Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,392
- 9,187
Ni chadema tu hata mwalimu nyerere angekuwnpo angehamia chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya maalim Seif anayeapa kwa kushika quran kwa imani yake ni kitabu kitakatifu na wewe unayepayuka kwa kubofya batani za Tecno yako hapo nani mjinga zaidi anayeujua ukweli? Mimi nasema hivi naungana na ukweli wa Seif kuwa hakushinda nafasi yake ni hiyo na aliyeshinda kamuapisha. Sasa wewe jitie ujinga kunibishia na kumbishia mgombea.Ukweli unaujua vizuri sana. Unajifanya tu mjinga nyuma ya key board.
Watanganyika wa ACT waliwapa hifadhi pindi hawa mnaoungana nao walipowapora chama cha CUF.Tangu 1995 tunasusia kimebadilika nini?
Tuache siasa za chuki tusonge mbele.
Isitoshe miaka yote hiyo wazanzibar tunasusia nyinyi watanganyika munaenda bungeni hata hamjali kuhusu sisi leo kibao kimewageuka ndio mnajifanya wapinzani kweli.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Haraka ilikuja viongozi walitaka kupeleka watu wao. Wanasema hata mke wa Lema ilikuwa arudi kuja kujumuishwa akina Halima na wenzake wakaona wendawazimu huu wakaenda kuapaHao kina Halima walifanya haraka tu lkn naamini chama kingelpeleka watu.
Elewa pia kuwa CUF kiliasisiwa na mtanganyika mmoja aliyekuwa akiitwa James Mapalala (RIP)Watanganyika wa ACT waliwapa hifadhi pindi hawa mnaoungana nao walipowapora chama cha CUF.
Hapo hakuna cha kuitetea Zanzibar, bali ni kushibisha njaa ya Maalim na genge lake tu.
Mkuu Dk Mwinyi ndiye anayemchagua makamo wa kwanza. Yeye hupelekewa majina na chama kilichopata ushindi wa pili na kuteua jina la makomo wa kwanza.Kati ya maalim Seif anayeapa kwa kushika quran kwa imani yake ni kitabu kitakatifu na wewe unayepayuka kwa kubofya batani za Tecno yako hapo nani mjinga zaidi anayeujua ukweli? Mimi nasema hivi naungana na ukweli wa Seif kuwa hakushinda nafasi yake ni hiyo na aliyeshinda kamuapisha. Sasa wewe jitie ujinga kunibishia na kumbishia mgombea.
Kuna mabadiliko makubwa mama yako alikuwa anavaa under skirt sasa hivi anavaa bikiniTangu 1995 tunasusia kimebadilika nini?
Tuache siasa za chuki tusonge mbele.
Isitoshe miaka yote hiyo wazanzibar tunasusia nyinyi watanganyika munaenda bungeni hata hamjali kuhusu sisi leo kibao kimewageuka ndio mnajifanya wapinzani kweli.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Bongo ukiambiwa jambo changanya na zako, hapa sisi;Wale ambao ndugu zao wameuwawa sijui wanajisikiaje.
Wameuawa kwa sababu gani?Wale ambao ndugu zao wameuwawa sijui wanajisikiaje.
Nahitaji ujibu swali langu kwanzaMadaraka yanayopatikana kwa njia za haramu? Wizi na mauaji? Umemsikia Rais wa Ghana kuhusu uchaguzi wao kama atashindwa?
Kama unaoandika wewe tuNi mwenye UFINYU WA AKILI tu ndiye anayeweza kuandika UPUUZI kama huu.
Mbona kinyonge Sana [emoji23]kila la heri
Unaelewa maana ya upinzani lakini?
hujui kitu chochoteMbona kinyonge Sana [emoji23]
Endelea kuwa mpole series yetu bado haijaisha bado Kuna episode mpya ya wale Covid19 ambayo ipo karibuni kutoka muendelezo wake.
So stay tuned kamanda.