Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
- Thread starter
- #21
Msipiganie humu ,tafuteni ulingo kiingilio tutalipiaMimi siyo roboti kama wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msipiganie humu ,tafuteni ulingo kiingilio tutalipiaMimi siyo roboti kama wewe
Labda nikusaidie, kuna TISS na kuna Military Intelligence (MI) iliyo chini ya JWTZ na kuna PSU. Hawa wote hawana ushirikiano na wanachunguza na kufikisha taarifa kwa RaisPia hawezi ambiwa ukweli wakati wote
Anaweza kutafuta taarifa moja kwenye chanzo zaidi ya kimoja. Je vyote vitamdanganya?Rais anategemea kuletewa taarifa mezani, je akidanganywa?
Na bado mwendazake akaikosea kuijaza ambayo kisheria ilipaswa asiwe mgombea2020 tulichapisha fomu moja tu ya mgombea urais, demokrasia bado ilikua Ugiriki?
Ili swali uliwahi kuliuliza 2020?!Kwa hiyo yeye ndiyo ana haki pekee ya kuwa Rais wa Tanzania wengine wote ni kosa?
Membe alipotaka kugombea mwaka 2020 alifanywaje na mwendazake?Chawa wa mama!
.
Kwani kama mtu ana nia ya kugombea 2025 shida iko wapi?
Si ndio democrasia hiyo?
Hangaya ni mwoga
Hiyo ina halalisha mama nae kufanya hivyo?Membe alipotaka kugombea mwaka 2020 alifanywaje na mwendazake?
Hiyo ni tabia yao, hawataki challengeHiyo ina halalisha mama nae kufanya hivyo?
2025 akichapisha moja atakuta imeshachukuliwa.Hiyo ina halalisha mama nae kufanya hivyo?
2020 waligombea wangapi vileee!!Kwa hiyo yeye ndiyo ana haki pekee ya kuwa Rais wa Tanzania wengine wote ni kosa?
Hakuna linaloshindika, anaweza kudanganywa, pia anaweza kutafuta hizo taarifa kwenye vyanzo mbalimbali na kupata ukweli.Anaweza kutafuta taarifa moja kwenye chanzo zaidi ya kimoja. Je vyote vitamdanganya?
Hiyo democrasia ungeanza kuitetea enzi za Magufuli lakini enzi zile uliona ni sahihi one man show na ukandamizaji wa demokrasia.Chawa wa mama!
.
Kwani kama mtu ana nia ya kugombea 2025 shida iko wapi?
Si ndio democrasia hiyo?
Hangaya ni mwoga
Maslahi yapi?Hiyo democrasia ungeanza kuitetea enzi za Magufuli lakini enzi zile uliona ni sahihi one man show na ukandamizaji wa demokrasia.
Kwasasa hutaaminika kamwe ulitakiwa uwe mkweli tangu awamu ya 5 sio kubadilisha gia angani baada ya maslahi yenu haramu kuguswa.
Membe alipotangaza kugombea ndani ya chama mwaka 2020 ili achuane na Magufuli mlimuona ni adui namba moja hadi kumfukuza uanachama na mkashangilia. Hapo demokrasia ilikuwa likizo?Chawa wa mama!
.
Kwani kama mtu ana nia ya kugombea 2025 shida iko wapi?
Si ndio democrasia hiyo?
Hangaya ni mwoga
Mama muoga huyu kama kinguru wa zanzibar.
Muoga Ni huyu aliyejiuzulu bila kosa🤣,kuona tu MAZA hajamsamehe Basi ameamua akimbie 😆😆
Hiyo ina halalisha mama nae kujifanyia hivyo?Membe alipotangaza kugombea ndani ya chama mwaka 2020 ili achuane na Magufuli mlimuona ni adui namba moja hadi kumfukuza uanachama na mkashangilia. Hapo demokrasia ilikuwa likizo?
Mbona hata nyie mlikua chawa wa magufuli shida iko wapi? Kutesa kwa zamu huyo mama mpaka 2030 mtatia akili pumbavu.Chawa wa mama!
.
Kwani kama mtu ana nia ya kugombea 2025 shida iko wapi?
Si ndio democrasia hiyo?
Hangaya ni mwoga