Mkuu sorry kwa swali langu, hivi kwa sasa nani anawalipa buku 7 zenu?Mimi siyo roboti kama wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sorry kwa swali langu, hivi kwa sasa nani anawalipa buku 7 zenu?Mimi siyo roboti kama wewe
Unafikiri kila mtu analipwa?Mkuu sorry kwa swali langu, hivi kwa sasa nani anawalipa buku 7 zenu?
Nyie kwenye chama chenu hamruhusiwi kukosoana?Mkuu umehama chama au just kambi lakini bado uko humo humo?
Skg ni kitu gani?Lazima tuwaogope nyie SKG maana ni wauaji
Kwa akili ndogo tu na kwa chawa wa mama wanaona ni chuki!Ulitakiwa uwe kimya ama ushabikie kama ulivyofanya 2020. Sasa unapojifanya kubadilika baada ya mama kufanya alichofanya mtangulizi wake ndo maana nakuona una chuki binafsi kwa mama Samia.
Mimi siyo roboti!
Sawa, lakini kipindi cha jiwe ulikuwa unalipwa na slow slow ndiyo maana nikauliza hivyo, ila kama si kweli basi niwie radhi mkuu. Kabudi nasikia karudi jalalani, ni kweli?Unafikiri kila mtu analipwa?
Wa kwetu ndo hivyo kabisa na kila siku huwa anadangwa mara tu usd 6280B anameza hivgo hivyoRais anategemea kuletewa taarifa mezani, je akidanganywa?
Sasa kuna mtu kabisha?Mbona hata nyie mlikua chawa wa magufuli shida iko wapi? Kutesa kwa zamu huyo mama mpaka 2030 mtatia akili pumbavu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hebu weka muamala hapa tuone!Sawa, lakini kipindi cha jiwe ulikuwa unalipwa na slow slow ndiyo maana nikauliza hivyo, ila kama si kweli basi niwie radhi mkuu. Kabudi nasikia karudi jalalani, ni kweli?
Una maana gani mkuu? Siyo kesi yawezekana swali langu ni irrelevant kwako, enjoy your moments mkuu.Hebu weka muamala hapa tuone!
Hivi unadhani tuko facebook hapa?
Jiueni ikibidi hakuna namna ccm yenu viongozi wenu [emoji1787][emoji28][emoji28]Sasa kuna mtu kabisha?
.
Sasa hii nchi asiposhika mtu wa ccm ambae kwa sasa ni Samia atashika nani? Lisu?
Sasa akishika mwanaccm haimaanishi asikosolewe!
Na Samia 2025 atashinda kwa kishindo maana sasa hivi ana uungwaji mkono toka hata kwa wapinzani ili kumkomoa Magu na Ndugai!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nchi ina vituko hii!
Tujiue kwa lipi?Jiueni ikibidi hakuna namna ccm yenu viongozi wenu [emoji1787][emoji28][emoji28]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
ni ka kikundi fulani cha kabila kutoka Shy na Mwz na hivi wanajipanga tenaSkg ni kitu gani?
Hii kauli ilikuwa ya kuibagaza taasisi ya uraisKitendo cha kusema " mtaamua wengewe 2025 muendelee na hawa wanaokopa kopa au mchague wengine ..." si ya kiuongozi ikizingatiwa spika ŋdugai ana 'platforms' nyingi za kupeleka ujumbe kwa mamlaka husika na ukafika haraka.
Kwa hili mla Ndugai, hakudanganywa. Aliyasikia mwenyewe. Inabidi tukumbuke kuwa kila mhimili, yaani serkali, bunge, na mahakama lazima zifanye kazi kitaaluma. Maana yake ni kuwa serkali itaheshimu maamuzi ya mahakama na bunge. Bunge litaheshimu maamuzi ya serkali na mahakama yanayofuata sheria. Vivyo hivyo mahakama itaheshimu maamuzi ya bunge na serkali yasiyokiuka sheria. Ni udhalilishaji mahakimu au wabunge kuingia kwenye majukwaa kupinga serkali au kumpinga raisi kwa maamuzi yaliyofuata sheria.Rais anategemea kuletewa taarifa mezani, je akidanganywa?