Rais amefanya ziara Kisarawe na kuzindua Mradi mkubwa wa Maji Wilayani humo

Rais amefanya ziara Kisarawe na kuzindua Mradi mkubwa wa Maji Wilayani humo

Ukweli unabaki ukweli na uwongo hujitenga. Haipendezi katu kudanganya umma ili kupata huruma yao iwe mtaji wa kisiasa.

Mimi kama mimi sipendezwi na nachukia kusikia uwongo na kashfa za kizushi dhidi ya utawala. Kama kuna makosa yanatendwa yakosolewe kwa lugha ya kistaarabu siyo inayotumiwa na viongozi wa upinzani na wafuasi wao wa kwenye mitndao ya kijamii. Humu wamo wengi tu, na wamegeuza JF kijiwe cha kushindana uzushi, uwongo na matusi. Hakuna shaka yoyote wanafuata nyao za viongozi wao.

Mada KUU ni kuhusu ufunguzi wa mradi wa maji, kumtua mama ndoo kichwani. Mjadala unabadilishwa kuwa matusi, tena ya nguoni, dhidi ya viongozi. Nisingenyamaza ikabidi nami niwatolee uvivu kwa kuwakumbusha kitendo cha aibu na fedheha alichokifanya Kiongozi wao Mkuu, wampambae kwa jina la MWAMBA.
Ubarikiwe sana!
 
Nachelea kuandika haya lakini ndio ukweli kukujibu wewe mpenda kukashifu watu.

Kiongozi Mkuu, aliyejijengea sifa hadi kuaminika na jamii ya ndani na kimataifa, analewa chakari hadi kuanguka na kuumia kifundo cha mguu (siyo kuvunjika), mnajitokeza kumtetea wakati hamkuwepo kwenye tukio, tuwape majina gani!

Si yeye, wala dereva wake, wamejitokeza hadharani kuelezea mkasa wote. Kwa tabia yake, ingekuwa kweli ameshambuliwa, kwa sababu za kisiasa, kama ambavyo mnadai, hakika asingekuwa kimya hadi sasa. Rejea taarifa yake kwa vyombo vya habari kuhusu kushambuliwa Lissu kwa risasi alivyoishutumu Serikali, lakini leo shambulio dhidi yake anakaa kimya!

Hamkisaidii chama kwa kufukua fukua majungu na kuanzisha uzushi wa kashfa dhidi ya Serikali na viongozi wake. Huo ni mtaji hasi wa kisiasa. Wapiga kura, naamini, wanahitaji kusikia Sera na Mikakati ya maendeleo mbadala kuwaondoa katika hali waliyo nayo kwa sasa, kuelekea kwenye neema.

WAKATI NDIO HUU BADILIKENI KIFIKRA NA MITAZAMO, tunapoelekea Uchaguzi Mkuu. Hizo fikra na mawazo yenu waachieni watoto wa chekechea.
Mbowe mlevi.jpg
 
Kiukweli kuna watu leo, wataangalia matangazo hayo mubashara kwa extra interest sio tuu kushuhudia tukio la rais na uzinduzi, bali pia kumuangazia DC wa Kisarawe, Jokate Mwengelo, hii ni nyota inayongara..

Nani hapendi kuona vitu vizuri?. Utafiti wa kisaikolojia, umebaini macho yakiona vitu vizuri vya kupendeza machoni, moyo unafurahi na kukupa furaha ya kweli, true happiness.

P
We endelea tuu kumchimba chini chini brother! Siku akikushtukia shauri yako.
 
Kifupi hawezi mfano na kipimo ni zile pesa za ghadaff!

Pesa za Gaddaf zipi? Wakiwa ccm watu wakisema machafu yao mnasema wanatukanwa sijui kuchafuliwa. Wakitoka ccm ndio mnaanza kutuambia sijui pesa za Gadaffi, upuuzi mtupu.
 
"Ni aibu kuwa na mkuu wa wilaya ambaye hajaolewa, wewe Jokate umri umeenda uolewe sasa. Nasema uwongo jamanii?"



Jokate: Nitaolewa kutekeleza agizo la Rais Magufuli

Hayo ndiyo mambo ya walamba viatu na mkuu wao. Kwa leo wataegemea huko kwenye ngono ngono.

Na nyie walamba matapishi ya faru john kwa kiongozi wenu mna jipya gani leo?
 
