Rais amefanya ziara Kisarawe na kuzindua Mradi mkubwa wa Maji Wilayani humo

Rais amefanya ziara Kisarawe na kuzindua Mradi mkubwa wa Maji Wilayani humo

Alichomwambia DAS mpya “Nendeni mkagombee wanaume na mwenzako niwatumbue wote...” (DC Jokate) nimekwazika sana.
Tumefikaje hapa jamani? [emoji3064]
 
DAS katumbuliwa sababu alikuwa akila mizigo.....

Ukute kamtongoza Joketi.

Afisa Tawala Kaula kawa DAS
Mwanana Msumi Hoyee
Wewe Una Elimu Gani
Masters
Kuanzia Leo Wewe Ndiyo DAS Kisarawe
Nenda Ukafanye Kazi, Sasa Wewe Na Mkuu Wa Wilaya
Mkagombee Wanaume Ili Wote Niwatumbue
😀😁😅😄😃🤣

Mapenzi Hatari, Watu Wanapenda Kuloweka
Hata Ile Ya Sweet Kitunguu Naisikiliza 🤣😅😁😂😍
 
Mtela Mwampamba amelipwa alichopanda.. sasa akawe mtendaji wa kijiji huko Mwanerumango.
 
Das Alikuwa Analoweka Na Mtendaji Ambaye Ni Mke Wa Mtu. Hatari Sana, Leo Ni Leo
 
Ziara Ya Mheshimiwa Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Inaendelea Atakagua Reli Ya SGR Na Kuongea Na Wananchi Kwenye Ukaguzi Wake Pia
Tuendelee Kufuatilia Kupata Habari Nzuri Na Mambo Yote .

Watu Wa Morogoro Wajiandae Kupata Baraka Za Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania.
Hakuna Jiwe Litakalosalia Juu Ya Jiwe!!
 
Ndugu Zangu Wazaramo Kuna Mambo Mnashindwa Sana
Mkuu Wa Wilaya Hajaolewa Ninyi Mnashindwa Nini Kumuoa. 😀😁😅😄😃
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Nilisema mkuu pale mwanzoni kabisaaaaaa naona watu povu liliwatoka sasa waje tena.
 
"Ni aibu kuwa na mkuu wa wilaya ambaye hajaolewa, wewe Jokate umri umeenda uolewe sasa. Nasema uwongo jamanii?"

Jokate: Nitaolewa kutekeleza agizo la Rais Magufuli

Hayo ndiyo mambo ya walamba viatu na mkuu wao. Kwa leo wataegemea huko kwenye ngono ngono.
Mule mule. Acha kwa leo niji quote kwa kuijua vyema akili ya mukulu!
 
"Ni aibu kuwa na mkuu wa wilaya ambaye hajaolewa, wewe Jokate umri umeenda uolewe sasa. Nasema uwongo jamanii?"



Jokate: Nitaolewa kutekeleza agizo la Rais Magufuli

Hayo ndiyo mambo ya walamba viatu na mkuu wao. Kwa leo wataegemea huko kwenye ngono ngono.
Kuolewa ni ngono?
 
Nilisema mkuu pale mwanzoni kabisaaaaaa naona watu povu liliwatoka sasa waje tena.
Ni Kweli
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Ameliona Vema Kama Ulivyotoa Angalizo
Bila Shaka Wote Wasio Kwenye Mchakato
Wale Wa Dodoma Na Hapo Kisarawe
Wanahaha Kutafuta Wenzao Haraka Sana
🙄😀😁😂😅😄😃😃🤣
 
Masikini Mwampamba. Kaendekeza ngono kapigwa chini. Aibu kubwa sana hii.
 
Nachelea kuandika haya lakini ndio ukweli kukujibu wewe mpenda kukashifu watu.

Kiongozi Mkuu, aliyejijengea sifa hadi kuaminika na jamii ya ndani na kimataifa, analewa chakari hadi kuanguka na kuumia kifundo cha mguu (siyo kuvunjika), mnajitokeza kumtetea wakati hamkuwepo kwenye tukio, tuwape majina gani!

Si yeye, wala dereva wake, wamejitokeza hadharani kuelezea mkasa wote. Kwa tabia yake, ingekuwa kweli ameshambuliwa, kwa sababu za kisiasa, kama ambavyo mnadai, hakika asingekuwa kimya hadi sasa. Rejea taarifa yake kwa vyombo vya habari kuhusu kushambuliwa Lissu kwa risasi alivyoishutumu Serikali, lakini leo shambulio dhidi yake anakaa kimya!

Hamkisaidii chama kwa kufukua fukua majungu na kuanzisha uzushi wa kashfa dhidi ya Serikali na viongozi wake. Huo ni mtaji hasi wa kisiasa. Wapiga kura, naamini, wanahitaji kusikia Sera na Mikakati ya maendeleo mbadala kuwaondoa katika hali waliyo nayo kwa sasa, kuelekea kwenye neema.

WAKATI NDIO HUU BADILIKENI KIFIKRA NA MITAZAMO, tunapoelekea Uchaguzi Mkuu. Hizo fikra na mawazo yenu waachieni watoto wa chekechea.
Kazi maalum
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Yupo Kwenye Mradi Wa SGR Muda
Akikagua Maendeleo.
 
Back
Top Bottom