akili ya mtanzania ndio hiyo. kamuona mwinyi anafaa kuwa rais wa tanzania naakuuliza kwani hakuna watu wengine wakuongoza tanzania ila unataka sura hiyohiyo tu ya watoto wa viongozi tuna watu million 70 tanzania sio lazima huyo tu. akili yako kama timu ya simba yaani haijamuona mchezaji africa nzima anafaa ila chama eti mpaka chama ndio timu itapata ushindi
 
Machinga warudi Vijijini wakalime Samia yuko sahihi.
 
Kwa mara ya kwanza nakuunga mkono hapa Jf juu ya hili, pamoja na kua hua unaachaga ubongo wako kweny shelf za Lumumba.
 
Mapato ya bara si ndio yanapelekwa uko Mwanakwerekwe kuleta maendeleo kwahyo zenji lazima kuwe Kama Dubai.
Mapato gani ya bara au hayo ya mikopo?
Kwa taarifa yako ilpovunjika EAC , pesa Za Zanzibar ziliiibiwa Na Tanganyika Na kuingizwa Benki kuu. Mbona hamjawapa wenyewe mpaka Leo ?
 
Gharama za kuunga umeme tanesco wabebe, halafu waziingize kwenye malipo bili ya umeme ya mteja. Shida hata
umeme wenyewe hakuna wataunga giza
 
Hii tabia ya ku import wazanzibar kuongoza Tanganyika ina hitaji review. Mbona sie hatupewi nafasi visiwani? Wizara zisizo za Muungano pia wasipewe Wazanzibar.
 
Mama kasha sema Raisi ni taasii siyo mtu
 
Hii tabia ya ku import wazanzibar kuongoza Tanganyika ina hitaji review. Mbona sie hatupewi nafasi visiwani? Wizara zisizo za Muungano pia wasipewe Wazanzibar.
Ni kwa kuwa mlituvamia wenyewe Zanzibar Sasa karma inawatesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…