Rais hamuamini Makamu wake?

Hebu tuaonyeshe hapa hiyo barua aliyosaini Rais Samia
 
Hao ni wazanzibari hao ni wa bara,

nisaidieni ule usemi wa mwalimu Nyerere
 
Na sikuwahi kuona Raisi akienda na makamu wake huko Dubai kwa wajomba zake anaotaka kuwapa Bandari zetu kwakisingizio cha uwekezaji.
Tutajie Rais yeyote ambaye huwa anaongozana na Makamu wake nje ya nchi
 
Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.!

Alishasema katiba ni kitabu tuu.... (Tafsiri pana sana hii, yaani si lazima kuiheshimu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuki lalamika mnatuona wajinga.
Tanzania swala la makamu wa raisi ni kupoteza pesa tu.
Hakitoka raisi anakuja waziri mkuu akikosa waziri mkuu ni spika wa bunge.
Wakikosea wote mkuu wa majeshi au jaji mkuu basi labda kunatatizo
Ni kweli, hata mama alikuwa waziri mkuu kipindi cha magu
 
Rais siyo mtu tu, ni taasisi na ndiyo sababu akiwa nje ya nchi shughuli zake zinaendelea nchini mwake.
Haya ya kuandika anuani za nje ya nchi sidhani kama ni sawa.
Kama ikiwa sawa, hata Marais waliofurushwa nchini mwao (waliopinduliwa), wangeendelea kuteua wakiwa ughaibuni.
 
Mzandiki mkubwa wewe, hujawahi kuona au kusikia Makamu akimuwakilisha Rais mikutano ya nje, au ndo ile philosophy ya "ukitaka kumuua mbwa, mpatie jina baya".

Hasidi hana sababu.
Mkuu, kama nimekukera, naomba unisamehe. Halikuwa lengo langu kukuudhi!
 
Makaimu atakaimu mengine lakini sio uteuzi.

Kama rais mgonjwa au hajiwezi kwa namna yoyote kwa muda mrefu hiyo inaweza kutokea lkn sio hii ya kukaimu uteuzi akiwa safarini.
 
Mzandiki mkubwa wewe, hujawahi kuona au kusikia Makamu akimuwakilisha Rais mikutano ya nje, au ndo ile philosophy ya "ukitaka kumuua mbwa, mpatie jina baya".

Hasidi hana sababu.
Awamu hii mtapasuka kwa kutema nyongo, kazi bado mbichi tulia ndg yangu
 
Makamu is very composed. Hataki kujiingiza kwenye ujinga ujinga unaoendelea. Bora akaangalie mito na miti inavyokatwa kwa mshangao, kuliko kujiingiza kwenye udalali haramu wa mali za watanzania
 
Barua Za uteuzi zinasainiwa Akiwa Doha?

Lini Magufuli alisaini documents Za umma Akiwa nje?

Huyu mama huko nje atasaini kila kitu, hamtaamini!
Alikuwa anateua kutokea Chato...angekuwa ni mtu wa kusafiri naye angefanya hivyo hivyo!
 
Kuna kipindi aliyekuwa Makamu wa Rais Bilal kazi yake kuu ilikuwa kukata utepe wakashauri awe anatembea na mkasi mfukoni.
Hizo zilikuwa fitina za mkwere na inferiority complex yake dhidi ya Dr. Bilal aliyekuwa more enlightened kuliko yeye!
 
Anamuamini....

Atafanya pale ambapo Rais hawezi kufanya.....Katiba haijatamka kuwa akiwa nje hawezi KUFANYA....


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hewalaaaa[emoji2956][emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…