Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanana Msumi HoyeeDAS katumbuliwa sababu alikuwa akila mizigo.....
Ukute kamtongoza Joketi.
Afisa Tawala Kaula kawa DAS
Jafo kaitendea haki Kisarawe Hana mpinzaniMh jafo unapita kiulaiiiiiinniiiii[emoji3][emoji3][emoji3]
Nilisema mkuu pale mwanzoni kabisaaaaaa naona watu povu liliwatoka sasa waje tena.Ndugu Zangu Wazaramo Kuna Mambo Mnashindwa Sana
Mkuu Wa Wilaya Hajaolewa Ninyi Mnashindwa Nini Kumuoa. 😀😁😅😄😃
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Mule mule. Acha kwa leo niji quote kwa kuijua vyema akili ya mukulu!"Ni aibu kuwa na mkuu wa wilaya ambaye hajaolewa, wewe Jokate umri umeenda uolewe sasa. Nasema uwongo jamanii?"
Jokate: Nitaolewa kutekeleza agizo la Rais Magufuli
Hayo ndiyo mambo ya walamba viatu na mkuu wao. Kwa leo wataegemea huko kwenye ngono ngono.
Kuolewa ni ngono?"Ni aibu kuwa na mkuu wa wilaya ambaye hajaolewa, wewe Jokate umri umeenda uolewe sasa. Nasema uwongo jamanii?"
Jokate: Nitaolewa kutekeleza agizo la Rais Magufuli
Hayo ndiyo mambo ya walamba viatu na mkuu wao. Kwa leo wataegemea huko kwenye ngono ngono.
Siyo mapenzi ni "Ngono"Huyu mzee akili yake imejaa mapenzi mapenzi tu.
Lete povuuuu lete povuuuu. DC aache kugombea wanaume!Kuolewa ni ngono?
Ni KweliNilisema mkuu pale mwanzoni kabisaaaaaa naona watu povu liliwatoka sasa waje tena.
Lete povuuuu lete povuuuu. DC aache kugombea wanaume!
Kazi maalumNachelea kuandika haya lakini ndio ukweli kukujibu wewe mpenda kukashifu watu.
Kiongozi Mkuu, aliyejijengea sifa hadi kuaminika na jamii ya ndani na kimataifa, analewa chakari hadi kuanguka na kuumia kifundo cha mguu (siyo kuvunjika), mnajitokeza kumtetea wakati hamkuwepo kwenye tukio, tuwape majina gani!
Si yeye, wala dereva wake, wamejitokeza hadharani kuelezea mkasa wote. Kwa tabia yake, ingekuwa kweli ameshambuliwa, kwa sababu za kisiasa, kama ambavyo mnadai, hakika asingekuwa kimya hadi sasa. Rejea taarifa yake kwa vyombo vya habari kuhusu kushambuliwa Lissu kwa risasi alivyoishutumu Serikali, lakini leo shambulio dhidi yake anakaa kimya!
Hamkisaidii chama kwa kufukua fukua majungu na kuanzisha uzushi wa kashfa dhidi ya Serikali na viongozi wake. Huo ni mtaji hasi wa kisiasa. Wapiga kura, naamini, wanahitaji kusikia Sera na Mikakati ya maendeleo mbadala kuwaondoa katika hali waliyo nayo kwa sasa, kuelekea kwenye neema.
WAKATI NDIO HUU BADILIKENI KIFIKRA NA MITAZAMO, tunapoelekea Uchaguzi Mkuu. Hizo fikra na mawazo yenu waachieni watoto wa chekechea.