Labda ishu ya SHILAWADUZa Jumapili wadau!
Imevuja;
Toka ndani ya viunga vya Magogoni ni kuwa Rais kamuita Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa mazungumzo/mahojiano.
Haijajulikana wazi sababu hasa ya kuitwa kwake, more news to come!
Source: mtu wa karibu na Mkuu wa mkoa
Akili ikifika mwisho kutukana ndo suluhisho lakoPumbafu. Wewe mwenyewe umeletwa nini hapa?
Makonda anachukiwa mpaka na watu wasiomjua na hasiowajua
Di mi vida.!Daaaa hii cjaiona jaman.... Ntaipata wap
Uko mkoa gani wewe? Studio ya clouds kwani iko ISSKaa pembeni, point yako haina mashiko!
Thibitisha hapo ni clouds tv, weka hisia pembeni.
Hata mm natamaniSitamani amtumbue nataka amuache tu ili tuendelee kuona uozo na tabia halisi za faru mwenyewe kupitia kioo chake bashite
Mama Janet kaenda misa ya asubuhi...........hatumbuliwi mtu hapa.
NahavomeNahavache mdughu wangu mira sivaire it ni lugha ani ii ...... Shinda mphoa nawe uko
Usimtukane muombee na mpende hajui alitendaloWewee ubongo wako utakua upo kwenye makalio
Basi siyo clouds hapo mkuu ni CNNKaa pembeni, point yako haina mashiko!
Thibitisha hapo ni clouds tv, weka hisia pembeni.
Makonda , Mange Kimambi, Albert Bashite OyeeeeKuna nini la kushangaza!?
Huwa hawaiti au?
Makonda oyeeeeeeeeeee
Wapi ?Jana nilimuomba Rais aingilie kati huu ujinga
CC mange kimambiDaudi Bashite on Instagram: “***** ile story ya Jana ni kweli ushahidi huu hapa....Unaambiwa hapo wanajeshi wengine walibaki nje wanalinda mtu asiingie wala asitoke…”