Rais Biden aliomba Bunge kuidhinisha dola bilioni 33 kuisaidia Ukraine kukabiliana na uvamizi wa Urusi

Rais Biden aliomba Bunge kuidhinisha dola bilioni 33 kuisaidia Ukraine kukabiliana na uvamizi wa Urusi

Kwanza Unachanganya mambo mengi sana na pia usijiingize kwenye kejeli za watu wenye akili ndogo kufikiri comedians ni wata hovyo au wa kiwango cha chini, fahamu kwanza wachekeshaji ni watu wenye uwezo mkubwa sana wa akili kuliko wanasiasa wengi, kuwafanya watu wacheke sio kazi rahisi.

Pili, fahamu Zelenskyy hajawahi kusema anataka kujiunga na NATO, hata angetaka asingeweza bila bunge la Ukraine kupitisha na Zelenskyy hana control ya bunge nchini kwake.

Tatu, Marekani haijawahi kuiwekea China vikwazo "sanctions" wewe utakuwa unazungumia "tarrifs" za biashara ambazo kila nchi duniani huwa inaziweka dhidi ya washindani wake, kinachobadilika huwa ni viwango na aina ya bidhaa.

Kuna mambo mengi huyajui kuhusu siasa na uchumi nje ya nchi yako ila unataka kujifanya unayafahamu vizuri sana, ni vyema ungejifunza kwanza kabla ya kuandika.
Kwa hio bwana zele aliposema hatojiunga na NATO nakuwaomba urusi waondoshe majeshi alikuwa ajui anacho ongea .sawa nimekuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinyume cha demokrasia ni udikteta, Kinyume cha ubepari ni ujamaa.
Demokrasia inaweza kutofanya kazi vizuri ikiwa taifa lina vilaza wengi, lakini hakuna uzuri wowote katika udikteta.
All in all demokrasia ni nzuri ikitumika katika usahihi Ila ni mbaya isipotumika katika usahihi ni Kama ujamaa tuu una faida na hasara zake usipo tumika katika usahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna io kitu Ila Xi Jinping anategemea kuongezewa Third term(muhula wa tatu) Mwaka huu baada ya kutawala kwa awamu mbili maana Mwaka huu china Wana Two political session ,na sio kutawala mpaka kifo swali je akifikia katika hali ya umri mrefu na udhoofu wa hali ya mwili Kama Biden unafikiri atakuwa na uwezo wa kutawala? jibu ni hapana china hawawezi fanya upumbavu huo

Sent using Jamii Forums mobile app
Term limit iliondolewa tangu mwaka 2018, na Xi akaongezewa nguvu kama za Mao, na ujue tu nguvu ya Xi ni kubwa kuliko nguvu aliyokuwa nayo Hu jintao baada ya mabadiliko ya 2018.
Screenshot_2022-04-29-14-09-35-51.jpg
Screenshot_2022-04-29-14-18-17-79.jpg
Screenshot_2022-04-29-14-10-01-08.jpg
 
Hivi hawa wanafahamu ni kwa namna gani mpaka mtu anakuwa kiongozi katika nchi ya china na mpima kwa vigezo gani na anachunguzwaje na kuwa kiongozi?. Hivi hawa wanafahamu kuhusu political buro ya uchina wanaochaguliwa kwa vigezo vipi?.Hivi hawa wanafahamu kuwa Xi Jinping kabla ya kuwa raisi wa China amekuwa katika ngazi mbalimbali za uongozi kwa miaka takribani 40 ndipo kuwa Rais wa China.wanadhani china ukiwa na influence yoyote tu Kama Donarld Trump au Kanye West unakuwa Rais wa china hayo waya ache marekani Ila sio china.

HEBU WAWASOME HAWA WATU KWANZA NDIPO WAJE KUIZUNGUMZIA CHINAView attachment 2204710

Sent using Jamii Forums mobile app
Sina lakuwaelezea hawa wakaelewa
Maana wamekua brain washed vyakutosha sana
Ila US labda imeizidi UCHINA kwenye mauaji ya raia wao kuuana kwa silaha ila UCHINA iko mbali sana
Wakisema kwamba sababu demokrsia nitawauliza ama nitawaambia wanitajie nchi tano DUNIANI zinazoongozwa kidemokrasia ambazo zimeizidi UCHINA kwenye angle yeyote yakimaendeleo au angle KUU tatu za KISIASA KIUCHUMI na KIJESHI
Nakama hakuna waniambie inamaana gani yakufuata DEMOKRASIA kama haina mana
 
... siasa za China zina ubora gani kuzidi za Marekani?
Kwanza kabla yakuniuliza ubora wa siasa za UCHINA ulitakiwa unielezee ubora wasiasa za US
Ila ntakupa moja tu SIASA za UCHINA zimesababisha UCHINA kua na amani na USALAMA zaidi kuliko US mara 100
 
Belt $ Road Initiative imezitumbukiza nchi kadhaa kwenye madeni yasiyolipika.
'Debt trap'
Ni kweli kabisa. Mzigo wa madeni wa China kwa Mataifa mbalimbali Maskini Duniani yataanza kuonekana Soon.

Nenda Slilanka Uchumi unaelekea kusambaratika kwasababu ya External Dept hasa kutoka China. China inaidai Slilanka zaidi ya $ 109B na Sasa Uchumi wa Slilanka Unaelekea Shimoni.

