Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Mimi sijaziona na wala sijali, I don't even listen to the speeches tangu Magufuli.

Ila for the sake of Tanzanians, she better show up.

Experience waliyoipata ya Rais kupotea, halafu kuambiwa kwamba anachapa kazi, halafu kujua kumbe alikuwa anajifia zake ni mbaya sana.

Si unajua tena Waswahili wanasema aliyeumwa na nyoka akiona unyasi anasituka?
Hii kuficha ficha mambo sio nzuri watu wanakuwa na wasiwasi mwingi hata picha za Jana tutaaminije ni current
 
Haka kajamaa Tumia akili kangese sana kalivyoona Jiwe amezikwa kweli kakaja na uzi humu kuwa operation ya kumuondoa aliyepo imesitishwa. Ila hayati jiwe alikufa kifara sana sijui alikuwa kapigwa upofu gani au zile helicopter & mibunduki kwenye ziara zake za kuzindua vyoo vya stand za mabus ndizo zilimfanya akawa anahisi yuko salama
Alikuwa mwoga kupita kiasi
 
Ataondoka tu ila uzuri nasikia 2025 hata chukua kiti ataachia wengine
Yes kikubwa uzima na uhai 2025 astaafu zake Kwa amani nchi ngumu hii na maji yanazidi unga maskini Hadi urembo wote umekwisha
 
Yes kikubwa uzima na uhai 2025 astaafu zake Kwa amani nchi ngumu hii na maji yanazidi unga maskini Hadi urembo wote umekwisha
Maana atakuwa 63/64 anapaswa apumzike tu vinginevyo watamtoa yeye na JK
 
Sure Kwa kweli
Maana ukifatilia ile video iliyowekwa na ikulu jana, Rais ni mgonjwa au alikuwa mgonjwa, wamemleta makusudi tuaonekane.

Kingine alikuwa na shughuli alitakiwa aonekane tarehe 9/04 kwenye mashindano ya Quran ila alimtuma Mwinyi kumwakilisha
 
Maana ukifatilia ile video iliyowekwa na ikulu jana, Rais ni mgonjwa au alikuwa mgonjwa, wamemleta makusudi tuaonekane.

Kingine alikuwa na shughuli alitakiwa aonekane tarehe 9/04 kwenye mashindano ya Quran ila alimtuma Mwinyi kumwakilisha
Ila Kwa ile video hata usoni inaonyesha hatuko sawa hata tembea yake na hizo video what if zilikuwa za siku nyingi huko
 
Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Mlilipanga hili siyo?
 
Una jamaa huko Twitter ameanza kuhoji mama yuko wapi au ongoing plan nini? [emoji848] [emoji848]
 
Kama nimekusoma unamaanisha atakaeteuliwa umakamu wa Rais kumsaidia mama atakuwa Rais kabla ya mama kukamilisha hii miaka 4 na ushee?

Kama ndio hivyo nitamuomba Mungu abatilishe hii kitu ila tu kwa mapenzi yake basi angalau mama amalizie miaka 5 japo binafsi napenda aende hadi 2030

Sitaki kabisa tuingie kwenye historia ya Zambia
Umeshachelewa.
 
Back
Top Bottom