Rais Buhari ni mtu mdini ambaye ataizamisha Nigeria, ni suala la muda tu

Huyu mgombea Urais anaeitwa PETER ndie anachukua nchi awamu hii huko Nigeria
 
Hawa wavaa kobazi Akili hawana ndiyo maana Marekani anawanyoosha ili wasiharibu Dunia
Yaani kuwashinda WAISLAM hilo litoe kabisa kichwani mwako

Maana toka waanze kunyooshwa umesikia WAISLAM kuisha ama kufutika

Uzuri tulikwisha ambiwa kama itafikia kipindi ukishikamana sana na kiukweli wakushikamana na UISLAM utaitwa kila aina ya majina mabaya leo hii UGAIDI nk yote yetu

Yaani kuushinda UISLAM na WAISLAM hilo sahauni mtatuua sana ila kutushinda hilo musahau kabisaaaa

UISLAM ndio mfumo sahihi kabisa MAISHA anayotakiwa kuyaishi MWANAADAM
 
Wakristo lini mtaacha kulalama? Kwahiyo nyerere alipomsapoti mkapa alikuwa mdini? Mbweha we
 
Nimesema afrika magharibi si nchi zote za afrika magharibi,sababu naelewa Liberia history yake

Nadhani undanganya. Kuna Togo,Burkina Faso, Benin, Ghana, Ivory Coast, Liberia, Sierra Leone, Cape Verde, Equatorial Guinea, Guinea Bissau, Sao Tome etc ni za majority christians
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…