Mataifa mengi yanayoidai Slilanka madeni hasa (India,Japan,S.Korea,Marekani,EU) na WB wameisamehe Slilanka isilipe madeni yake kwa miaka 4 ijayo ili kuurekebisha Kwanza Uchumi wake ulioko taabani. Cha kushangaza China imegoma kusamehe Deni lake mpaka Slilanka inaanza kufanya Default ya Uchumi,hapa utaongezeka mfumko wa Bei balaa. China sio nchi ya kukimbilia Kama haujajipanga.
 
Unafahamu jinsi maendeleo ya nchi yanavyopimwa?

Unafahamu vigezo vinavyotumika kusema nchi fulani ni tajiri/imeendelea, inaendelea au ni maskini??
Sina lakuwaelezea hawa wakaelewa
Maana wamekua brain washed vyakutosha sana
Ila US labda imeizidi UCHINA kwenye mauaji ya raia wao kuuana kwa silaha ila UCHINA iko mbali sana
Wakisema kwamba sababu demokrsia nitawauliza ama nitawaambia wanitajie nchi tano DUNIANI zinazoongozwa kidemokrasia ambazo zimeizidi UCHINA kwenye angle yeyote yakimaendeleo au angle KUU tatu za KISIASA KIUCHUMI na KIJESHI
Nakama hakuna waniambie inamaana gani yakufuata DEMOKRASIA kama haina mana
 
Vigezo gani unatumia kupima usalama na amani katika nchi?
Kwanza kabla yakuniuliza ubora wa siasa za UCHINA ulitakiwa unielezee ubora wasiasa za US
Ila ntakupa moja tu SIASA za UCHINA zimesababisha UCHINA kua na amani na USALAMA zaidi kuliko US mara 100
 
Vigezo gani unatumia kupima nguvu za kijeshi kati ya nchi tofauti?
Sina lakuwaelezea hawa wakaelewa
Maana wamekua brain washed vyakutosha sana
Ila US labda imeizidi UCHINA kwenye mauaji ya raia wao kuuana kwa silaha ila UCHINA iko mbali sana
Wakisema kwamba sababu demokrsia nitawauliza ama nitawaambia wanitajie nchi tano DUNIANI zinazoongozwa kidemokrasia ambazo zimeizidi UCHINA kwenye angle yeyote yakimaendeleo au angle KUU tatu za KISIASA KIUCHUMI na KIJESHI
Nakama hakuna waniambie inamaana gani yakufuata DEMOKRASIA kama haina mana
 
Vigezo gani unatumia kupima ubora wa siasa za nchi?
Sina lakuwaelezea hawa wakaelewa
Maana wamekua brain washed vyakutosha sana
Ila US labda imeizidi UCHINA kwenye mauaji ya raia wao kuuana kwa silaha ila UCHINA iko mbali sana
Wakisema kwamba sababu demokrsia nitawauliza ama nitawaambia wanitajie nchi tano DUNIANI zinazoongozwa kidemokrasia ambazo zimeizidi UCHINA kwenye angle yeyote yakimaendeleo au angle KUU tatu za KISIASA KIUCHUMI na KIJESHI
Nakama hakuna waniambie inamaana gani yakufuata DEMOKRASIA kama haina mana
 
Vigezo gani unatumia kupima ubora wa siasa za nchi?
CHINA umewahi sikia wakilumbana kama walivyolumbana US mpaka wakavamia majengo ya bunge
Ile imechagizwa na SIASA chafu mbovu nazilizochakaa za US
 
Vigezo gani unatumia kupima usalama na amani katika nchi?
Usalama na AMANI umewahi kusikia mauaji holela ya RAIA wa UCHINA kama yanayotokea US kila leo kuuana kwa silaha
Ule niukosefu wausalama na amani wa huko US
 
Kwanza kabla yakuniuliza ubora wa siasa za UCHINA ulitakiwa unielezee ubora wasiasa za US
Ila ntakupa moja tu SIASA za UCHINA zimesababisha UCHINA kua na amani na USALAMA zaidi kuliko US mara 100
... neno "bora" ulianza wewe kuli-introduce kwenye mjadala huu; you are the one who is supposed to elaborate the word in the context of the Chinese politics before I elaborate in the context of the US. Hoja ulete wewe, badala ya kuifafanua upate majibu unataka uliyemletea afafanue yeye wakati majibu unayo wewe! How?
 
Kama US haina usalama kwa nini Wachina takribani 100,000 wameomba hifadhi ya ukimbizi Marekani?
Usalama na AMANI umewahi kusikia mauaji holela ya RAIA wa UCHINA kama yanayotokea US kila leo kuuana kwa silaha
Ule niukosefu wausalama na amani wa huko US
 
China hata mikutano ya kisiasa hairuhusiwi, kinachoruhusiwa ni vikao vya chama cha Kikomunisti tu.
Watu watalumbana na kuandamania wapi??
CHINA umewahi sikia wakilumbana kama walivyolumbana US mpaka wakavamia majengo ya bunge
Ile imechagizwa na SIASA chafu mbovu nazilizochakaa za US
 
Alafu fatilia ripoti ya havard University kuhusu Rais anaye aminika na wanachi wa hizi nchi mbili Kati ya china na marekani uone Jinsi serikali ya marekani chini ya Biden of inavoaminika kwa asilimia chache 40% kwa wamarekani na huyo Xi Jinping unayemwita dictator na serikali yake anaaminika kwa asilimia kubwa95%na wananchi wa china

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo sio hoja, inategemea wananchi hao wana uelewa kiasi gani na pia hayo mataifa ya kiimla wananchi hua wana heshima ya woga sana hivyo kura yoyote ya maoni ktk nchi hizo haiwezi kutiliwa maanani kwa sababu ya namna mifumo ya kibabe inavyofanya kazi ktk nchi hizo.
 
Back
Top Bottom