Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Kama watu wanazusha si rais ajitokeze tu?

Hivi hamjajifunza kwenye kifo cha Magufuli?
Wewe ndio maana nikakuita mpumbavu. Yaani ajitokeze kwa ujinga ambao umeandikwa na mjinga mmoja mtandaoni? Huyo basi hatakua raisi atakua ni VEO

Kuhusu Magufuli na huu ujinga mnaoandika hapa unahusiana vipi?
 
Tatizo watu wengi hawaelewi kwamba Rais ni mali ya watanzania. Sasa kama watu wanahoji alipo, basi bila shaka kama yupo ajitokeze na kusema nipo na naendelea na kazi ya kuwatumikia,BASI.

Sielewi ni kwa nini watanzania wakiuliza alipo Rais wao huwa inakuwa Nongwa!!

Joe Biden alipokwenda kufanyiwa Operesheni, wamarekani walijulishwa na akaandika hati ya kumkabidhi Haris Kamala mamlaka ya Urais kwa muda. Sasa hapa ni lazima utukanwe na kutishwa, sielewi ni kwa nini!!
Mkuu

Huku kwetu ukikabidhi hati ya uongozi UNAWEZA usirudi kabisaa!

huo sio utamaduni wetu! NADHANI tuendelee hivi hivi kufanya usiri wa afya za viongozi wetu!!!!

tuipende nchi yetu wakuu!!!
 
Hiyo dawa anayo yule jamaa aliepiga picha na wanaume TMK wa zamani kidogo!!
Hii?
FB_IMG_16768734969466388.jpg
 
Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Unataka kusema mzee asiye penda misafara aanze kushona suti
 
Hakika mama yetu kipenzi Cha wapenda haki na usawa wa wote chukizo la wapumbavu na washamba plus malimbukeni!
NB nitampigia kura SSH ya urais( japo sijawahi muichagua CCM na umri huu wa nusu Karne) ila ubunge nitawapa wapinzani!!!
Mungu alimleta SSH baada ya kuona Taifa linaangamia kwa mauaji,ukabila,wizi,uonevu,ukanda,ushamba nk
 
Hakika mama yetu kipenzi Cha wapenda haki na usawa wa wote chukizo la wapumbavu na washamba plus malimbukeni!
NB nitampigia kura SSH ya urais( japo sijawahi muichagua CCM na umri huu wa nusu Karne) ila ubunge nitawapa wapinzani!!!
Mungu alimleta SSH baada ya kuona Taifa linaangamia kwa mauaji,ukabila,wizi,uonevu,ukanda,ushamba nk
Na kwa Sasa hatujui aliko ,tunataka kujua yu wapi mpendwa wetu!!??
 
Back
Top Bottom