Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Tatizo watu wengi hawaelewi kwamba Rais ni mali ya watanzania. Sasa kama watu wanahoji alipo, basi bila shaka kama yupo ajitokeze na kusema nipo na naendelea na kazi ya kuwatumikia,BASI.

Sielewi ni kwa nini watanzania wakiuliza alipo Rais wao huwa inakuwa Nongwa!!

Joe Biden alipokwenda kufanyiwa Operesheni, wamarekani walijulishwa na akaandika hati ya kumkabidhi Haris Kamala mamlaka ya Urais kwa muda. Sasa hapa ni lazima utukanwe na kutishwa, sielewi ni kwa nini!!
Halafu uzi wa franklin D roosevelt ulitoka mwaka jana mwezi wa tano!

Sasa sijui utekelezwaji wake ni wa tano mwaka huu au!!?
 
Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Daah Samia ulitabiriwa au jamaa alitoa mipango ya siri?
 
Tatizo watu wengi hawaelewi kwamba Rais ni mali ya watanzania. Sasa kama watu wanahoji alipo, basi bila shaka kama yupo ajitokeze na kusema nipo na naendelea na kazi ya kuwatumikia,BASI.

Sielewi ni kwa nini watanzania wakiuliza alipo Rais wao huwa inakuwa Nongwa!!

Joe Biden alipokwenda kufanyiwa Operesheni, wamarekani walijulishwa na akaandika hati ya kumkabidhi Haris Kamala mamlaka ya Urais kwa muda. Sasa hapa ni lazima utukanwe na kutishwa, sielewi ni kwa nini!!
Rais ni mfanyakazi wa Watanzania. Muajiriwa wao.

Muajiriwa asipoonekana kazini, waajiri wana haki ya kujua kwa nini haonekani.

Anaumwa? Mzima? Kwa nini haonekani?
 
Wewe ndio maana nikakuita mpumbavu. Yaani ajitokeze kwa ujinga ambao umeandikwa na mjinga mmoja mtandaoni? Huyo basi hatakua raisi atakua ni VEO

Kuhusu Magufuli na huu ujinga mnaoandika hapa unahusiana vipi?
Rais ni mfanyakazi wa Watanzania, muajiriwa wao.

Kama waajiri walivyo na haki ya kujua muajiriwa yupo wapi, anafanya kazi au anaumwa, Watanzania nao wana haki hiyo.

Kuhusu Magufuli, na yeye alikuwa haonekani hivihivi, mkadanganywa na Majaliwa kwamba anachapa kazi. Kumbe mtu anajifia.

Bado hujaona hatari tu kwamba rais anaweza kuwa kashakufa, watu wanaiba hela kwa jina lake, na wewe unaambiwa rais anachapa kazi tu?
 
Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Maana yake Mpango atajiuzulu umakam kwa skendo wakati akiwa waziri wa fedha!

Then atateuliwa makam mwingine labda ino,Rashidi,

Halafu namba moja ajiuzulu kwa kashfa fulani huyo makam mteule anakuwa namba moja sio!!!?
 
Rais ni mfanyakazi wa Watanzania, muajiriwa wao.

Kama waajiri walivyo na haki ya kujua muajiriwa yupo wapi, anafanya kazi au anaumwa, Watanzania nao wana haki hiyo.

Kuhusu Magufuli, na yeye alikuwa haonekani hivihivi, mkadanganywa na Majaliwa kwamba anachapa kazi. Kumbe mtu anajifia.

Bado hujaona hatari tu kwamba rais anaweza kuwa kashakufa, watu wanaiba hela kwa jina lake, na wewe unaambiwa rais anachapa kazi tu?
Kwa hiyo kwa kuwa ilitokea kwa Magufuli basi kila mwaka kazi yenu ni kuamka na kuuliza? Hapo ndio nimeshindwa kukutofautisha wewe na mpumbavu
 
Back
Top Bottom