Kwa amani nchi ngumu hii na maji yanazidi unga maskini Hadi urembo wote umekwisha
Sure Kwa kweliMaana atakuwa 63/64 anapaswa apumzike tu vinginevyo watamtoa yeye na JK
Maana ukifatilia ile video iliyowekwa na ikulu jana, Rais ni mgonjwa au alikuwa mgonjwa, wamemleta makusudi tuaonekane.Sure Kwa kweli
Exactly.Hii kuficha ficha mambo sio nzuri watu wanakuwa na wasiwasi mwingi hata picha za Jana tutaaminije ni current
Ila Kwa ile video hata usoni inaonyesha hatuko sawa hata tembea yake na hizo video what if zilikuwa za siku nyingi hukoMaana ukifatilia ile video iliyowekwa na ikulu jana, Rais ni mgonjwa au alikuwa mgonjwa, wamemleta makusudi tuaonekane.
Kingine alikuwa na shughuli alitakiwa aonekane tarehe 9/04 kwenye mashindano ya Quran ila alimtuma Mwinyi kumwakilisha
Mlilipanga hili siyo?Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Umeshachelewa.Kama nimekusoma unamaanisha atakaeteuliwa umakamu wa Rais kumsaidia mama atakuwa Rais kabla ya mama kukamilisha hii miaka 4 na ushee?
Kama ndio hivyo nitamuomba Mungu abatilishe hii kitu ila tu kwa mapenzi yake basi angalau mama amalizie miaka 5 japo binafsi napenda aende hadi 2030
Sitaki kabisa tuingie kwenye historia ya Zambia
Mama jana amefuturisha na anaonekana yupo fiti. Nafikiri hizi tetesi zimeenea na kuchagizwa na kauli ya JK majuzi kuwa tumuombee mama. Mama ameonekana jana wote tumemuona mjadala uishie hapo sasa.Kama watu wanazusha si rais ajitokeze tu?
Hivi hamjajifunza kwenye kifo cha Magufuli?