Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,952
- 7,218
Bwaasheeee vipi kuna fukuto gani tena??Sukuma gang mmeshaanza figisu mkishirikiana na Ufipa!
Lumumba na Ufipa wameungana!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwaasheeee vipi kuna fukuto gani tena??Sukuma gang mmeshaanza figisu mkishirikiana na Ufipa!
1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ,upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24.
2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi ameshusha gharama ya kuunga umeme mpaka laki 2 tu kwa mtu ambaye hana nguzo.
My take.
1. Smartphone zimeondolewa VAT ili zishuke bei na watanzania wengi wanunue na serikali ikate tozo, kwa nini wasishushe bei ya kuunga umeme ili wakate tozo pia?
2. Serikali inatoa elimu bure kwa nini umeme ishindwe?
3. Serikali inatoa mikopo vyuo vikuu?
4. Serikali inakusanya kodi ya majengo kupitia Luku.
Hiyo serikali imewezaje yote hayo alafu ishindwe kushusha bei ya kuunga umeme?
Kwa mara ya kwanza nakuunga mkono hapa Jf juu ya hili, pamoja na kua hua unaachaga ubongo wako kweny shelf za Lumumba.Kuna maelfu ya watu wameungwa umeme kwa elfu 27 hata mimi nimeunganishiwa umeme kwa elfu 27.
Kumbuka Tanesco wanakusanya rundo la kodi pale unaponunua umeme ya kifupi ni kwamba kuunganishia umeme ilitakiwa iwe bure au bei chini sana kama mtu anapofungua akaunti ya bank au anaponunua laini ya simu
Mwinyi ni kijana wa Mkuranga kaletwa kuimaliza Zanzibar ,Hakuna mtu kutoka CCM mwenye kheri. Wote ni janga kwa ubinaadamuWote hao ni wazanzibar warudi kwao
Mapato gani ya bara au hayo ya mikopo?Mapato ya bara si ndio yanapelekwa uko Mwanakwerekwe kuleta maendeleo kwahyo zenji lazima kuwe Kama Dubai.
Gharama za kuunga umeme tanesco wabebe, halafu waziingize kwenye malipo bili ya umeme ya mteja. Shida hataWatanzania watu wa ajabu sana, unataka uungiwe umeme kwa elfu 27..gari ya Tanesco iwekwe mafuta, wafanyakazi walipwe na wewe utoe elfu 27..
Hivi ile remote feeder ya units yenyewe tu pesa ngapi?
Na hapo hutaki kusikia deni la taifa linaongezeka..
Machinga anachukua bidhaa anaenda kuuzia mbele ya fremu ya mtu, halipii fremu, halipi VAT, halipi leseni, halipi usafi, halipi Zimamoto, hana bili ya umeme wala maji..na wewe unaona sawa tu hiyo hali iendelee..
Ifike mahali tuwe serious tunataka nini..
Zanzibar wameshusha umeme mpaka laki mbili kwa wale wasio na nguzo na bado unafanya comparison na elfu 27??
Hivi Zanzibar ina watu wangapi?? Kimsingi yote ilipaswa kuwa na umeme toka enzi za Sultan
Warudi kwao woteMwinyi ni kijana wa Mkuranga kaletwa kuimaliza Zanzibar ,Hakuna mtu kutoka CCM mwenye kheri. Wote ni janga kwa ubinaadamu
Unapendekeza nani awe Rais 2025?Warudi kwao wote
Bora hata Saimon MsuvaUnapendekeza nani awe Rais 2025?
Kwahiyo 2025 tusimame naye?Bora hata Saimon Msuva
Mama kasha sema Raisi ni taasii siyo mtu1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ,upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24.
2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi ameshusha gharama ya kuunga umeme mpaka laki 2 tu kwa mtu ambaye hana nguzo.
My take.
1. Smartphone zimeondolewa VAT ili zishuke bei na watanzania wengi wanunue na serikali ikate tozo, kwa nini wasishushe bei ya kuunga umeme ili wakate tozo pia?
2. Serikali inatoa elimu bure kwa nini umeme ishindwe?
3. Serikali inatoa mikopo vyuo vikuu?
4. Serikali inakusanya kodi ya majengo kupitia Luku.
Hiyo serikali imewezaje yote hayo alafu ishindwe kushusha bei ya kuunga umeme?
Yap au SamataKwahiyo 2025 tusimame naye?
Ungelijua uhalisia nadhani ungefuta kauli yakoWote hao ni wazanzibar warudi kwao
Ndiyo ukweliUngelijua uhalisia nadhani ungefuta kauli yako
Ni kwa kuwa mlituvamia wenyewe Zanzibar Sasa karma inawatesaHii tabia ya ku import wazanzibar kuongoza Tanganyika ina hitaji review. Mbona sie hatupewi nafasi visiwani? Wizara zisizo za Muungano pia wasipewe Wazanzibar.
Tanganyika?Warudi kwao wote