Nachelea kuandika haya lakini ndio ukweli kukujibu wewe mpenda kukashifu watu.

Kiongozi Mkuu, aliyejijengea sifa hadi kuaminika na jamii ya ndani na kimataifa, analewa chakari hadi kuanguka na kuumia kifundo cha mguu (siyo kuvunjika), mnajitokeza kumtetea wakati hamkuwepo kwenye tukio, tuwape majina gani!

Si yeye, wala dereva wake, wamejitokeza hadharani kuelezea mkasa wote. Kwa tabia yake, ingekuwa kweli ameshambuliwa, kwa sababu za kisiasa, kama ambavyo mnadai, hakika asingekuwa kimya hadi sasa. Rejea taarifa yake kwa vyombo vya habari kuhusu kushambuliwa Lissu kwa risasi alivyoishutumu Serikali, lakini leo shambulio dhidi yake anakaa kimya!

Hamkisaidii chama kwa kufukua fukua majungu na kuanzisha uzushi wa kashfa dhidi ya Serikali na viongozi wake. Huo ni mtaji hasi wa kisiasa. Wapiga kura, naamini, wanahitaji kusikia Sera na Mikakati ya maendeleo mbadala kuwaondoa katika hali waliyo nayo kwa sasa, kuelekea kwenye neema.

WAKATI NDIO HUU BADILIKENI KIFIKRA NA MITAZAMO, tunapoelekea Uchaguzi Mkuu. Hizo fikra na mawazo yenu waachieni watoto wa chekechea.
.
FB_IMG_15918718110569346.jpg
 
Pesa za Gaddaf zipi? Wakiwa ccm watu wakisema machafu yao mnasema wanatukanwa sijui kuchafuliwa. Wakitoka ccm ndio mnaanza kutuambia sijui pesa za Gadaffi, upuuzi mtupu.
Yupi aliyetoka ccm akachafuliwa uchafu hufichuliwa na wanaccm wenyewe hakuna anayechafuliwa!
 
Wewe jamaa na hiyo COVID 19 yako!! COVID haiishi karibuni mzee, na watu hawawezi kuacha kufanya shughuli za kiuchumi zaidi ya mwaka sababu ya hayo Mafua.
Jamaa king'ang'anizi balaa, kila siku yeye na COVID tu hadi anakera.
 
Nipo hapa mubashara live Eneo la kimbamba Kisarawe
 
Huu sasa ni uchonganishi!, mwanzo mmenichonganisha, nikanyang'anywa Press Card yangu!. Ni juzi tuu nimerejeshewa sasa kwanini unataka kunipiga majungu?
P
Ha haha! Nakumbuka siku moja Sugu alisema bungeni kwamba "wanamsifia sana mshua hadi mwenyewe anawashtukia na kukasirika"
Basi nimekumbuka video hii na kujisemea jee Pascal Mayalla naye kaanza kuimba "jembe sii jembe?"

 
Kiukweli kuna watu leo, wataangalia matangazo hayo mubashara kwa extra interest sio tuu kushuhudia tukio la rais na uzinduzi, bali pia kumuangazia DC wa Kisarawe, Jokate Mwengelo, hii ni nyota inayongara..

Nani hapendi kuona vitu vizuri?. Utafiti wa kisaikolojia, umebaini macho yakiona vitu vizuri vya kupendeza machoni, moyo unafurahi na kukupa furaha ya kweli, true happiness.

P
Pasikali njaa sidhani Kama utakuja kupata uteuzi kwa haya madongo unayompiga home boy!

Duh!
 
"Ni aibu kuwa na mkuu wa wilaya ambaye hajaolewa, wewe Jokate umri umeenda uolewe sasa. Nasema uwongo jamanii?"



Jokate: Nitaolewa kutekeleza agizo la Rais Magufuli

Hayo ndiyo mambo ya walamba viatu na mkuu wao. Kwa leo wataegemea huko kwenye ngono ngono.
Wewe jamaa ulikuwa kwenye mawazo ya UNO
 
DAS katumbuliwa sababu alikuwa akila mizigo.....

Ukute kamtongoza Joketi.

Afisa Tawala Kaula kawa DAS
 
DAS alikuwa akimsumbua Mkuu wa Wilaya
Katumbuliwa
 
Back
Top Bottom