Rais amefanya ziara Kisarawe na kuzindua Mradi mkubwa wa Maji Wilayani humo

Rais amefanya ziara Kisarawe na kuzindua Mradi mkubwa wa Maji Wilayani humo

Muda Huu Changizo Kwaajili Ya Shule Ya Msingi
Madarasa Yanavuja Hivyo
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Anafanya Majukumu Yake
Pesa Zimefika Millions 16
 
Shule Ya Msingi Imechangiwa Millions 68 Na Laki Tano
 
Kesho
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Atakuwa Ziarani Mkoa Wa Morogoro Kuweka Jiwe La Msingi Kwenye Mahandaki Ya Reli Ya SGR
Mambo Yanakwenda Vizuri

Tanzania Ni Tajiri Sana, Uchumi Wa Kati
 
Hotuba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jaffo
Amemshukuru Rais kwa kumpa dhamana ya kuhudumu katika Ofisi yake pamoja na kuwashukuru Wanakisarawe kwa kumpa nafasi kama Mbunge wao.
JPM NA JAFO WANATUFAA SANA.
 
Kazi maalum
Iwe kazi au la, utakavyokupendeza.

Kuna watu humu JF wanatumia vibaya uhuru wa mawazo. Ukisoma bandiko zao huwezi kuamini mwandishi wake kama ana wazazi/familia, kichaa, mwendawazimu, mtoto, au kijana chokoraa.

Wenye tabia hiyo bila shaka hata maisha yao ni ya hovyo hovyo tu.
 
Tanzania Yetu “Friends Of Magufuli” kutoka Pwani, matukio kwa picha
IMG-20200628-WA0006.jpg
IMG_20200628_141430_982.jpg
 
Ukweli unabaki ukweli na uwongo hujitenga. Haipendezi katu kudanganya umma ili kupata huruma yao iwe mtaji wa kisiasa.

Mimi kama mimi sipendezwi na nachukia kusikia uwongo na kashfa za kizushi dhidi ya utawala. Kama kuna makosa yanatendwa yakosolewe kwa lugha ya kistaarabu siyo inayotumiwa na viongozi wa upinzani na wafuasi wao wa kwenye mitndao ya kijamii. Humu wamo wengi tu, na wamegeuza JF kijiwe cha kushindana uzushi, uwongo na matusi. Hakuna shaka yoyote wanafuata nyao za viongozi wao.

Mada KUU ni kuhusu ufunguzi wa mradi wa maji, kumtua mama ndoo kichwani. Mjadala unabadilishwa kuwa matusi, tena ya nguoni, dhidi ya viongozi. Nisingenyamaza ikabidi nami niwatolee uvivu kwa kuwakumbusha kitendo cha aibu na fedheha alichokifanya Kiongozi wao Mkuu, wampambae kwa jina la MWAMBA.
Mkuu inaelekea uko vizuri, ila mahaba ya siasa yamekuzidi ndiyo maana umeamua kuongea uongo ulioaminishwa kuwa ukweli bila kujiongeza mwenyewe hata kwa 30/%. Assume ni uongo 100%, utajisikiaje km una hofu ya Mungu?
 
Mkuu inaelekea uko vizuri, ila mahaba ya siasa yamekuzidi ndiyo maana umeamua kuongea uongo ulioaminishwa kuwa ukweli bila kujiongeza mwenyewe hata kwa 30/%. Assume ni uongo 100%, utajisikiaje km una hofu ya Mungu?
Nina hofu ya Mungu ndiyo maana nachukia waongo, wazushi na wafitinashaji. Kilicho kibaya ni matumizi ya lugha ya matusi katika hoja, hata ikiwa ya maana inapoteza umaana wake
 
Nina hofu ya Mungu ndiyo maana nachukia waongo, wazushi na wafitinashaji. Kilicho kibaya ni matumizi ya lugha ya matusi katika hoja, hata ikiwa ya maana inapoteza umaana wake
Kabisa
 
"Ni aibu kuwa na mkuu wa wilaya ambaye hajaolewa, wewe Jokate umri umeenda uolewe sasa. Nasema uwongo jamanii?"

Jokate: Nitaolewa kutekeleza agizo la Rais Magufuli

Hayo ndiyo mambo ya walamba viatu na mkuu wao. Kwa leo wataegemea huko kwenye ngono ngono.
Tunangoja Utekelezaji Wa Agizo La Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania, Waoe/Waolewe
Ameshawataja Wale Wa Dodoma/Kisarawe
Tunategemea Hawata Kuwa Wasanii 😀😁😂😅😄😃🤣
 
We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that he is there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom