Rais amefanya ziara Kisarawe na kuzindua Mradi mkubwa wa Maji Wilayani humo

Ubarikiwe sana!
 
 
We endelea tuu kumchimba chini chini brother! Siku akikushtukia shauri yako.
 
Kifupi hawezi mfano na kipimo ni zile pesa za ghadaff!

Pesa za Gaddaf zipi? Wakiwa ccm watu wakisema machafu yao mnasema wanatukanwa sijui kuchafuliwa. Wakitoka ccm ndio mnaanza kutuambia sijui pesa za Gadaffi, upuuzi mtupu.
 

Na nyie walamba matapishi ya faru john kwa kiongozi wenu mna jipya gani leo?
 
.
 
Pesa za Gaddaf zipi? Wakiwa ccm watu wakisema machafu yao mnasema wanatukanwa sijui kuchafuliwa. Wakitoka ccm ndio mnaanza kutuambia sijui pesa za Gadaffi, upuuzi mtupu.
Yupi aliyetoka ccm akachafuliwa uchafu hufichuliwa na wanaccm wenyewe hakuna anayechafuliwa!
 
Wewe jamaa na hiyo COVID 19 yako!! COVID haiishi karibuni mzee, na watu hawawezi kuacha kufanya shughuli za kiuchumi zaidi ya mwaka sababu ya hayo Mafua.
Jamaa king'ang'anizi balaa, kila siku yeye na COVID tu hadi anakera.
 
Nipo hapa mubashara live Eneo la kimbamba Kisarawe
 
Huu sasa ni uchonganishi!, mwanzo mmenichonganisha, nikanyang'anywa Press Card yangu!. Ni juzi tuu nimerejeshewa sasa kwanini unataka kunipiga majungu?
P
Ha haha! Nakumbuka siku moja Sugu alisema bungeni kwamba "wanamsifia sana mshua hadi mwenyewe anawashtukia na kukasirika"
Basi nimekumbuka video hii na kujisemea jee Pascal Mayalla naye kaanza kuimba "jembe sii jembe?"

 
Pasikali njaa sidhani Kama utakuja kupata uteuzi kwa haya madongo unayompiga home boy!

Duh!
 
Wewe jamaa ulikuwa kwenye mawazo ya UNO
 
DAS katumbuliwa sababu alikuwa akila mizigo.....

Ukute kamtongoza Joketi.

Afisa Tawala Kaula kawa DAS
 
DAS alikuwa akimsumbua Mkuu wa Wilaya
Katumbuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…